Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Yaani hapo jamaa anamkabidhi Umagaka jukumu la kutuliza hamu ya lile monster la kiume. Daaaahh.... Haya mambo haya. Unajua majini ya kike huwa yanakuwa marembo. Ya kiume ndo kama hilo la Mpemba sasa linataka kukaza jicho....jamaa anaachiwa majukumu. Angekuwepo Chizi angesema yote humu.
Nakumbuka mwanzo kabisa huko , jamaa alisema n kama msukule hivi wa kike.
Kwahyo kazi ya UMUGHAKA ni kulitoa genye hilo dubwana.
Anyway tusubiri next episode
 
Ila jamaa mzinguaji sana nowadays, nadhani sifa zimemzidia mpaka akajiona mkubwa, sasa naanza kuungana na chizimaarifa kwa haya mambo anayofanya, how comes mtu story ya siku moja usimulie mwezi mzimaa??? Yaani kama ingewezekana mods waufute huu uzi na jamaa wampige ban kwa kuwafanya watu misukule wake humu jf
 
Ila jamaa mzinguaji sana nowadays, nadhani sifa zimemzidia mpaka akajiona mkubwa, sasa naanza kuungana na chizimaarifa kwa haya mambo anayofanya, how comes mtu story ya siku moja usimulie mwezi mzimaa??? Yaani kama ingewezekana mods waufute huu uzi na jamaa wampige ban kwa kuwafanya watu misukule wake humu jf
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom