KAHIMERIA
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 326
- 386
Kwa iyo tunachungulianaAu labda yeye ndiye anayetuchungulia sisi!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa iyo tunachungulianaAu labda yeye ndiye anayetuchungulia sisi!!!!!
Master kwenye hii ya Ally Mpemba amekua kama mpwayunguWapi mastaaaaa njoo utusitiri na Ep 18 basiiiii
Hii Story amekua slow sana Naona majukumu yameongezeka!!Master kwenye hii ya Ally Mpemba amekua kama mpwayungu
Nakumbuka mwanzo kabisa huko , jamaa alisema n kama msukule hivi wa kike.Yaani hapo jamaa anamkabidhi Umagaka jukumu la kutuliza hamu ya lile monster la kiume. Daaaahh.... Haya mambo haya. Unajua majini ya kike huwa yanakuwa marembo. Ya kiume ndo kama hilo la Mpemba sasa linataka kukaza jicho....jamaa anaachiwa majukumu. Angekuwepo Chizi angesema yote humu.
inakerajeKabisa yani, jamaa anaandika hatari, akiweka epsode basi hatoi nafasi ya comment. Unakuta story imeshuka mwanzo mwisho
Masta kavimba kichwa,,,mpaka alambwe lambwe ndo aje ,,,, !!Wapi mastaaaaa njoo utusitiri na Ep 18 basiiiii National Anthem kitalembwa hamjamuona master huko???
Dohh ! Basi amebadilika sana sikuhizi acha tumsubiri tu tutafanyaje sasa tushakua misukule yake 🤣🤣🤣😁!!Masta kavimba kichwa,,,mpaka alambwe lambwe ndo aje ,,,, !!
Anakuzoom tu hapo[emoji1] ,,,comments anazisomaDohh ! Basi amebadilika sana sikuhizi acha tumsubiri tu tutafanyaje sasa tushakua misukule yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]!!
Yeahhh anazisoma vizuri na kufurahi tu tunajaza mikoments kwa uzi!!😁Anakuzoom tu hapo[emoji1] ,,,comments anazisoma
Kuna wengine, wanazidi kukosa uvumilivu!Hii story inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana
Hakuna. Chizi Maarifa alielezea comment yake ikafutwa naambiwa amezuiliwa ku comment humu.Nakumbuka mwanzo kabisa huko , jamaa alisema n kama msukule hivi wa kike.
Kwahyo kazi ya UMUGHAKA ni kulitoa genye hilo dubwana.
Anyway tusubiri next episode
🤣🤣🤣🤣Ila jamaa mzinguaji sana nowadays, nadhani sifa zimemzidia mpaka akajiona mkubwa, sasa naanza kuungana na chizimaarifa kwa haya mambo anayofanya, how comes mtu story ya siku moja usimulie mwezi mzimaa??? Yaani kama ingewezekana mods waufute huu uzi na jamaa wampige ban kwa kuwafanya watu misukule wake humu jf