Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Makubwa haya jamani, hii hadithi au watu wanayafanya haya? Kama ni hivi basi mwengine tupo kwenye giza nene ila kwa YESU nuru ipo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Duu hapo unaanza kusanya bila jasho
 
Aisee Ni kweli watoto wa matajiri tu ndio walikuwa nayo hayo,nilikuwa napenda Sana simulizi ya Pablo Escobar Sasa muendelezo ilikuwa inatakiwa kuwa mvumilivu😂.....Haki tumetoka mbali
 
Aisee,mi kwenye uzuri nitoe sifikii hata a half...em niambie kwanza ...kutunga hadithi umeanza lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…