Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kuna vitu nimeanza kuviamini kwa wale mnaosema jamaa anacopy na kupaste...

1. Scenario ya ugonjwa wa Babu ,
Iko hivi, babu yangu alishawahi kuugua ugonjwa Kama huo na aliwekewa mpira hivo hivo...
Huwezi amini alikuwa na ukorofi uliopitiliza.. saa zingine Kama hivo anajisaidia kitandani , yaani alikuwa na kiburi Cha hali ya juu.. jamaa nimekuelewa Sana hapo...!
Lakini pia Mjomba wako Niko sio kwamba alikuwa hakupendi..la hasha ni vile tu alikuwa amewekwa kwenye kiganya na mkewe! ...
Na umesema ni marehemu kwasasa... , na umesema mkewe ni MTU wa kaskazini... Najaribu kuwaza beyond the scene [emoji848][emoji855]

2. Jamaa yako kuishi Kivule...
This is true, Wakurya wengi Sana wanaishi ukanda huu wa kuanzia Banana , kwenda Mbele huko Kivule, Bombambili, Kwa mwanagati, na maeneo mengine ya Gongo la mboto...

Story yako naanza kuiamini japo wengine wanaibeza...Kuna vitu vya kujifunza pia...
Tuendelee
 
@Queen Kan
 
Umughaka episode ifuatayo isimulie kwa details zaidi hasa kwenye tukio la kumla Maya. Ikiwezekana episode nzima simulia ya chumbani tu ukiwa na Maya achana na vipengele vya kwenda kula kiepe wala kwenda kusajili line.

Tunahitaji kujifunza kitu hapa mkuu
 
Yaan iwe full kama kupapasa makalio ya maya na akawa anatoa milio ya kimahaba,akamgusa mbususu akakuta imelowa,basi akamgeuza mbuzi kagoma kachomeka mashine kaanza kupush taratibu huku maya akikata viuno kama feni,umughaka akaanza kupush kwa nguvu mara wazungu hao,akaunganisha na kumuweka maya kifo cha mende na kuanza kuzinyonya taratibu chuchu za maya zilizokuwa zimesimama huku maya anajinyonga nyonga kwa utamu,jamaa akaanza kumpeleka moto upya huku maya anatoa milio ya kimahaba tu

Baadae maya akaomba kuingiliwa kwenye jicho
 
Kaa Kwa kutulia endelea kufurahia
 
Gari ina mashariti hvyo na bado unataka kwenda nayo kwa ndugu zako

Ningekuwa mimi hilo gari nisingeliendesha kabisa,
Mfano trafik wamekumata wanakwambia twende kituoni utamwambia akae nyuma!?
Kisheria trafik haruhusiwi kupanda gari aliyoikamata. Usije ukaruhusu hili, unaweza ukawekewa vitu haramu kwenye siti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…