Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

[emoji16][emoji16][emoji16] hutaki wajukuu...! Anyway hakuna dawa ya uhakika kama operation ya kuondoa kizazi, kwahiyo we ukiona ameiva basi muandalie budget yake ya kumpeleka clinic wakaondoe ovary
Eee makubwa wapi huko hospital za kawaida hizi
 
Mi wangu mpole sana ila kuna muda anataka kucheza kuniuma uma kuna siku kacheza na mtoto kavutwaa mno tulijua atamuuma au kumkwaruza hajamkwaruza kabisa
 
Je Meno hakatwi?
 
Jamani humu ndani kuna anaemfahamu Umughaka physically atupe mrejesho wa ni wapi aliko kwa sasa?
Isije ikawa mura kashikiliwa kituo mojawapo cha polisi ndani ya nchi huku sisi tunasubiria episode 20.
Au maya amemshtukia kuwa yeye sio Ally katika issues ya ugegedaji akamyonga na kumuua?
Ingelikuwa heri kama angetujuza kuwa Maya amemuua na hivyo stori imeishia hapo kwa sterling kuuawa.
 
Yupo huwa anakuja kuchungulia kinachoendelea zen anaendelea na ishu zake. Ukiangalia last seen yake unaweza kuta yupo online [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Bora watu kama nyie muendelee kutupa mavituz,manake mwenye uzi sijui kafa au sijui ndio anapelekewa moto yeye na MAYA badala ya yeye kumpelekea moto

ADIOS AMIGO
 
Mi wangu mpole sana ila kuna muda anataka kucheza kuniuma uma kuna siku kacheza na mtoto kavutwaa mno tulijua atamuuma au kumkwaruza hajamkwaruza kabisa
Sasa IPO siku atamuuma na kumkwaruza pia japokuwa haitokuwa serious sana ila Kwa mtoto inaweza kuwa na Athari, ila yeye atakuwa anajua wanacheza, kwahiyo kwa mtoto kidogo kuweni makini

Paka kuna muda wanakuwa hawataki utani wala michezo, Yani anakuwa off mood kabisa sasa bahati mbaya mtu/mtoto anaweza kumshika kwa lengo la mchezo then anaku attack kwa pamoja Meno na kucha

Hadi wewe ujifanye hujajali wala hujashtuka unamuangalia tu while unaumia ndio nayeye anajishtukia anaacha ila kama uta react kuhamaki au kumpiga unajikuta amekuumiza zaidi
 
Mungu ampe nafuu marehemu popote alipo 😂
 
Vp kuhusu usafi,,, hawanyi ovyo??


Afu huyu ni jike au dume??
Hapana hawanyi hovyo, inatakiwa tangu akiwa mdogo unamuelekeza sehemu ya kwenda kujisaidia haja kubwa na ndogo

Unaweza kutumia beseni la special na mchanga wa special au ukatumia beseni la kawaida na mchanga wa kawaida

Unakuwa unabadirisha mchanga kila baada ya siku 2 na kusafisha beseni lake na sabuni, kama utamuwekea sehemu ya kuwa anajisaidia huwezi kuta ata siku moja kajisaidia sehemu ingine labda under field conditions [emoji16][emoji16]

Endapo mlango ambao umemuwekea sehemu ya kujisaidia uwe umefungwa, na hapo atalia sana hadi mtakuja tu kufungua, labda kama kuwe hakuna mtu, na kama sehemu alipo kuna kitu chochote cheye jamii ya unga,mchele,marage basi atamalizia hapo haja zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…