Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] after all hao ni wanyama mkuu, tunatakiwa kuwafuga lakini umakini uwepo pia, siunaskia ata Mbwa pia wanashambulia mabosi wao
Nina bahati mbaya sana na wanyama. Tulikuwa tunafuga mbwa toka katoto na alinizoea hadi kawa mkubwa. Kipindi nasoma secondary shule tunanyoa.

Siku moja tumefunga likizo nikaenda kusuka dread zile za uzi, usiku wake sikumlishia mimi kesho asubuhi naenda kumfungia ile kuniona tuu akanirukia nikaanguka, alininyofoa dread zote za mbele na nywele zilitoka nilipiga kelele kama chizi.

Toka siku hiyo nikawa namwangalia kwa bandani tuu mpaka leo mbwa na paka nawaheshimu.
 
Nina bahati mbaya sana na wanyama. Tulikuwa tunafuga mbwa toka katoto na alinizoea hadi kawa mkubwa. Kipindi nasoma secondary shule tunanyoa.

Siku moja tumefunga likizo nikaenda kusuka dread zile za uzi, usiku wake sikumlishia mimi kesho asubuhi naenda kumfungia ile kuniona tuu akanirukia nikaanguka, alininyofoa dread zote za mbele na nywele zilitoka nilipiga kelele kama chizi.

Toka siku hiyo nikawa namwangalia kwa bandani tuu mpaka leo mbwa na paka nawaheshimu.
Duhhh nimecheka kama mazuri vile, pole mwaya
 
Yes nshawahi kuskia wana tabia ya kujisaidia kwny unga(anakunya afu anafukia) a,,, na kwny masofa.
siku tumetoka shule,tumebandika maji na yamechemka,kwenda kuchukua unga kwenye plastic la kilo 20,paka kanyea na kafukia mavi yake,mama hayupo mpaka usiku,tulilia mikono kichwani,tangu 1990 mpaka leo,sijawahi fuga huyu mnyama...
 
Police Arrest British Man Harvesting Maggots From Dead Dogs

Police in Lusaka are holding a 50-year-old man identified as Jibodu Babatunde Olukayode for the offence of Cruelty to Animals.

This was after Police received information from a member of the public that a foreign male person in Meanwood Ibex area was killing dogs and let them rot and form maggots which he could use for unknown purposes.

After a search lasting seven hours on 17th January, 2023 a combined team of officers from Zambia Police, Drug Enforcement Commission, Department of Immigration, Provincial Veterinary Department and Public Health Department of the Lusaka City Council discovered three cages in one of the rooms of which one contained four pieces of dog carcass in a rotten state with several flies.

Also discovered were boxes containing woovers, Television sets and other assorted household properties in the ceiling board of the house.

The premises, which are installed with several surveillance cameras, had 14 live dogs within the yard.

“The suspect who lives alone at the said house, is believed to be a British National of Nigerian origin.He is currently detained in Police custody charged with Cruelty to Animals and other Public Health related offences” said Danny Mwale-Zambia Police Service Deputy Public Relations Officer.

Read More
 
Kwa imani ipi mkuu inayosema paka ni binadamu aliejificha?

Pia sio kila mnyama au kila mtu anataka kuzaa, ushawahi kujiuliza ni ipi faida ya kuzaa? Ukizaa wewe unapata faida gani personal?
Huyo paka ushawahi kumuuliza kama anataka kuzaa au hataki??
Kama hujawah muuliza, n kwa nn umtoe kizaz? )

Kuhusu faida za kuzaa:
Wewe huoni faida, je una uhakika yy paka haoni faida za kuzaa wakati hujawahi kujadiliana nae kuhusu suala hlo???

Ur interests cant be universal.

Alafu unauliza eti mm napata faida gani kuzaa,, kwan hapa tunazungumzia mm au paka??

Cha muhmu mwite paka mjadiliane je yupo tayari kutolewa ovary?? Akikataa usimkatili!!
 
Huyo paka ushawahi kumuuliza kama anataka kuzaa au hataki??
Kama hujawah muuliza, n kwa nn umtoe kizaz?

Kuhusu faida za kuzaa:
Wewe huoni faida, je una uhakika yy paka haoni faida za kuzaa wakati hujawahi kujadiliana nae kuhusu suala hlo???

Ur interests cant be universal.

Cha muhmu mwite paka mjadiliane je yupo tayari kutolewa ovary?? Akikataa usimkatili!!

Mkuu Kwa upande wangu mie sijui faida za kuzaa ndomana nikaomba msaada wako, kama hutojali Naomba unijuze namie kuna faida gani unaipata ukizaa?
 
siku tumetoka shule,tumebandika maji na yamechemka,kwenda kuchukua unga kwenye plastic la kilo 20,paka kanyea na kafukia mavi yake,mama hayupo mpaka usiku,tulilia mikono kichwani,tangu 1990 mpaka leo,sijawahi fuga huyu mnyama...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] paka wa mamkubwa wangu pia alipupu kwenye unga akafukia, kaka yangu mkubwa ametoka shule apike ugali anasema akaona kitu cheusi kimefukiwa akahisi wenzie wameficha parachichi ( walikuwa wanakaa watoto wengi) akafukua na mkono kilichofwata [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom