HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
.......Hata wewe kuona boriti kwenye jicho la mwenzako na kusahau kutoa banzi kwenye jicho lako ni dhambiUMUGHAKA huendi mbinguni kwa sababu hizi
-kuuza pesa bandia
-kufanya ujambazi
-kulala na msukule
-kumlisha alfwata
-kutowasiliana na baba yako kwa zaidi ya miaka 14
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila si ndo show za kibabe mnazipenda na naona Farah anataka apigwe pumbu live[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]hatari na nusu
Anataka tumjadili yeyeSisi tukijadili kuhusu paka, wewe kinakukera nn?
SwadaktaaaπππHapo Sasa Farha ataharibu dawa Sasa hivi Ally Mpemba atauaga utajiri.....penzi kitovu Cha uzembe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila si ndo show za kibabe mnazipenda na naona Farah anataka apigwe pumbu live
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Haaaaaa jamaa ni mwamba kapiga pumbu msukule
[emoji1787]Antonnia , kitalembwa mtu wenu amefika kutoka Mbeya.
Kabisa maana dada kaelewa show na lazima atapigwa Ile ya liveSwadaktaaa[emoji16][emoji16][emoji16]Hapo Sasa Farha ataharibu dawa Sasa hivi Ally Mpemba atauaga utajiri.....penzi kitovu Cha uzembe
Kabisa inabidi aweke na manjonjo yoteNisubiri Sana hiyo ya kumla live...Ila UMUGHAKA nae awe anasimulia from A to Z tupate kapicha alivyofaidi
Unajifariji tu. Sio wote . Usitake kupata uhalali wa wewe wa kutoitafuta range mkuu. Komaa mpaka kieleweke,. Mie Sina hizo Imani. Ingekuwa ivyo AFRICANS tungekuwa matajiri kuliko wazunguDah usione marange yanapita huko road ukajua watu wametusua.Watu wana mikataba migumu ya nguvu za giza.Wacha tutafute kawaida mbona zinapatikana tu hizi vitu.
Thanks for the tag rafiki ! Maya kainamishwa kisawa sAwa [emoji2][emoji2]Antonnia , kitalembwa mtu wenu amefika kutoka Mbeya.
Asante sana sana sana brother Kitalembwa kwa kunitagπAntonnia ,,,Bantu Lady ,,, Lovelovie
Maya kainamishwa kisawa sAwa ,,,,, fimbo za kutosha ,,,, [emoji2][emoji1][emoji1][emoji2]
Wastue wadau wengine
Mshtue umughaka aendelee kushusha episode [emoji4][emoji2]Asante sana sana sana brother Kitalembwa kwa kunitag[emoji4]
πππππ Nmekosa cha kuongea πππMshtue umughaka aendelee kushusha episode [emoji4][emoji2]