Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

We mjomba ake National Anthem una balaa wewe,yan mm nimesoma tu huo mstari wa chuchu na mm huku nikavuta picha ya Antonnia hii hapa,nawaza hilo boob lilivyotuna na kauchuchu kamesimama,si na mm huku nikaanza kushtua boxer mdogo mdogo Mara WiFi ako akaona pametuna ikabidi tuingie ndani nikapoze na shot moja kwanza wakat tunasubiria Dada apalie ubwabwaπŸ˜‚
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787] unatomba msukule unaonuka BAO zaidi ya Moja impossible

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hiyo impossible unayosema ni kwa wewe au kwa aliyezinzi a.k.a aliengonoka na msukule? Mwenzio tayari sasa keshafanya.

Kwa hiyo wewe BAO moja pekee unaweza kuupiga msukule unaonuka🀣🀣🀣. Jamaa una roho ngumu kama UMUGHAKA
 
Unahisi kwanini alikuwa anachinja kuku kila mwezi? Boss hivi damu ya kuku inahusiana vipi na mtu kuwa tajiri au ya mtu huwa najifikiriaga nipate hii connection nashindwa au kuna kitu cha ziada?
 
Uzuri wa hapa ikishakuja episode Kunakuwa na ufulivu hadi kwa wale wanaowashauri mods kufuta huu uzi eti unapoteza muda! Wote tunakuwa tunaongea lugha moja Sasa alosto ya story ikiwa maximum kila mmoja anasema lakeπŸ˜€

Uvumilivu usitutoke wapenda story wiki moja sio kubwa sana kufahamu kama Maya ndio Farhia
 
Acha tuitwe misukule tu...kwa usimuliaji huu...unatukana matusi yote halafu kila baada ya muda mfupi unapita kimya kimya kuchungulia jipya..............Ila Umughaka usitufanyie hivyo Mungu hapendi πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…