Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kuna mtu nimemwambia ivyo akaniambia kuwa kwani wazungu wao hawana uchawi

Bila kuwa na nidhamu ya maisha, kujituma hayo mavogue watu wataishia kuyaona tu. Maana wengi wanadhani uchawi ndio unaleta utajiri na mafanikio ingekuwa hivyo basi sehemu zinazosifika kwa uchawi wangekuwa ni matajiri sana.
 
Umeongea uhalisia sana kamanda.
Mimi nina udhaifu wa kutomwambia mtu ukwel live.

Yan nawez jua kabisa hiki unachonambia siko tayari kuvanya ila huwa siwez kukataa japo ukwel sitafanya.Sasa badae huwa najiuliza kwann nisingesema tu ukwel badalaya kuamza kutafuta excuses baadae kutaka tu kum please mtu!!??

Pia kuna time huwa nasita sana kudai haki yangu kisa tu nahisi nitamkwaza mtu atanifikiriaje!.

So hay ya huyu jamaa ni makosa ya kibinaadam kabisaaaaa hata kama hii ni chai
 
Shangazi yangu Antonnia anapenda sana kusukumiwa nyama ya fimbo ya mnyonge, 😃😃😃😃
 
Yupo sehemu ya ngapi sasa hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…