Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Aandike kwanza akishamaliza ndo aweke sio unaandika ki-episode kimoja afu unasema una dharula,kwani hakujua km huwa Kuna dharula?mbona kutwa anaonekana active humu jf?
Wewe bila shaka unataka niwe mume wako,yaani niache kufanya shughuli zangu nishinde kutwa JF ili nikufurahishe wewe mpumbavu mmoja!
 
DeepPond kucha huku tayari mambo hadharani
 
Itaendelea lini... tuekane wazi kabisa
 
@Antonnia ,,, Bantu Lady ,,, Lovelovie ,, sophy27 Saint Anne


The wait is over ! Wastueni wana
 

Ngoja nimalize majukumu nitarudi badae.
 
For sure this story imepoteza mzuka kwakweli...yaani siisomi kwa shauku kama zamani...imenipotea mood kabisa...

Yaani sasa hivi nipo alete asilete...amalize asimalize...hakuna cha kupoteza kihisia...its just normal kama alivyonikuta kabla hajaanza kusimuliza...

Nadhani ni kwa upande wangu tu... sijui wengine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…