Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hahahaahahahah..... Master aliyavagaaa walaiii hakujua moves zake zote ziko Ally mpemba anazipata bila master kujuaaa! Au ukute alimpakiza Rey siti ya mbelee lol hapana chezea jeuriiii ya pesaa best!
Ngoja tuonee itavokua!
 
Heeeh kumbe!😳😳 ! Asante kwa taarifa mkuu!
 
Hii nguvu unayoitumia kwenye hadithi za wengine, kwanini usingeitumia kuandika ya kwako ukapost?
 
Mimi ndio maana huu uzi huwa sikanyagi kabisa maana kuna watu wanakera sana. Ninacho fanya huwa na search jina lako kisha naangalia kama umeweka ama laa. Kama umeweka nitasoma kisha napotea na kama hujaweka sitii neno lolote napotea kama sikuwepo vile.
 
Hahahaahahahah..... Master aliyavagaaa walaiii hakujua moves zake zote ziko Ally mpemba anazipata bila master kujuaaa! Au ukute alimpakiza Rey siti ya mbelee lol hapana chezea jeuriiii ya pesaa best!
Ngoja tuonee itavokua!
tatzo rehema ana mzigo wa maana , master kashindwa kujizuia na hivi tupesa tupo, kupendeza kwa Sana !

Namfikiria Rey ana shape Kama lako [emoji41]
 
tatzo rehema ana mzigo wa maana , master kashindwa kujizuia na hivi tupesa tupo, kupendeza kwa Sana !

Namfikiria Rey ana shape Kama lako [emoji41]
Khakhaaaaa!! Kuna wanaume mnapenda mitrakoo nyieee lol!
Weeeee nimfikie Rey hata robo ya robo yake nitrambeee 😎😎!

Hio sehemu ya kumvua Rey nguo na kumtia jiti la mlanzi kama watu hawajajichafua sijuuuiii 😄!
 
Ila umughaka umevuka kwenye 20 kuna muendelezo pale kujua farah ilikuaje kaingia chumban kwa Ally mpemba na Usiku huo ulisema utathibitisha kuwa utamuangalia vyema maya uone kama kuna tofauti
Ameeleza kuwa Farah alilazimisha kuingia ndani na maya alimkagua fresh isipokuwa alama ya mkononi tu maana alimpa mgongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…