Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Acha ujinga wewe. Weka episode hapa siyo mahubiri. Watu tunataka episode hatutaki blah blah... Usitopotezee muda... Umekaa kaa mjini umeanza kujanjaruka eeeeh? Shauri yako.
 
Story inakolea na skepticism kibao ila watu wanajadili ujinga tu. Mpeni moyo mwandishi hata kwakujadili angle tamu za story yake na jinsi inavyo shift unpredictable.

Bro ecko sana Omughakha kazi unapopiga mzee naona utata unaozalisha kwenye story na unahtaji majibu nakuongeza utamu

1. Demu mpya kaflash kwenye story[emoji3]
2. Duka wiki nzima alijafunguliwa wewe uliona lipo wazi hii ni kona pia ya story tumebak skeptical kusubiri what next
3. Farha kaingia ndani kwa kaka ake na uliambiwa asiingie[emoji16][emoji16]what next ....inatupa hamu ya kujua
4. Umeshindwa hakiki kama Maya ndiye Farha
5. Maya kagoma kula ...utamu unazidi kukolea
6. Simu ya mshikaji wako...kamaindi


Tumekaa paleee tunasubiri uhondo...kesho sabato mzee mwenzangu utatushushia 1 moto ili sabato iwe njema.

Bravo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…