Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ila umughaka umevuka kwenye 20 kuna muendelezo pale kujua farah ilikuaje kaingia chumban kwa Ally mpemba na Usiku huo ulisema utathibitisha kuwa utamuangalia vyema maya uone kama kuna tofauti
Yeah nafikiri hii 20 ilitakiwa iwe 21..alafu 20 kaiacha sehemu...kuna muunganiko umekosekana ila kwakuwa mtunzi na msimulizi ni master basi tunakausha tu kwakuwa tunapata mafundisho na burudani inshaalah yatosha.
 
Unazingua
 

Hatari
 
Watu wamekazana kutukana. Story imepangwa vizuri plot twist za hatari hata mtunzi angekua fundi vipi asingeweza kuipanga hivi
Kama ni ya kutunga. Umughaka is the best
 
Watu wamekazana kutukana. Story imepangwa vizuri plot twist za hatari hata mtunzi angekua fundi vipi asingeweza kuipanga hivi
Kama ni ya kutunga. Umughaka is the best

Kweli kabisa humu watu wamekuwa sio wastaarabu kabisa kuna story ya AinganoJr au I Elton Tonny huwa zinakuwa na mtiririko mzuri sana kwa sababu watu huwa hawachati sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…