Wataneda tena visiwani kujisafisha na kuomba msamaha. Au huwenda umu akatolulewa njea ya ulingo mojakwa mojaYani tunaisubiria kwa hamu episode 22 nahivi Ally mpemba kafuraaa sijui itakuaje!!
Ngoja tusubirie tuone
Au sio. Et nitoke tiktok? Wee sitok tiktoku tutuutullluuuuHaya nimekuelewa mkuu Usinifokeee sasa[emoji89][emoji89][emoji89]!!
Humu nipo leo Keshokutwa mtondogooo nahata milele jf sitokiiiiii!!
Itakua mkuu ngoja tuone!! Dizain kama inaelekea mwisho mwisho!!Wataneda tena visiwani kujisafisha na kuomba msamaha. Au huwenda umu akatolulewa njea ya ulingo mojakwa moja
Mano likwe likweHeeh, kumbe kumbato kwa nwingine ni kuvunja masharti???
Sio pesa.kanun inasema ukishiba tumbo.ndio hupekeleka kila aina ya mawazoUkiwa na pesa bwana sijui genye zinatokeaga wapi?
Ila hakupewa.server zipo washinton dc[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina sababu ni sikufokei maana kipindi Cha nyuma wenye hela walitumia Mapolisi ili kumkamata Mwenye JamiiForums ili atoe taarifa za Members humu. Kwahiyo nakuambia tu. Nenda Google kaandike kesi ya Maxence Melo usome vizuri
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Kwanza ujue nakusaka sana we mwanamke hujui tuπ₯°Episode 22 anashusha leo alisema saivi ni kila siku episode hadi mwisho!
Tuliho BupandagilaLongalombogo
Tuliho nyakabindiTuliho Bupandagila
Acha kusaka mke wa mtu kijanaKwanza ujue nakusaka sana we mwanamke hujui tuπ₯°
Hahahaaa ghashi tuli binge π€£Tuliho nyakabindi
Huo si ushirikina wa mchana kabisa daa jamani pesa hiziHii stori imenifumbua macho sana, kuna jirani yangu ana ghorofa zuri ila yeye anaishi kwenye boycoter halafu mbuzi wake wawili ndio wanaishi kwenye ghorofa, hana familia ni anaidhi peke yake na mbuzi hapo kwake
Unanisaka wapi mkuu mi mbona nimejaa teleee humu! Waeza Sema haja yako!Kwanza ujue nakusaka sana we mwanamke hujui tuπ₯°
Mbona yeye hajitaji kama mke wa mtuπ πAcha kusaka mke wa mtu kijana
Niko hapaaa ππ haya sema haja yako sasa!!Mbona yeye hajitaji kama mke wa mtuπ π
Usije sema sikukuambia kuwa ni mke wa mtu.Mbona yeye hajitaji kama mke wa mtuπ π
Anakutaka inbobo πNiko hapaaa ππ haya sema haja yako sasa!!