Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina sababu ni sikufokei maana kipindi Cha nyuma wenye hela walitumia Mapolisi ili kumkamata Mwenye JamiiForums ili atoe taarifa za Members humu. Kwahiyo nakuambia tu. Nenda Google kaandike kesi ya Maxence Melo usome vizuri

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Ila hakupewa.server zipo washinton dc
 
Hii stori imenifumbua macho sana, kuna jirani yangu ana ghorofa zuri ila yeye anaishi kwenye boycoter halafu mbuzi wake wawili ndio wanaishi kwenye ghorofa, hana familia ni anaidhi peke yake na mbuzi hapo kwake
Huo si ushirikina wa mchana kabisa daa jamani pesa hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom