Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utazani waliitwa na kushikiwa bunduki
 
Sio lazima niamini kupitia kwa mtu, siku Ile Yesu alipopandishwa mlimani na shetani niliamini utajiri ni wa shetani. Mtu mwenye akili timamu anamuomba shetani utajiri. Tunaojikita kwa Mungu tutakufa masikini.
Fedha na dhahabu ni mali yangu,asema Bwana wa majeshi.
 
Angekua kaivujisha hapo sawaa....huyo mtu anapenda utamu haweza kumshitaki
 

Rihanna aje kunitafuta uku kyala mpala kisa nimepost picha yake!
 
Duu mura wewe unaroho ngumu ila pesa jamani pesa jamani pesa jamani aise kama mambo yenyewe ndiyo haya acha afadhali nitafute shamba nilime, Mura nitafutie ekari moja nije kulima.[emoji3]
 
Hukutakiwa kugawa kwingine [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…