Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Watu wanakojoa sehemu nzuri jamani[emoji4][emoji4]Hata kama wewe ni UMUGHAKA
Na huyu ndio Rey unafanyaje Sasa[emoji23][emoji23]View attachment 2498609
Qssrr0A za'Kwanza ujue nakusaka sana we mwanamke hujui t
Ya 22 badoNilikuwa bize mbaya,i promise next episode.
Hahahahaha Tafuta maisha Kijana. Ukifikiria sanaaaa vikojeleo utadumaa kimawazoWatu wanakojoa sehemu nzuri jamani[emoji4][emoji4]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Bado nduguQssrr0
Ya 22 bado
Pics za kwenye mtandao hizoHaipendezi hii Mkuu unachukuje picha ya mtu unapost bila ridhaa yake?
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Pics za kwenye mtandao hizo
Utazani waliitwa na kushikiwa bundukiWakuu tupunguze kuleta hasira za maisha yetu kwa watu wasiohusika. Usiwe serious na story za jf kwa sababu hata wewe unaweza kujiandikai unachopenda kusoma kwa muda wako. Hapa hakuna sheria inayomtaka kila mleta story hapa kwamba lazima aimalize, au lazime aweke mwendelezo kwa muda unaoutaka wewe. Tupunguze nongwa wakuu hasira za maisha tusizimalizie kwa wasiohusika. TUWE WASTARABU MAANA SIO LAZIMA USOME/ UFATILIE KITU UNACHOONA HAKINA MAANA KWAKO. [emoji41]
Kaweka mwenyewe publicHiyo picha ana hatimiliki nayo?
😂 😂 😂 😂
Fedha na dhahabu ni mali yangu,asema Bwana wa majeshi.Sio lazima niamini kupitia kwa mtu, siku Ile Yesu alipopandishwa mlimani na shetani niliamini utajiri ni wa shetani. Mtu mwenye akili timamu anamuomba shetani utajiri. Tunaojikita kwa Mungu tutakufa masikini.
Angekua kaivujisha hapo sawaa....huyo mtu anapenda utamu haweza kumshitaki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi unajua mambo ya hatimiliki wewe? Halafu unapost picha chafu ili iweje?
Huyo aliye post hiyo picha ni yake. Means anamiliki hata zile picha za Google zina copyright. Ukiitumia bila ridhaa ya mwenye nayo akikushitaki unamlipa
😂 😂 😂 😂
Hivi unajua mambo ya hatimiliki wewe? Halafu unapost picha chafu ili iweje?
Huyo aliye post hiyo picha ni yake. Means anamiliki hata zile picha za Google zina copyright. Ukiitumia bila ridhaa ya mwenye nayo akikushitaki unamlipa
Hujaniewa aisee ungekuwa unapitia na majukwaa ya Tech and Gadgets humu JF ndio ungeelewa. [emoji23][emoji23][emoji23]Rihanna aje kunitafuta uku kyala mpala kisa nimepost picha yake!
Kinadharia hii dunia haipo lakini kwa sababu sisi tupo na Dunia ipo lakini kama sisi tusingekuwepo na hii dunia isingekuwepo. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Fedha na dhahabu ni mali yangu,asema Bwana wa majeshi.
Duu mura wewe unaroho ngumu ila pesa jamani pesa jamani pesa jamani aise kama mambo yenyewe ndiyo haya acha afadhali nitafute shamba nilime, Mura nitafutie ekari moja nije kulima.[emoji3]Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 20.
Nilikuwa nina maswali kichwani mwangu zaidi ya elfu moja na ambayo hayakuwa na majibu.Iliwezekana vipi mwanamke ambaye hakuwahi kabisa kufika kwangu hata mara moja leo aje tena kwa hoja ya kwamba ameelekezwa kwa kuulizia ulizia?Je,alimuuliza nani huyo ambaye ananifahamu pale mwisho wa lami?Pili,inakuwaje Farah afanane kiasi kile na Zahra/Maya?,sawa yawezekana wangefanana kama ndugu wa tumbo moja,lakini je hadi mchoro mkononi?,kiukweli kwangu ilikuwa ni kama sinema ambayo sikuielewa hata kidogo.Kwakuwa Ally Mpemba amewahi kuniambia Farah ni dada yake,nilidhani uenda Farah na Maya wakawa ni mapacha kwasababu pia Ally aliniambia Maya/Zahra alikuwa ni dada yake pia.
Baada ya kuingia kwenye gari niliiwasha na kuanza kuiondoa taratibu kuelekea Magomeni.Sikutaka kabisa kukaa kimya,niliona niendelee kumdodosa Aunt Farah ili niweze kuufahamu ukweli!.
Mimi "Kwahiyo dada umekuja unaulizia?"
Farah "Mbona unakuwa na mashaka sana leo?,kwanini?"
Mimi "Hapana dada sina mashaka ila nauliza tu!"
Farah "Wewe hukuwahi kumwambia Ally unakaa Gongo la mboto mwisho wa lami?"
Mimi "nimewahi kumwambia lakini kaka Ally pia hajawahi kufika kwangu".
Farah "Nilipofika hapo mwisho wa lami nimeulizia nikaelekezwa"
Mimi "ooh sawa"
Kiukweli sikutaka kumbishia maana niliona uenda tungekwazana kwasababu sababu alizokuwa akinipa zilikuwa haziniingi akilini hata kidogo,nilijua kabisa alikuwa akinidanganya,pale mwisho wa lami mahali nilipokuwa nikikaa mimi kulikuwaga hakuna watu ninaofahamiana nao sana uenda jamaa mwenye duka pale nje,pia kwa mazingira yale isingekuwa rahisi mtu kumifahamu kwasababu nilikuwaga si mtu wa kujichanganya na ndiyo maana nikasema uenda ningekuwa maarufu pale mtaani hapo angenishawishi kwa ule uongo wake laki kiukweli sikukubaliana naye hata kidogo.Niliamua kukausha tu ili mambo mengine yaendelee maana niliona nikiendelea kulifuatilia hilo suala sana kiundani uenda ningeibua mambo mengine.
Mimi "Dada nikuulize swali?"
Farah "Karibu"
Mimi "Kwenu mmezaliwa wawili tu na Kaka Ally?"
Farah "Kwanini?"
Mimi "Nimeuliza tu maana mara zote nawaona nyie tu"
Farah "mmh! hapana tupo wengi"
Aliendelea "Wengine hawakai hapa Bongo"
Mimi "Kwahiyo kwa hapa Bongo upo wewe na kaka Ally tu!"
Farah "Hapana wapo wengine!"
Mimi "ooh sawa!"
Niliamua kukaa kimya sikutaka kabisa kuendelea kuuliza maswali mengi kwakuwa hata yeye pia niliona ananijibu kishingo upande hivyo nikaona nisiingie ndani sana ijapokuwa maswali nilikuwa nayo mengi sana.Sasa kichwani mwangu nilipanga ya kwamba,usiku wa siku hiyo nikamtazame vizuri Maya atakapokuwa akila chakula chake pale sebuleni ili kujiridhisha maana kiukweli walikuwa wakifanana kila kitu na Farah.
Baada ya kufika Magomeni kwenye nyumba ya Ally Mpemba,nilifungua geti na ile gari kuiingiza hadi ndani kwenye sehemu ya kuegeshea.Nilishuka kwenye gari nikaenda kumchukulia ndani funguo ya gari dada Farah ambaye wakati huo alikuwa nje akinisubiri.Baada ya kumpatia ule ufunguo akawa amechukua mkoba wake akatoa shilingi milioni 2 akanipatia.
Farah "Hela hizi hapa"
Mimi "Nashukuru dada"
Hakuchukua muda akaingia kwenye ile Range.Nilisogea nikamfungulia geti akawa ametoka na kuondoka.Sikutaka kabisa kupoteza muda hapo nyumbani niliondoka zangu hadi sokoni kwenda kununua mahitaji ya chakula cha Maya,niliwasha gari nikawa nimetoka zangu kuelekea soko la Ilala,kiukweli wakati huo nilikuwa nimenawiri sana na nilikuwa nanyuka pamba za ukweli,ulevi wangu mkubwa ulikuwa ni kupendeza kwa kuvaa vizuri.
Sasa kuna mahali nilifika nikapaki ile gari kisha nikashuka kuelekea sokoni kununua mahitaji,wakati nikiwa nanunua mahitaji kwa mama mmoja,ghafla nikasikia sauti ya mwanamke mmoja ambaye ilinifanya nikageuka kumtazama,hadi leo sijajua ni kitu gani kilitokea ila huwa najiuliza maswali mengi sana.
Huu ulimwengu hauko kama mnavyodhani ndugu zangu,kuna muda unaweza kuwaona watu wanapendeza na kuishi maisha bora ukadhani ni rahisi lakini si hivyo!,mimi baada ya kupitia mambo hayo machache ndiyo maana leo napambana kwa nguvu zangu kufa na kupona ili kujipatia riziki,sasa kuna watu nikiwaambia mimi ni naendesha bodaboda huwa hawaamini wanadhani natania,japokuwa pia najaribu kuwekeza kwenye kilimo lakini bodaboda hiyo hiyo ndiyo inanipatia pesa ya uwekezaji huo!.Niliamua kupambana na maisha yangu ya udundulizaji kwasababu hakuna maisha ambayo sijapitia,kila baya na jema nishaona,hivyo niliamua kutulia kujipambania,huko mbele mtaelewa vizuri ni kwanini leo naendesha bodaboda.
Sauti ya kike "Mama Eliya nikuletee?"
Mama Eliya "Leo sina hela mwaya!"
Huyo mama Eliya alikuwa ni mama ambaye nilikuwa nimesimama mbele yake nikuchukua kabeji,sasa wakati akiwa kwenye pilika pilika za kunirudishia chenji ndiyo nikawa nimesikia hiyo sauti ikimwambia hivyo,baada ya kumtazama yule mwanamke aliyemuita mama Eliya kiukweli nilibaki nikimtizama.Kiukweli baada ya yule mwanamke kumuita huyo mama niliyekuwa nikinunua mboga kwake nilijikuta tu nageuka kumtazama ni nani na nilipogeuka nilijikuta namtamani baada ya kumtazama,hakuwa mwanamke mbaya,alikuwa ni mwanamke mmoja wa kawaida ila alikuwa na umbo zuri sana.
Mimi "Anauza nini huyo?"
Mama Eliya "Anauza Juisi"
Mimi "Ni nzuri?"
Mama Eliya "Juisi yake huwa tamu kweli sema leo tu ndiyo hali ngumu ila ningechukua"
Mimi "Anauza bei gani?"
Mama Eliya "Anapima kwenye glasi shingi elfu moja"
Mimi "Mwambie akupe"
Mama Eliya "Ahsante mwanangu"
Aliendelea "Nitakunywa baadae "
Mimi "Mwambie aje akupe kabisa maana nyie huwa wajanja,nitakupa hela utaisunda huta nunua,nataka na yeye umuungishe kama mimi nilivyokuungisha"
Baada ya kumwambia hivyo yule mama muuzaji alianza kucheka sana.Nia yangu ilikuwa ni kwamba amuite yule mwanamke asogee kwa karibu nipate kumtazama vizuri maana alikuwa bize na juisi yake na kwangu isingekuwa rahisi kumsimamisha pale sokoni na kuanza kuzungumza nae kwasababu mara zote nimekuwa na aibu kusimama na mwanamke machoni pa watu.
Mama Eliya "Wala usijali baba namuungisha"
Aliendelea "Wewe Ray......Raaaaaay niletee juisi nimepewa ofa"
Baada ya kuita yule mwanamke alijongea taratibu hadi pale nilipokuwa nimesimama kwa mama Eliya.
Mama Eliya "Niwekee glasi moja nimepewa ofa na mwanangu"
Mimi "Mama wewe kunywa hadi utosheke sijakupa ofa yenye kikomo"
Mama Eliya "Mmh nashukuru baba"
Nilifahamu kabisa mama Eliya anaweza kuwa anauhitaji na pesa ndiyo maana ile ofa ni kama alitamani asinywe ili ile hela achukue,sasa mimi nilipanga kumpatia kiasi kidogo kitakachomsaidia.
Mimi "Jusi yako unatengeneza na nini?"
Muuza juisi "Ni mchanganyiko wa Embe,pasheni na parachichi"
Mimi "Ok"
Muuza juisi "Nichangie basi kaka"
Mimi "Haina shida wala usijali,nimepaki gari pale ng'ambo naomba twende ili ikiwezekana nitafute chombo uniwekee"
Muuza juisi "Ninazo chupa kaka"
Mimi "Mbona hapa sizioni?"
Muuza juisi "Kuna mahali nimeziweka nakimbilia mara moja"
Mimi "Ni safi?"
Muuza juisi "Ni safi kaka huwa naziosha na maji moto"
Aliendelea "Au kama hutoridhika basi unywee hapa kaka"
Mimi "Usijali nitanunua"
Basi baada ya mazungumzo mafupi nilimpatia yule mama noti ya shilingi elfu kumi kama malipo ya juisi na itakayobaki achukue yeye,kiukweli alinishukuru sana na nilimwambia wakati wote nitakapokuwa naenda hapo sokoni kununua bidhaa ningekuwa namtafuta yeye.
Niliondoka nikaongozana na yule dada muuza juisi kuelekea nilikokuwa nimepaki gari,mimi nilikuwa mbele na yeye alikuwa nyuma yangu huku mkononi akiwa ameshika galoni ya juisi na kapu la vikombe.Tulipofika nilifungua gari kisha nikamwambia animinie kwenye glasi ili ninywe kwanza niisikie radha yake.
Mimi "Ni tamu"
Mimi "Unaitwa nani?"
Muuza juisi "Naitwa Rehema"
Mimi "Unaishi wapi Rehema?"
Yeye "Naishi Ubungo msewe?"
Mimi "Ubungo msewe iko maeneo gani?"
Yeye "Pale pale Ubungo ni jirani na chuo kikuu"
Mimi "ooh,duuu mbona kama mbali?"
Yeye "Wala hata siyo mbali"
Mimi "Unaona siyo mbali kwasababu ushazoea"
Mimi "Kwahiyo kila siku unamaliza hiyo galoni?"
Yeye "Inategemea,kuna muda nauza hizi galoni hata tatu na kuna siku hata moja haiishi"
Mimi "Ok"
Mimi "Umeolewa?"
Yeye "Sijaolewa ila nina mtu wangu"
Mimi "Mnaishi wote?"
Yeye "Hapana,mi naishi kwa shangazi na yeye anaishi kwao!"
Mimi "Kwahiyo ndiyo umepanga aje awe mume wako?"
Yeye "Hayo sasa ni maajaliwa ya Mwenyezi Mungu"
Mimi "Kwenu anafahamika?"
Yeye "Anafahamika kwasababu ninaye mtoto wake!"
Mimi "Unaye mtoto wake kivipi?"
Yeye "Nimezaa naye "
Mimi "Mbona sasa mimi nakupenda Rehema"
Yeye "Kunipenda wala siyo dhambi kaka,dhambi ni kumtamani mke wa mtu"
Mimi "Mimi sijakutamani Ray mimi nakupenda"
Yeye "Toka lini mwanaume wa Dar akapenda mwanamke?,wewe sema umenitamani tu ili unipate umalize haja zako unikimbie,nyie wanaume hata sinaga hamu kabisa na nyie!"
Mimi "Hebu tuachane na mambo mengi Ray nipe namba yako ya simu nitakupigia"
Yeye "Simu yangu inasumbua betri nimeiacha nyumbani"
Mimi "Mimi nitakupataje ili tutafute mazingira mazuri tuzungumze"
Yeye "Mimi napatikana tu hapa hapa wewe ukija utamuuliza mama Eliya"
Mimi "Lakini umeelewa nilichokwambia Ray?"
Yeye "Lakini nishakwambia ninaye mtu wangu!"
Mimi "Kwani utamwambia?"
Yeye "Siyo hivyo,kumbuka penzi ni kama kikohozi huwa alijifichi!"
Aliendelea "Halafu unataka kuniambia wewe huna mtu?"
Mimi "Ningekuwa na mtu unadhani ningekusumbua?"
Yeye "Mimi nitajuaje!,nyie wanaume kwani mnaaminikaga?"
Mimi "Kwahiyo hata huyo jamaa yako pia humuamini?"
Yeye "Simuamini ndiyo,kwani anapokaa huko ninakuwa nae?"
Mimi "Siko kama unavyodhani Ray"
Yeye "Sawa,ushamaliza kuniongopea?,mi nataka niwahi kwenye biashara"
Mimi "Sikuongopei ila amini hivyo"
Yeye "Sawa ukiwa na shida basi utanitafuta napatikana hapa hapa sokoni"
Baada ya mazungumzo yale na yule mwanamke ambaye alionekana na msimamo,nilimpatia noti ya shilingi elfu kumi akawa anataka kunirudishia chenji nikamwambia hiyo nimempatia tu.
Yeye "Ahsante"
Yeye "Ila nimesahau kukuuliza jina lako!"
Mimi "Mimi naitwa Umughaka"
Yeye "Sawa nashukuru kukufahamu Umungaka"
Mimi "Siyo Umungaka,ni Umughaka!"
Yeye "ahahahaa nisamehe jamani unajina gumu,sijui kama nitaweza kulitamka"
Mimi "Kesho nitakuja kukucheki"
Yeye "Saa ngapi sasa ili niwe maeneo jirani?"
Mimi "Mida kama hii"
Yeye "Sawa,msalimie wifi "
Mimi "Wifi tena!"
Yeye "Utakubali sasa!?"
Aliendelea "Haya basi tutaonana!"
Yule mwanamke aliondoka huku namtazama namna alivyokuwa na nyama za kutosha,kiukweli alikuwa mwanamke fulani wa kawaida ila umbo lake halikuwa la kawaida,mara zote ugonjwa wangu kwa wanawake umekuwa ni uleule wa matako makubwa wastani na hips za kuzugia,mara zote huwa sihangaiki na sura kwasababu si sehemu ya hitaji langu kubwa kwa mwanamke,huwa naangalia vinavyo nihusu na visivyo nihusu naachana navyo.
Nilielewa ni kila mwanamke ukijaribu kumtongoza ni lazima akwambie anaye mtu wake ili kujipa thamani lakini mara zote huwa haiko hivyo,hata Rehema nilifahamu kabisa ili ajipe thamani ni lazima angeniambia anaye mtu ingawa nilipomtazama macho yake ilionekana kabisa anasema uongo.
Niliwasha mchuma nikaondoka zangu kuelekea Magomeni kupeleka zile bidhaa na baada ya kufika kama kawaida niliziweka pale mezani kisha nikafunga mlango nikaondoka zangu,sasa kwakuwa ilikuwa bado mapema,nilirudi hadi pale nilipokuwepo mwanzo kwa ajili ya kuendelea na makamuzi ya bia.Muda uliposogea niliamua kuondoka kuelekea magomeni ili kuweza kuufungua mlango wa Maya,nilipofika nilipaki lile gari kisha nikaingia ndani nikafungua mlango wa kwenye kile chumba cha Maya kisha nikauacha wazi nikatoka zangu nje.
Kwakuwa nilikuwa nimeshiba,niliingia kwenye ile gari nikafunga mlango nikawa nasubiri mida mida ifike ili niweze kumtazama Maya kwa uzuri ili kujiridhisha.Mpaka wakati huo sikuiona simu ya Ally Mpemba wala nini!,niliendelea kusubiri nikidhani angenipigia kama alivyokuwa ameniahidi lakini haikuwa hivyo.
Ilipofika mida ya saa 3 usiku nilianza kusikia yule kiumbe Maya akitafuna kile chakula chake kwa sauti kama mara zote ambavyo huwa akifanya.Nilifungua mlango wa gari taratibu kisha nikasogea hadi dirishani ambako kungeniwezesha kumtizama vizuri kwakuwa nilikuwa nimewasha taa na kufungua lile pazia.Nilisogea hadi pale dirishani kisha nikaanza kumtizama kwa makini sana,sasa wakati namtizama yeye alikuwa amenipa mgongo,nilijaribu kumuangalia kwa umakini mkubwa sana na kiukweli walifanana kila kitu na Faraha,kuanzia urefu hadi umbo,ile alama ya mkononi nilijaribu kuitazama lakini sikuweza kuiona kwakuwa muda wote mikono alikuwa ameshika chakula chake akiendelea kula,hivyo kufanya nisiweze kuitazama vizuri,sasa wakati nikiwa namtazama aligeuka ghafla kama mtu ambaye alihisi kitu akawa anaangaalia pale dirishani huku akiacha kutafuna kwa mshangao,nilisogea pembeni ili asinione,baada ya muda nilipochungulia pale sebuleni sikuweza kumuona tena akawa amendoka.Nilirudi zangu kwenye gari nikiwa najiuliza sana maswali mengi,kumbuka pamoja na mambo yote ikiwemo kulala na Maya lakini ni kiumbe ambaye sikupaswa kumzoea na hakuzoeleka.
Ilipofika mida ya saa 5 usiku nilisikia honi ikipigwa getini na ilikuwa ni honi ya lile gari alilokuwa amechukua Farah,niliondoka nikaenda kumfungulia geti kisha akawa ameingiza gari ndani.Aliposhuka kwenye ile gari akawa ameniambia anahitaji kuingia ndani kwenda kujisaidia.
Mimi "Habari za huko dada"
Farah "Nzuri,ndiyo narejea!"
Aliendelea "Nilidhani uenda nisingekukuta ila nimewasiliana na kaka Ally ameniambia upo"
Aliendelea "Ngoja nijisaidie kidogo nimebanwa"
Nilitaka kumzuia asiingie ndani lakini nilishindwa kumzuia kwasababu nilifahamu kabisa ni ndugu yake na Ally Mpemba pia walitoka kuongea muda si mrefu.Hapo awali Ally Mpemba aliwahi kuniambia sipaswi kabisa kumruhusu mtu yeyote kuingia ndani ya ile nyumba yake hata akiwa ndugu yake,kitu alichoniambia Ally Mpemba ambacho naweza kufanya ni kuruhusu ndugu zake tu kukalia kiti cha mbele kwenye gari aliyokuwa amenipatia kupigia misele lakini mtu mwingine hakuruhusiwa.
Sasa kabla hata sijamwambia chochote,nilishitukia kufungua mlango na kuingia ndani,kitu cha ajabu wakati Maya amemaliza kula nilikuwa bado sijasafisha pale sebuleni na mara zote huwa nasafisha asubuhi,sasa nilitaka kumwambia Farah atumie choo cha nje ili asingiingie ndani ambako kungeleta taharuki,niliingia ndani pale sebuleni lakini sikumuona Farah nikiamini uenda alikuwa ameingia chooni,nilianza kusafisha ile meza na pale chini kwa haraka,kabla hata sijamaliza nilimuona anafungua mlango wa chumba cha Ally na kutoka,kilichonishangaza zaidi ni kwamba ule mlango nilikuwa nimeufunga na funguo na funguo mara zote zilikuwa zinakaa kwenye kimeza cha luninga,nikajaribu kuzitazama funguo nikakuta zipo pale kwenye kimeza,sasa nikawa najiuliza ule mlango sikuufunga?,na kama nisingeufunga zile funguo zisingechomoka pale mlangoni!,na kwanini ameingia kwenye chumba cha Ally akashindwa kwenda chooni ambako vyoo vilikuwa vinajitegemea?.
Kiukweli hofu ilianza kuniingia na kwakuwa nilikuwa mtu mzima nilitambua fika yawezekana Farah hakuwa mtu wa kawaida.
Farah "Mimi nakwenda!"
Mimi "Sawa dada nikusindikize?"
Farah "Hapana"
Mimi "Sawa dada usiku mwema tutaonana kesho"
Farah "Panapo majaaliwa"
Baada ya kuondoka Farah kiukweli sikuelewa ile hali.
Itaendelea....................
Uoe ukoo mzima [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe bila shaka unataka niwe mume wako,yaani niache kufanya shughuli zangu nishinde kutwa JF ili nikufurahishe wewe mpumbavu mmoja!
Lakini wapumbafu hawakosekaniMwambie watu wa Mara hatupendi kukaa kipumbavu kama ambavyo anataka kutuchukulia
Hukutakiwa kugawa kwingine [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 21
Niliendelea kupambana katika kazi yangu ya usajili wa line huku nikiendelea kutunza hela nilizozipata,pesa aliyonipatia Ally Mpemba kama mshahara katika ile kampuni yake ya Catering nikiwa kama msimamizi nilikuwa nikihiifadhi pia,kiukweli ilifika mahali nikawa nina fedha sana kiasi kwamba nikasahau kitu kinachoitwa umasikini.
Baada ya kuona pesa ipo ya kutosha,nilianza ujenzi kwenye uwanja wangu niliokuwa nimeununua kule Zingiziwa - Chanika,nilipambana kiasi kwamba ile nyumba nikawa nimeifikisha kwenye lenta,nilipoifikisha hapo niliendelea kupambana ili angalau nipate tena pesa ili niimalizie kabisa kuezeka.Japokuwa nilikuwa ninapesa za kutosha lakini sikutaka kabisa kuidharau kazi yangu ya kusajili line za simu,ni kazi ambayo niliiepnda na ilikuwa kama zuga ili ninapoendelea kupiga pesa kwenye michongo ya kishirikina watu wasinishitukie.
Kabla brother Ally hajarudi kutoka huko alikokuwa ameniambia anakwenda,kuna siku nimetoka zangu pale ofisini buguruni nikawa naelekea kwenye sehemu yangu ya kazi kama kawaida pale Kkoo,sasa nilipofika nikawa nimefungua kuendelea na kazi,mara zote mimi ndiye nilikuwaga nawahi kufungua kabla duka la Ally Mpemba halijafunguliwa,haukupita muda kuna gari ikawa imepaki jirani na duka la Ally Mpemba na akashuka dada Farah akiwa amejifunika Nicab kama kawaida yake,sasa alipofika alinisalimia kana kwamba hatujaonana siku kadhaa nyuma wakati kila siku nilikuwa ninaongea nae.
Farah "Mambo"
Mimi "Poa dada uko poa?"
Farah "Niko poa,za siku?"
Mimi "nzuri"
Farah "Biashara inakwendaje?"
Wakati anaendelea kuniuliza maswali kadhaa niliendelea kumshangaa kwakuwa kila siku niko nae jirani na tunapiga stori kama kawaida,mimi nilidhani uenda labda kwakuwa biashara ya duka huwa ina mambo mengi nikajua atakuwa kuna kitu anafanya ili watu wasielewe chochote,sikutaka kumuuliza dada farah chochote niliamua kujiongeza kama mtu mzima maana biashara zina mambo mengi,lakini kadiri tulivyoendelea kuzungumza ndipo aliendelea kunichanganya kabisa.
Farah "Sijauliziwa kweli?"
Mimi "Na nani?"
Farah "Watu au wateja?"
Mimi "Sasa hivi au jana?"
Farah "Muda wote ambao sijafungua duka!"
Mimi "Muda wote ambao hujafungua!?,kwani lini hujafungua duka dada?"
Aliendelea kufungua duka na swali nililomuuliza ni kama hakulisikia vizuri,baada ya kufungua lile duka aliingia ndani akaendelea na mambo yake,mimi pia niliendelea kupiga kazi kama kawaida.Mara zote nilipokuwa nikisajili line ilikuwa ni lazima mteja awake salio ili aaanze kutumia,kupitia salio atakaloweka mteja ndipo nami nilikuwa najipatia kamisheni,sasa ili upate angalau kamisheni nzuri kila mwezi,ilikuwa ukimsajilia mteja namba mpya unamfungulia na akaunti ya pesa(Tigo pesa,M-pesa,Airtel money)ili aweke salio kwenye akaunti yake kisha unamnunulia salio kupitia akaunti yake,hiyo njia kiukweli ilikuwa nzuri kwetu freelancers kwasababu ilitupatia kamisheni nzuri.
Mimi mara zote pesa nilikuwaga nakwenda kuweka kwenye hilo duka la Ally Mpemba ambalo alikuwa akiuza dada yake aliyeitwa Farah,lile duka lilikuwa la simu lakini pia alikuwa akijishughulisha na utumaji na utoaji wa pesa kupitia mitandao ya simu,sasa kuna mteja alikuja nikawa nimesajilia line ya simu kisha nikamuomba buku ili nikamuwekee pesa kwenye akaunti yake kisha nimnunulie salio kama kawaida.
Mimi "Dada niwekee buku kwenye namba hii"
Farah "Nataka nikaweke float maana nilipoondoka nilizikomba zote!"
Aliendelea "Sitafunga utaniangalizia mara moja nikimbie hapo Crdb kuweka float kisha nawahi kurudi"
Mimi "Sawa dada usijali"
Farah "Ila master naona kishavu kishaanza kutoka,unapiga sana hela wewe!"
Mimi "Aaaaah hamna kitu dada"
Mimi "Kila siku tupo wote na unaniona ina maana leo ndiyo kishavu kimetoka?"
Farah "Wiki mbili nyingi sana mdogo wangu kwa mabadiliko!"
Wakati tunaongea kuna jamaa aliingia pale dukani na ilionekana walifahamiana na dada Farah,sasa jamaa kumbe dada Farah ndiye aliyekuwa amempigia simu akimhitaji aje pale dukani.
Jamaa " we unazingua sana rafiki yangu!"
Aliendelea "Ndugu yako pia nikimwambia anipe ananiambia ametoka"
Farah "Nilikwambia unisubiri nirudi mbona nyie wazigua mnakuwaga ving'ang'anizi!"
Jamaa "Wiki mbili nakutafuta hupatikani,hata simu nikipiga hupokei!"
Farah "Acha ukorofi wako,hebu shika hii hela nenda crdb uniwekee kwenye float"
Jamaa "Nakata hela yangu kabisa"
Farah "We nenda bwana ukirudi nakuja kukupa hela yako"
Sasa sikutaka kupoteza muda sana mle dukani,nilitoka nje nikamfata mteja wangu nikamwambia asubiri kidogo hadi jamaa wa float atakaporejea,sikutaka kabisa kwenda kuweka hela mahali pengine maana nilijua kufanya hivyo kusingekuwa na picha nzuri kwa watu ambao walinipatia eneo la kufanya biashara bila bugudha,hivyo mara zote salio nimekuwa nimiweka pale dukani.Kitu ambacho kiliendelea kuniumiza kichwa ni kitendo cha Farah kudai hakuwepo hilo eneo kwa takribani wiki mbili na kitu cha ajabu ni kwamba hadi duka alikuwa amelifunga kwa siku zote hizo,sasa swali likabaki ni nani ambaye alikuwa akifungua lile duka siku zote zile?,kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana ambayo yalikosa majibu kwa muda ule.
Yule mteja baada ya kuona namchelewesha,aliniomba ile buku akanimbia atakwenda kuweka mwenyewe mbele ya safari,nilichomsisitiza ni kwamba ahakikishe anaweka kwanza hela kwenye akaunti yake kisha ananunua salio la kawaida.Kwakuwa sikuwa na wateja kwa muda huo nilinyanyuka nikasogea dukani kwa Farah angalau kuweza kujua ni kitu gani kilikuwa kinaendelea.
Mimi "Sasa dada kama hukuwepo mbona duka ulikuwa ukifungua kika siku!"
Farah "utakuwa unaota master,si ndiyo?"
Mimi "Sioti dada,jana mbona duka ulifungua!"
Farah "Mimi jana ndiyo nimetoka Zanzibar,haya hilo duka nimefungua muda gani?"
Baada ya kuona nako elekea ni kubaya na kuleta taharuki,niliamua kunyamaza na kuanza kujiongelesha ili kumfanya dada Farah asihisi kitu kwasababu nilianza kumuona kama hayuko poa na maswali yangu,sikutaka kabisa kumuuliza maswali tena asije kudhani nimeanza kufutalia maswala ya familia yao.Niliamua kutoka nje na kurudi sehemu yangu ya kazi.
Ilipofika mida ya saa 10 alasiri nilikusanya mwamvuli wangu pamoja na viti kisha nikavipeleka mahali ambapo mara zote huwa nikiviweka,baada ya hapo niliondoka kuelekea sokoni Kkoo nikanunua vyakula vya Maya kisha nikaondoka kuelekea Magomeni,nilipofika niliviweka vile vyakula pale kwenye meza kisha baada ya kumaliza nilichukua gari nikaondoka kuelekea nyumbani kwangu Gongo la mboto kwa ajili ya kuoga na kubadili nguo kisha nikarudi tena Magomeni.
Maisha yaliendelea kama kawaida huku mimi kila ijumaa Maya alikuwa akija mle chumbani nikawa namkung'uta viboko vyenye utamu wa asili kama kawaida,kiukweli niliamua kuwa muaminifu kwenye kila suala alilokuwa ameniambia Ally Mpemba.
Ilipofika mwisho wa mwezi ambao nilitegemea uenda Ally Mpemba angerudi lakini hakurudi kama alivyokuwa ameniambia.Mimi niliamua kutekeleza yale matwaka ya ile bangiri na kweli nilipata hela sana,safari hii baada ya kupata ile hela niliamua kwenda sokoni pale Ilala kwa yule mama Eliya na nikiwa na lengo la kumpata Rehema,sikutaka kabisa yule mama aelewe chochote ya kwamba nilikuwa nikimhitaji Rehema awe mpenzi wangu.
Mimi "Shikamoo mama"
Mama Eliya "Marhaba baba"
Aliendelea "Karibu"
Mimi "Ahsante"
Mama Eliya "Leo nikupatie nini!"
Mimi "Nitanunua tu kabeji kama kawaida"
Mama Eliya "sawa chagua sasa!"
Mimi "Mama hivi yule dada wa juisi leo ameonekana kweli?"
Mama Eliya "Eeeh alipita hapa muda kidogo umepita"
Mimi "Siku ile nimeinywa juisi yake ilikuwa nzuri mno,pale nyumbani kuna sherehe hivyo nilitaka nimpe kazi ya kuiandaa halafu nitamlipa"
Mama Eliya "Hebu subiri nakuja"
Yule mama aliondoka akawa ameelekea nisiko kufahamu kisha baada ya muda kidogo akawa amerudi.
Mama Eliya "Nilienda kumtizama kama yupo kule,huwa anapenda kukaa kwa dada mmoja naona pia anasema ameondoka muda si mrefu "
Mimi "Sawa nitakuachia namba ya simu akipita tafadhali mpatie mwambie anitafute"
Mama Eliya "Sawa baba"
Baaada ya kununua kabeji nilimuachia yule mama na kihela kidogo nikawa nimeondoka.Niliona zile kabeji nizipeleke kabisa nyumbani kwa Ally Magomeni ili mimi nirudi niendelee na misele kama kawaida.
Sasa kesho yake nikiwa katika eneo langu la kazi kama kawaida kuna namba ngeni ikawa imenipigia simu,nilipopokea kumbe alikuwa ni Rehema.
Mimi "Jana nimekuja lakini sikukuta"
Rehema "Kwahiyo tangu siku ile ndiyo ukaona unitafute jana"
Mimi "Mambo yalikuwa mengi ndiyo maana ukaona kimya"
Rehema "Najua mkeo hayupo ndiyo umeona unitafute, haya nambie sasa!"
Mimi "Nilikwambia sina mke!"
Rehema "kwani mnaaminikaga basi!"
Mimi "Sikia,leo nahitaji tuwe wote!"
Rehema "Leo kiukweli sitapata muda!"
Mimi "Niambie basi lini una muda!"
Rehema "Kesho nikitoka kwenye vikoba nitakwambia"
Mimi "Unatoka saa ngapi?"
Rehema "Tunakutanaga saa 10 jioni,hivyo labda saa 12 nikitoka ndiyo nitakuwa na muda"
Aliendelea "Nitumie basi elfu 10 kesho nipeleke vikoba"
Mimi "Nakutumia usijali "
Rehema "Ila kesho tukionana nitawahi kurudi nyumbani"
Mimi "Hakuna tatizo"
Baada ya mazungumzo na yule mwanamke nilimtumia hela elfu 20,sasa nakumbuka siku ambayo niliongea na Rehema ilikuwa jumatano na hivyo ilipaswa nionane nae siku ya Alhamisi jioni kama alivyokuwa ameniambia.Siku ya Alhamisi sikutaka kabisa kutokea eneo la kazi,nilipoamka pale nyumbani Kwa Ally Mpemba nilichukua gari nikawa nimeondoka kuelekea kwangu,nia na madhumuni ilikuwa ni kujiandaa kiakili na kimwili ili nikamkabili mwanamke mwenye shepu lake zuri Rehema.Nilihakikisha mazingira yote ya chakula cha Maya nayaweka vizuri na ilipofika saa 12 jioni nilifungua kile chumba nikawa nimekiacha wazi kama kawaida.Kweli,baada ya kutoka kwenye vikoba vyao akawa ameniambia nikamchukue,sasa niliondoka kuelekea Ubungo nikamkuta akiwa ananisubiri pale Ubungo jirani na ofisi za Tanesco.Nimchukua kisha tukaelekea Tabata,Rehema alikuwa amevaa nguo ya kitenge ambayo ilimchora vema umbo lake akazidi kunivutia sana,kuna mahali tulifika tukawa tumekaa tukaagiza chakula,mimi mbali ya chakula lakini pia niliagiza bia nikaanza kunywa,Rehema yeye hakuwahi kunywa pombe hivyo aliagiza chakula tu na maji ya kunywa.
Mimi "Leo tunaenda kulala kwangu"
Rehema "Sijawahi kulala nje pamoja na utu uzima wangu huu na sitathubutu"
Mimi "Kwanini?"
Rehema "Basi tu ndivyo ninavyoishi"
Mimi "sawa"
Rehema "Basi tuwahi kuondoka ili uwahi kunirudisha"
Baada ya kumaliza kula tuliondoka kuelekea Gongo la mboto,kiukweli baada ya kufika tu nyumbani hakukuwa na maneno mengi,nilimvuta Rehema chumbani na kuanza kumtomasa kwa ulimi na vidole bila huruma,baada ya kuona yupo tayari kwa vita nikamwambia ageuke kisha nikashika zipu nikamvua ile gauni,baada ya lile gauni akawa amebaki na sidiria pamoja na taiti,nikamvua ile sidiria kisha nikamvua na ile taiti akawa amebaki na chupi kisha nikamtupa kitandani,yule mwanamke alikuwa ni mzuri sana kwa umbo na hakuwa na mambo mengi,sikutaka kupoteza muda nikateremsha ile chupi kisha nikamuingizia mwanzi na safari ya kuvuna ulanzi ikaanza.
Baada ya kumtembezea mwanzi wa uhakika ni kama alianza kumwaga ulanzi ule wa mwanzo akiutafuta ulanzi wa pili ili anywe alewe kabisa.Nilidhani alivyoniambia angewahi kurudi nyumbani alikuwa serious kumbe alikuwa akitania,baada ya kumtandika mwanzi kisawa sawa aligoma kabisa kuondoka na akasema nitampeleka asubuhi nyumbani kwao.
Nimewahi kutembea na wanawake kadhaa lakini nadiriki kusema sitamsahau Rehema,nilipokuwa kwenye mahusiano na Shamima binti wa kitanga niliwahi kukiri ya kwamba sidhani kama ningekutana na mwanamke mwenye nyuchi tamu kuliko yeye lakini baada ya kutembea na Rehema kiukweli alimzidi kwa mbali sana Shamima.
Usiku huo kwangu ulikuwa bora sana kuliko usiku wowote ule ambao nimewahi kuupitia,ilipofika mida ya saa 11 alfajiri,niliamka kujiandaa kuondoka kwenda kuufunga ule mlango wa chumba cha Maya kule Mgomeni kwa Ally Mpemba.
Rehema "Unawahi wapi asubuhi yote hii mpenzi?"
Mimi "Nakuja mara moja"
Rehema "Basi uwahi kurudi,mwenzio nahisi baridi"
Mimi "Narudi sasa hivi mama"
Nilimgongea brother mmoja ambaye gari ile niliipaki kwenye nyumba ya kwao,ile nyumba na ambayo nilikuwa nimepanga zilikuwa za mtu mmoja,niliyemgongea alikuwa ni mmoja wa vijana wa mzee mwenye nyumba.
Niliingia kwenye gari kisha nikatoka zangu fasta kuwahi muda,nilipofika kwa Ally gari niliipaki nje kisha nikafungua geti nikazama ndani,baada ya kufungua mlango wa sebuleni nikakuta zile mboga Maya hakula,sikuelewa ni kitu gani kilitokea lakini nikaenda nikaufunga ule mlango wa Maya kisha nikawa nimefunga nyumba na kuondoka.
Siku hiyo Rehema hakwenda kazini kabisa,pia na mimi vilevile,tulikesha hapo nyumbani tukipigana mfweni wa maana kwasababu kila mmoja alikuwa na matamanio na mwenzie,sasa ilipofika mida ya saa 4 asubuhi nikiwa nimelala kwa uchovu,simu yangu ilianza kuita.
Niliamka nikaisogelea nikakuta ni brother Ally Mpemba akiwa ananipigia.Nilipoipokea ile simu nilikuta Ally Mpemba amejaa sana sumu huku akiongea kwa hasira tofauti na mwanzo nilivyomzoea.
Ally Mpemba "Unataka kunisababishia umasikini?,si ndiyo?
Aliendelea "Nakuuliza wewe,unataka kunisababishia umasikini?"
Itaendelea................