Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Bado mjomba inaelekea saa kumi hii bilabilaavipi kwani bado... badae ntarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mjomba inaelekea saa kumi hii bilabilaavipi kwani bado... badae ntarudi
Kwahyo umetuacha yatima sio?Kule Nipo likizoo bestttttt!! Naona kumevamiwa vamiwa tu sikuhizi hata sipaelewi ! Ngoja nitulize mshono hukuu kunenougaa hatarii
Hapana tupo pamoja wapendwa wangu nawaachaje kirahisi hivii ! Napumzika kidogo NtarudiKwahyo umetuacha yatima sio?
22 bado ila 21 soma hapaMtu atokee anisaidie kunitag episode no 21 ,22 na kuendelea maana Mimi sm yangu ya batoni haina Huwezo kusarch
AiseeU remind me about something I was about to forget......related true story & naked truth!......
Maeneo flani hapo banana ukonga,
Kuna mtaa unaitwa mtaa wa hali hewa....ni jirani kabisa na ofisi za TMA-mamlaka ya utabiri wa hali ya hewa.. maeneo ya kipunguni-hali ya hewa,
Kuna nyumba Moja ni maruufu kwa uuzaji wa Maji miaka na miaka! maeneo hayo tangu zamani....Al maarufu panafahamika kama kwa Bacho!
Kuna hekalu kubwa la vigae vyekundu juu na kabustani kazuri kulizunguka hilo hekalu,
Jamaa anajihusisha na mambo ya clearing bandarini.....hilo jumba tangu tukiwa wadogo miaka ya 89,90 hadi sasa nnapoandika....
Haijawahi kaliwa na mtu yeyote.....ni mahindi tu! Huwa yanaanikwa hapo....
Jamaa yeye miaka yote anakaa kwenye nyumba ndogo ya chumba sebule! Hapo hapo na ana gari kali tu huwa anabalisha. Hii dunia ina mengi aisee!
Acha dhambi bhasKule Nipo likizoo bestttttt!! Naona kumevamiwa vamiwa tu sikuhizi hata sipaelewi ! Ngoja nitulize mshono hukuu kunenougaa hatarii
Fungua PM Mara mojaHapana tupo pamoja wapendwa wangu nawaachaje kirahisi hivii ! Napumzika kidogo Ntarudi
Hahahaaa..haya nimerudi bestttt
Ngoja tusubiri tuoneMaster hanaga uswahiliiii Leo anashusha