Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kaaaa zuu bana amaezingua
 
Lucha kuna sehemu inabidi upite kwa speed ukianza kusoma, zuu amezingua
 
Hata mil 2 tu huwezi mpa mtu wa namna hiyo. Jamaa ana fail sana. anaamini anasimulia watu wote wenye akili ndogo. Anatakiwa anapotunga asicheze mbali na uhalisia.....
 
Hata mil 2 tu huwezi mpa mtu wa namna hiyo. Jamaa ana fail sana. anaamini anasimulia watu wote wenye akili ndogo. Anatakiwa anapotunga asicheze mbali na uhalisia.....
Tumezaliwa tofauti sana mkuu..unachokiona kwako kigumu kwa mwenzako ni rahisi sana..hivi ushawahi kujiuliza kwanini pamoja na maonyo yote na stori lukuki za watu kuibiwa mjini kati mpaka leo bado kuna ndezi wanapigwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…