Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
"Zuuu wangu wamemchukua Kaka"
Nimecheka sana [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaha...
Hapo nimefikiria sauti ya kilio cha kwikwi kwa sauti ya ucheshi ya marehemu Mzee Majuto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Zuuu wangu wamemchukua Kaka"
Nimecheka sana [emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa si kila mtu anaamua wa kuwaamini?Mkuu, hujalazimishwa! Mbona uliwaamini akina "MAJALIWA", na yule mdogo aliposema, alienda kuwaaga rubani na wenzie watano waliokuwemo kwenye chumba cha rubani?
Siyo kihivyo. Nachotaka mshauri ni kuwa awe anatulia anapotunga stories na watu wazima wapo humuTumezaliwa tofauti sana mkuu..unachokiona kwako kigumu kwa mwenzako ni rahisi sana..hivi ushawahi kujiuliza kwanini pamoja na maonyo yote na stori lukuki za watu kuibiwa mjini kati mpaka leo bado kuna ndezi wanapigwa?
Tunatofautiana mazingira, miaka, vipato, experience na vingi tu kwenye maisha. Mie niliwahi kupigwa milion 20 kizembe tu na mtu niliemuamini sana.Hata mil 2 tu huwezi mpa mtu wa namna hiyo. Jamaa ana fail sana. anaamini anasimulia watu wote wenye akili ndogo. Anatakiwa anapotunga asicheze mbali na uhalisia.....
mmmmmh unanitisha sasaMwanamke wa kimakonde akiamua akukamate anakukamata kweliii na huchomoii
Nakutisha kwani umeoa mmakonde?mmmmmh unanitisha sasa
Yeye alikuwa na uwezo hata wa kushika Mil 5?Tunatofautiana mazingira, miaka, vipato, experience na vingi tu kwenye maisha. Mie niliwahi kupigwa milion 20 kizembe tu na mtu niliemuamini sana.
Hata mimi sijaielewa hiyo feature tangu lini tz kukawa na snow mambo ya father christmass wawaachie wadhunguuuuJamiiForums mmeleta hizo snow humu kumekua na baridi mpaka UMUGHAKA anashindwa kuandika amebaki kutetemeka tuu...
uko kwenye kuoa bdo nina demu mmakonde tu japo ajakulia hukoNakutisha kwani umeoa mmakonde?
Nina watunnawajua walianzia kazi huko tena vyeo vizuri na wakastaafia huko nyumbani walirudi wakiwa mifupa mitupu kwa maradhi na ndani ya week chache walikufa. Kwao hakikurudi hata kijiko...
Me ni majirani zangu kimkoa so nawaelewa sana tuu
yaan aseeee watoe tu aseeeHata mimi sijaielewa hiyo feature tangu lini tz kukawa na snow mambo ya father christmass wawaachie wadhunguuuu
Mkuu, hii tuichukulie ni hadithi tu!Sasa si kila mtu anaamua wa kuwaamini?
😄😄Nimepita hapa Gongo la mboto, nikakumbuka hii story ya UMUGHAKA na ile nyumba alipanga hapa.View attachment 2456678
Mkuu story inaendelea lini?Hello
Wakuuu kwema?,mnaendeleaje humu ndani?
Niwatakie wakristo wote wanaosherehekea Christmas HERI YA CHRISTMAS na niwaombe mshehekee kwa kumtukuza Mungu na siyo kuitukuza Anasa na kuipatia dhambi sifa!.
Bado sijapata mualiko ndugu zangu.