Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ukumbusho kwa wanaume wenzangu
Msihadaike na profile picture za wanawake wa humu jf, wengi wao ni wale wanawake wabaya mtaani wasiokuwa na soko ndio wanapata ahueni kuchat humu mitandaoni.


Huu ujumbe kaandika member fulani humu, eti ni kweli?

Siku ukipata kujuana baadhi ya wanawake humu, hautakuwa na uthubutu wowote wa kuandika hivi.
 
Hii simulizi imefika sehemu ya ngapi? Huku kwangu nimebofya uzi ukanileta page ya mwisho kabisa, nashindwa kuifuatilia.
 
Ukumbusho kwa wanaume wenzangu
Msihadaike na profile picture za wanawake wa humu jf, wengi wao ni wale wanawake wabaya mtaani wasiokuwa na soko ndio wanapata ahueni kuchat humu mitandaoni.


Huu ujumbe kaandika member fulani humu, eti ni kweli?
Ni kweli mkuu kinachowasaidia ni kuwa nyuma ya keyboard tu, kama sivyo tungepoteana apa jukwaani
 
kumbe zenji nimkoa?huwezi kwenda nalo mkuu.msalimie bloo apo.👏
We unapindisha mada ionekane ndefu wakati point ilinyooka tu. Ndo nyie mkija jf kila Mtu tajiri😊 kila mtu ana drive kwenda Kenya, Arusha ume jenga na una magari, mwanza una magari.
Nilikua nakupa mfano. Sasa nianze
Kujielezea hapa kwamba znz sio mkoa au ni mkoa si mi Na we tutaonekana wote punguani.
 
nd
We unapindisha mada ionekane ndefu wakati point ilinyooka tu. Ndo nyie mkija jf kila Mtu tajiri😊 kila mtu ana drive kwenda Kenya, Arusha ume jenga na una magari, mwanza una magari.
Nilikua nakupa mfano. Sasa nianze
Kujielezea hapa kwamba znz sio mkoa au ni mkoa si mi Na we tutaonekana wote punguani.
ndio Mana Nisha maliza hapojuu kwa kusema huwezi kwenda nalo huko.nikamaliza kwa kusema msalimie bloo hapo.👏sawa shem
 
Uchambuzi wa stori hadi hapa tulipofikia


UMUGHAKA Kukosea masharti ilikuwa planned,....hivi ndivyo huu utajiri unavyoenda / unapumbazwa then unakosea masharti. Ili uingie kwenye mfumo then mfanye collective bargaining upya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Hata ujitahidi vipi kujifanya innocent wa kufuata masharti .......lazima Kuna siku utajaa kwenye mfumo


UMUGHAKA ilikuwa lazima akosee masharti ili price itimizwe

References from different movies

shenala the chronicles & Merlin

."....for every magic there is price to pay"
 
Back
Top Bottom