Ukumbusho kwa wanaume wenzangu
Msihadaike na profile picture za wanawake wa humu jf, wengi wao ni wale wanawake wabaya mtaani wasiokuwa na soko ndio wanapata ahueni kuchat humu mitandaoni.
Huu ujumbe kaandika member fulani humu, eti ni kweli?
gari lako mkoani halifi?🤣🤣nispana mkononi au..Mda mwengine hulitumii. Au uko mkoani
Umeandika kwa uchungu sana mkuu😅😅😅Siku ukipata kujuana baadhi ya wanawake humu, hautakuwa na uthubutu wowote wa kuandika hivi.
Tunasubiri epsode ya 22Hii simulizi imefika sehemu ya ngapi? Huku kwangu nimebofya uzi ukanileta page ya mwisho kabisa, nashindwa kuifuatilia.
Ila ujumbe umewafikia. Hiyo ni dalili ya ukahaba. Pelekeni ujinga wenu kule MMU. Nyie kila uzi ni mizaha na ngono tu. Mnaboa bwana.Puta kimya kimya wanaume hawana maneno mengi bn weeeh.
Nawe unataka uonekane nn.....maana unaendelea kuchonga na tumesema tumekuelewa....Ila ujumbe umewafikia. Hiyo ni dalili ya ukahaba. Pelekeni ujinga wenu kule MMU. Nyie kila uzi ni mizaha na ngono tu. Mnaboa bwana.
Ha haaaaPendaelli Santos06 Mafian cartel Poker kiduku mpapaso Restless Hustler Kambi ya Fisi Doctor G Labani og leadermoe St anne mambo tayareeeeee hukuuuuu
Unakaa dar,gari lako mkoani halifi?🤣🤣nispana mkononi au..
Ok, una hekima na asante kwa kunielewa ila acheni hiyo kwani mnakwaza wengine.Nawe unataka uonekane nn.....maana unaendelea kuchonga na tumesema tumekuelewa....
Ni kweli mkuu kinachowasaidia ni kuwa nyuma ya keyboard tu, kama sivyo tungepoteana apa jukwaaniUkumbusho kwa wanaume wenzangu
Msihadaike na profile picture za wanawake wa humu jf, wengi wao ni wale wanawake wabaya mtaani wasiokuwa na soko ndio wanapata ahueni kuchat humu mitandaoni.
Huu ujumbe kaandika member fulani humu, eti ni kweli?
Asante nipo bize kinoma ,Nitakua nakutag no 22 nishaiona kitambo...naona uko bize now
kumbe zenji nimkoa?huwezi kwenda nalo mkuu.msalimie bloo apo.👏Unakaa dar,
Una kazi ya siku mbili znz, utaenda na gari lako mkuu?
hatamimi mkuu nilipewa connection ya demu huyoo sura mbovu.ila avater sasa🤣🤣yapisikali kabisa mwanangu daa nilichoka.Ni kweli mkuu kinachowasaidia ni kuwa nyuma ya keyboard tu, kama sivyo tungepoteana apa jukwaani
We unapindisha mada ionekane ndefu wakati point ilinyooka tu. Ndo nyie mkija jf kila Mtu tajiri😊 kila mtu ana drive kwenda Kenya, Arusha ume jenga na una magari, mwanza una magari.kumbe zenji nimkoa?huwezi kwenda nalo mkuu.msalimie bloo apo.👏
ndio Mana Nisha maliza hapojuu kwa kusema huwezi kwenda nalo huko.nikamaliza kwa kusema msalimie bloo hapo.👏sawa shemWe unapindisha mada ionekane ndefu wakati point ilinyooka tu. Ndo nyie mkija jf kila Mtu tajiri😊 kila mtu ana drive kwenda Kenya, Arusha ume jenga na una magari, mwanza una magari.
Nilikua nakupa mfano. Sasa nianze
Kujielezea hapa kwamba znz sio mkoa au ni mkoa si mi Na we tutaonekana wote punguani.