Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Nasaidia kumuita UMUGHAKA aje awatoe stress majobless halafu kile kisa cha kaka muarabu nikifikisha mwisho labda kama wewe hukufuata maelekezo niliyotoa,halafu kuhusu kazi usiwaze kabisa niko hapa kwa kazi maalum

Sasa mbona umetoka huko ulikotoka umekuja kuanza kupaniki bila sababu? waache hao unaowaita Misukule wewe ambaye unajiona ni special one endelea na maisha yako. halafu inatakiwa kuwa mstaarabu tu sio mpaka unaanza kuwaita watu wajina ya hovyo haipendezi. sisi sote thamani yetu mbele za Mungu ni sawa na wewe huna mamlaka au kauli ya kuanza kuwaita watu majina yasiyostahili.
 
Chukua hii jobless

Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli
UNAPANIKI SANA KIJANA CHUKUA HII

MADHARA YA TATIZO LA KUPANIKI
Husababisha mtu kuwa hatarini kupata magonjwa ya moyo, shinikizo la damu, kupooza, kuugua mara kwa mara,kuumwa kichwa na mgongo,tatizo la kupaniki linaweza kufanya mtu kuishi maisha ya upweke kupita kiasi kwa kuogopa kupata matatizo akiwa mbele ya wengine.
 
sehemu ya 23:

Basi bana baada ya kununua zile chupi niliamua niende tu nyumbani kwangu Gongo la mboto maana kipozeo changu Rehema ndio hivyo tena anakwenda kuliwa kichwa na majini ya Ally Mpemba.

Niliamua kupanda daladala maana sikuwa na ujasiri wa kwenda kule magomeni kwa Ally kuchukua ile audi ukizingatia hata chumba cha lile limsukule la kiarabu kilikuwa kiko wazi hivyo niliota itakuwa hatari sana kurudi pale bila kwanza kumaliza hili swala

Nilipokuwa njiani kwenda Gongo la Mboto nilipokea simu moja kwa moja kutoka kwa bro Ally akiniuliza mbona nimekawia sana kumpatia Rehema huo mzigo maana eti Maya hataweza kula mpaka kwanza awe ameinywa damu ya Rehema

Du! Nikabaki nimeduwaa nisijue cha kufanya,halafu kumbe wakati ninaongea na Ally nilikuwa nimeweka loudspeaker hivyo mazungumzo yote abiria wenzangu walikuwa wanayasikia live kabisa bila chenga.Hata sijui kwa nini niliweka loudspeaker au labda kwa sababu nilikuwa nishazoea kujiachia kwenye lile liAudi la kaka Ally muarabu wa Pemba

Basi baada ya kumaliza kuzungumza na Ally,gari zima walikuwa wamenitolea macho mimi huku wakionekana kuwa na wasiwasi sana na Mimi,tena walikuwa wakinongonezana nongonezana kwa sauti za taratibu sana ambazo ilikuwa vigumu kuzisikia lakini nilihisi neno makafara,Freemason na ushirikina yalikuwa yakitajwa tajwa kwenye minongono yao

Basi bwana,kulingana maelezo ya bro Ally kuwa damu ya Rehema inahitajika haraka sana ili Maya aweze kurudi katika hali yake ya kawaida niliamua nikifika nyumbani nioge fasta kisha niwahi nyumbani kwa Rehema nimkabidhi hii michupi yake ili mambo yarudi kama yalivyokuwa maana umaskini sio kitu kizuri aisee,yani siku mbili tu za kukosa usafiri wangu nimepoteza zaidi ya kilo 8 na usheee.

Nilipofika nyumbani nilienda moja kwa moja kufungua mlango wa nyumbani yangu ila nilipatwa na mshangao wa mwaka sana kwa yale niliyokuwa nikiyaona

Nilikuta zile kabechi na mimboga mingine ya majani ninayomuwekea Maya pale sebuleni kwa maya ikiwa imemwagwa kwenye meza yangu ya hapa sebuleni

Kiukweli sikujua hii mimboga imefikaje fikaje hapa ila kabla hata sijajua nifanye nini simu kutoka kwa bro Ally ikawa imeingia.Kama kawaida yake akaongea kwa lafudhi ya kipemba akisema"aisee masta hizo kabechi hapo sebuleni kwako ndio chakula chako cha siku nzima na usithubutu kula chakula kingine chochote kabla ya Rehema hajatwaliwa maana tutampoteza maya "

Sekunde kumi tu baada ya Ally kukata simu nikawa nimepokea simu kutoka namba ngeni ya Tigo,kabla hata ya mpigaji hajajitambulisha kwangu akawa anaongea mfululizo kuwa Rehema amekutwa akiwa amejinyonga chumbani kwake na kaacha barua akisema chanzo no mimi UMUGHAKA hivyo nahitajika kituo cha polisi haraka

Punde tu baada ya simu hii kukatika ikaingia simu nyingine ambayo mpogaji kabla hajasema chochote alijitambulisha kwamba anaitwa maya ama Farah ananiomba nifike nyumbani kwake ndani ya nusu SAA

Nilijikita nimeganda kama sanamu nisijue kipi cha kufanya ila kabla hata sijaamua chochote simu kutoka kwa Ally ikawa tena imeingia


Itaendelea.........


Majobless kujeni sasa akina Allency na wenzako
Punga
 
Wamsema Maya kimafumbo yakhe

Kipi kinachokusababisha uanze kuwaita watu Misukule?
Upweke unakusumbua ndugu VIKTIM nakushauri kuondoka hasira na kupaniki kusiko na sababu fanya hivi

Vuta pumzi ndefu kisha hesabu 1 mpaka 5 kisha iache pumzi polepole itoke huku unahesabu 1 mpaka 5 kwa muda wa dakika 5 utaona mabadiliko mwilini ikiwemo mapigo ya moyo kushuka

Zoezi la kupiga miayo (YAWNING) piga miayo mfululizo kwa muda wa dakika 2

Zoezi la kuvuta pumzi polepole kaa kwa utulivu vuta pumzi polepole sana kisha unaiachia pumzi itoke polepole sana

Fanya mazoezi ya viungo,tembea mara kwa mara,kunywa maji mengi,epuka pombe, punguza matumizi ya chai ya rangi au kahawa,pata usingizi wa kutosha,fanya kazi kisha pumzika.

Utakaa sawa na utakuwa na amani ya moyo.
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 23.



Sikutaka kabisa kupoteza muda,baada ya kufanikisha lile zoezi la ununuzi wa chupi nilimtafuta Rehema nikajaribu kuongea nae na kumshawishi kuhusu ile zawadi.

Rehema "baby sasa size yangu umeipatia kweli?"

Mimi "Nimejitahidi baby wala usijali!"

Rehema "Zikinibana utazirudisha?"

Mimi "Nitakununulia nyingine!"

Rehema "Mmh haya bwana!"

Aliendelea "Uko wapi?"

Mimi "Natoka mjini naelekea nyumbani"

Rehema "Umefika wapi?"

Mimi "Bado nipo mjini"

Rehema "Pita basi Sokoni unisubiri nikusanye madeni yangu halafu tuondoke wote nyumbani!"

Mimi "Ila sina gari nimeipeleka gereji!"

Rehema "wewe pita bana kwani mpaka uwe na gari?"

Mimi "sawa nakuja mama"


Niliondoka kupanda gari nikashukia pale Ilala sokoni ambapo nilimpigia simu Ray akawa ameniambia nimsuburi mahali kwanza achukue hela zake,sasa baada ya kumalizana na watu wake alikuja akiwa amevaa mini sketi na tisheti nyupe iliyompendeza kupita kiasi,jioni ile sasa ndipo niliuona uzuri na umbo la Rehema kwa umakini na kiukweli alizidi kuichanganya akili yangu,kiukweli ni mwanamke ambaye Mungu alimjaalia umbo zuri sana,ingawa alikuwa na sura ya kawaida na alikuwa ni mwanamke fulani asiyekuwa na makuu,ulikuwa ukimuangalia kichwani alipenda sana kusuka Yeboyebo,pamoja na shepu yake kunichanganya lakini nilijikuta tu kadiri siku zilivyokuwa zikisonga ndipo nilimpenda kuzidi.

Mimi "Umependeza!"

Rehema "Sasa nimependeza na nini!"

Mimi "Kwahiyo wewe hujioni?"

Rehema "mmh aya bwana"

Aliendelea "Nipe basi hela ninunue mahitaji twende tukapike!"


Nilichukua elfu 20 nikampatia akawa ameniachia mkoba wake nimshukie na yeye aliondoka kuelekea tena sokoni kwa ajili ya kununua mahitaji.Baada ya kukamilisha alirejea tena akiwa amefungasha mazaga ya kutosha kwenye mifuko.

Mimi "Madumu ya juisi umeyaweka wapi?"

Rehema "Leo namshukuru Mungu nimemaliza mapema,nilirudi tu kuchukua hela maana watu wateja wangu wengi huwa wananilipa jioni hivyo huwa narudi kwanza nyumbani"

Mimi "sawa"

Tulipanda gari kuelekea Gongo la mboto na tulipofika tu nyumbani Rehema hakutaka mambo yawe mengi,aliniambia nimpatie chupi zake nilizokuwa nimenunulia kama zawadi azijaribu,alichukua lile begi langu ambalo ndani niliiweka ile dawa pamoja na zile chupi akawa amefungua zipu na kutoa zile chupi akaanza kujaribu moja baada ya nyingine,chupi zote zilimtosha kana kwamba alikuwa ametengenezewa yeye!,alifurahi sana.

Rehema "Kweli unanipenda nimeamini!"

Mimi "Kwanini?"

Rehema "Kama nimekuvulia chupi mara moja na umekiona kiuno changu na hujakosea basi wewe ndiye mume wangu naamini!"

Kauli ile ya Rehema ilizidi kunichanganya sana kiakili.Nilipaswa zile chupi nizitie dawa kabla ya kuzivaa ili akishaivaa ile nyekundu kazi ianze mara moja lakini nilijikuta ndiyo upendo unakolea sana na nilipokuwa nikimtazama ile shepu yake wakati anabadili zile chupi ni hakika ni kichaa tu ndiye angekubali kumpoteza Rehema.
Sasa baada ya Rehema kuanza kuweka mazingira ya kupika kule nje,niliichukua ile dawa nikaiweka mfukoni nikawa nimetoka nje.Sasa mahali nilipokuwa nikikaa mimi hakukuwa mbali na lerini(leri ya kati),niliondoka kuelekea huko lerini na nilipofika niliitupa ile dawa pembezoni mwa leri vichakani kisha nikarudi zangu nyumbani mdogo mdogo!.

Nilipofika nyumbani nikiwa nimewasha luninga naangalia,ghafla simu ya Ally Mpemba ikawa inaita,niliingalia ile simu kidogo nisiipokee ila niliamua kuipokea.

Ally Mpemba "Habari ya jioni master"

Mimi "Nzuri kaka,za huko"

Ally Mpemba "Uko wapi?"

Mimi "Nipo nyumbani kaka"

Ally Mpemba "Nilikuamini ila umejikosesha mwenyewe,jitafakari?"

Aliendelea "Kuna mtu naomba umkabidhi funguo wa nyumba yangu"

Mimi "Lakini kaka nimefanya mistake tu "

Ally Mpemba "wewe bado dogo haya mambo yatakugahrimu,shauri yako!"


Baada ya jamaa kuniambia vile akawa amekata simu,mimi niliamua likalotokea ngoja litokee lakini kiukweli sikutaka kabisa kumtoa kafara mwanamke mzuri Rehema ambaye hakuwa na hatia hata kidogo ingawaje pia nilikuwa nikimpenda sana tu!.Wakati nikiwa sebuleni Rehema alikuja kuniita ndani akisema kuna mtu ananiita nje.
Sasa nilipotoka nje nilikutana uso kwa uso na Farah na kiukweli mwanamke yule alikuwa akifanana sana na Maya na sikuwahi kuelewa alikuwa ndiye wa dukani pale kkoo au huyu yeye alikuwa ni nani?maana yule wa kkoo yeye aliwahi kuniambia hakuwepo kwa muda wa wiki 2,sasa Je huyu ni nani?,hilo lilikuwa ni swali gumu sana kwasababu hakuna aliyeweza kunipatia majibu.

Farah "Habari yako Master?"

Mimi "Nzuri dada Farah "

Farah "Naomba funguo wa nyumba"

Niliingia ndani kuchukua funguo kisha nikamletea,baada ya kumpatia ule funguo akanishukuru kisha akawa anatoka nje nami nikawa namsindikiza,sasa lengo langu ni tutoke nje nimuombe aongee na Ally Mpemba aniombee msamaha kwa kile nilichokuwa nimekifanya,sasa baada ya kutoka nje niliikuta ile Range ikiwa imepaki na sikutaka kabisa kusubiri ikabidi nimuulize funguo wa ile gari ameitoa wapi wakati mara zote nilikuwaga nikiiacha ndani ya ile nyumba na funguo wa nyumba ndiyo alikuwa amekuja kuuchukua!.Nilibaki nikishangaa sana.

Mimi "Dada nilikuwa nakuomba niongee nawe kidogo!"

Farah "Kesho tuonane!"

Mimi "Sawa"


Alipanda kwenye gari akawa ameondoka.Nilidhani uenda yeye alikuwaga na funguo wa lile gari lakini nilizidi kuchanganyikiwa kwasababu lile geti la ile nyumba lilikuwa limefungwa.Sikutaka kabisa maneno na Ally Mpemba kwasababu ni mtu aliyekuwa akiniamini sana na nilitaka kufanya kila kinachowezekana nimuombe msamaha.

Rehema "Huyo ni nani?"

Mimi "Ni mdogo wake na bosi wangu!"

Ilikuwa ni mara chache sana mimi kulala pale nyumbani kwangu tangia nimejuana na Ally Mpemba kila mara anapokuwa akisafiri,mara zote ambazo anakuwa hayupo nilikuwa nikilala pale kwake kwenye ile gari ndogo ambayo alinipatia.Sasa kwakuwa nilikuwa nishaharibu alinikataza kabisa mimi kulala pale kwake hadi nifanye jambo nililokuwa nimeelekezwa na Mzee wa Chumbe.

Ilipofika asubuhi baada ya kuamka nilijiandaa ili nielekee kwenye kazi yangu ambayo ilinipeleka pale Kkoo,nilipoondoka nyumbani niliamuacha Rehema akiwa amelala na niliamuambia akiondoka afunge nyumba na funguo aziache kwa demu wa Steve.Sasa nilipofika kkoo nilikuta tayari dada Farah amekwisha kufungua duka na swali lake la kwanza ni mbona tangia juzi sikuonekana?.

Farah "Sijakuona tangia juzi,kwema lakini?"

Mimi "Tangia juzi dada wakati jana umekuja nyumbani!"

Farah "Nije kwako hata napajua?"

Mimi "Dada wewe si jana umefata funguo wa nyumbani kwa kaka Ally!?"

Farah "Weeeee!....mjini hapa,isije ukawa umetapeliwa funguo za nyumba ya watu!"


Aliponiambia vile ndipo nikazidi kuchanganyikiwa na nikaona yawezekana kuna mchezo akawa uenda ananichezea pasipo mimi kufahamu!.

Mimi "Kwani dada nyie kwenu mko mapacha?"

Farah "Kwanini?"

Mimi "Nimeuliza tu!"

Farah "Hivi kweli wewe uko sawa?,nisije kuwa nazungumza na chizi!"

Mimi "Tangu lini nimekuwa chizi Aunt Farah?"

Farah "Vitu unavyoongea sikuhizi havieleweki kabisa master,umekuaje?"

Mimi "Dada mimi mbona niko kawaida!"

Farah "Ni juzi tu umetoka kuniambia nimefungua duka wakati mimi sikuwepo,haya leo tena umekuja na mpya kwamba nimekuja kwako kuchukua funguo za Ally?"

Aliendelea "Umewahi kuniona hata sura?"

Baada ya swali lake sikujua nimjibu nini kwasababu kila nilochokuwa nikimwambia alikuwa akiniona kama mwendawazimu na mara zote imekuwa ngumu sana kumjua Farah kwasababu amekuwa akivaa Nicab asubuhi hadi atakapofunga duka.Sasa ile siku aliyokuja kuchukua funguo wa gari ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kumuona uso wake na wakati ananipigia simu aliniambia anaitwa Farah hivyo nikajua ni huyo mdogo wake na Ally Mpemba.Kiukweli hali ilikuwa mbaya sana.

Farah "Halafu pia umemfanya nini Ally?"

Mimi "Kwanini dada?"

Farah "Alinipigia simu akasema upishe karibu na duka "

Aliendelea "Ila sijamjibu"

Mimi "Mbona dada hakuna baya nililomfanya kaka Ally"

Basi baada ya yale maneno ya Aunt Farah nilifahamu kabisa hali ishakuwa mbaya sana,kibaya zaidi jamaa anahitaji niondoe biashara yangu kando ya duka lake,nilikaa kimya nikarudi kuendelea na kazi lakini kiukweli ni kama moyo ulikuwa ukinifukuta sana,nilinyanyuka kurudi dukani kwa Farah ili nimuulize swali na akinijibu nikishaelewa ningejua pa kuanzia.

Mimi "Kwani dada wewe huwa unapacha wako?"

Farah "Kwetu hatukuzaliwa mapacha!"

Mimi "Je,unamjua Maya?"

Farah "Maya?,ndiyo nani tena huyo mdogo wangu?"

Mimi "Kuna dada mmoja huwa mmefanana sana ndiyo maana nikadhani mlizaliwa mapacha"

Farah "Wewe unavituko sana,unamfananishaje mtu na mimi wakati hata sura yangu hujawahi kuiona!?"

Mimi "Sawa dada,Je Zahra unamjua?"

Farah "Zahra?"

Aliendelea "Eeh wewe umemfahamia wapi Zahra?"

Mimi "Unamfahamu?"

Farah "Ndiyo namfahamu!"

Mimi "Ni nani?"

Farah "Kwani wewe una nini?mbona naona mapicha picha tu!"

Mimi "Tafadhali Aunt Farah naomba uniambie kuna kitu utanisaidia na mimi nitakusaidia!"

Farah "Zahra alikuwa dada yangu toka ni nitoke ila kwasasa ni marehemu!"

Sasa kuna muda tunaongea tulikuwa tunasuburi wateja waondoke kisha wateja wakiondoka tunaendelea,kiukweli baada ya kumtajia Farah jina la Zahra alishituka sana na kushangaa,mimi kiukweli niliamua liwalo na liwe kwasababu ilivyoonekana ni kama Ally Mpemba alikuwa amenikataa na hata kama ningejipendekeza vipi asingenielewa.

Farah "Kaka Ally ndiyo alikwambia kuhusu Zahra?"

Mimi "Hapana dada!"

Farah "Ok wewe Zahra umejuaje na kuna kitu gani kumuhusu?"


Itaendelea.................
Hatari sana unakipaji kikubwa sana dogo..ukiona hadi watanzania wasiopenda kusoma wanafuatilia point kwa point story zako basi ujue wewe ni wapekee na si ajabu utajir wako upo kwenye uandishi..
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 23.



Sikutaka kabisa kupoteza muda,baada ya kufanikisha lile zoezi la ununuzi wa chupi nilimtafuta Rehema nikajaribu kuongea nae na kumshawishi kuhusu ile zawadi.

Rehema "baby sasa size yangu umeipatia kweli?"

Mimi "Nimejitahidi baby wala usijali!"

Rehema "Zikinibana utazirudisha?"

Mimi "Nitakununulia nyingine!"

Rehema "Mmh haya bwana!"

Aliendelea "Uko wapi?"

Mimi "Natoka mjini naelekea nyumbani"

Rehema "Umefika wapi?"

Mimi "Bado nipo mjini"

Rehema "Pita basi Sokoni unisubiri nikusanye madeni yangu halafu tuondoke wote nyumbani!"

Mimi "Ila sina gari nimeipeleka gereji!"

Rehema "wewe pita bana kwani mpaka uwe na gari?"

Mimi "sawa nakuja mama"


Niliondoka kupanda gari nikashukia pale Ilala sokoni ambapo nilimpigia simu Ray akawa ameniambia nimsuburi mahali kwanza achukue hela zake,sasa baada ya kumalizana na watu wake alikuja akiwa amevaa mini sketi na tisheti nyupe iliyompendeza kupita kiasi,jioni ile sasa ndipo niliuona uzuri na umbo la Rehema kwa umakini na kiukweli alizidi kuichanganya akili yangu,kiukweli ni mwanamke ambaye Mungu alimjaalia umbo zuri sana,ingawa alikuwa na sura ya kawaida na alikuwa ni mwanamke fulani asiyekuwa na makuu,ulikuwa ukimuangalia kichwani alipenda sana kusuka Yeboyebo,pamoja na shepu yake kunichanganya lakini nilijikuta tu kadiri siku zilivyokuwa zikisonga ndipo nilimpenda kuzidi.

Mimi "Umependeza!"

Rehema "Sasa nimependeza na nini!"

Mimi "Kwahiyo wewe hujioni?"

Rehema "mmh aya bwana"

Aliendelea "Nipe basi hela ninunue mahitaji twende tukapike!"


Nilichukua elfu 20 nikampatia akawa ameniachia mkoba wake nimshukie na yeye aliondoka kuelekea tena sokoni kwa ajili ya kununua mahitaji.Baada ya kukamilisha alirejea tena akiwa amefungasha mazaga ya kutosha kwenye mifuko.

Mimi "Madumu ya juisi umeyaweka wapi?"

Rehema "Leo namshukuru Mungu nimemaliza mapema,nilirudi tu kuchukua hela maana watu wateja wangu wengi huwa wananilipa jioni hivyo huwa narudi kwanza nyumbani"

Mimi "sawa"

Tulipanda gari kuelekea Gongo la mboto na tulipofika tu nyumbani Rehema hakutaka mambo yawe mengi,aliniambia nimpatie chupi zake nilizokuwa nimenunulia kama zawadi azijaribu,alichukua lile begi langu ambalo ndani niliiweka ile dawa pamoja na zile chupi akawa amefungua zipu na kutoa zile chupi akaanza kujaribu moja baada ya nyingine,chupi zote zilimtosha kana kwamba alikuwa ametengenezewa yeye!,alifurahi sana.

Rehema "Kweli unanipenda nimeamini!"

Mimi "Kwanini?"

Rehema "Kama nimekuvulia chupi mara moja na umekiona kiuno changu na hujakosea basi wewe ndiye mume wangu naamini!"

Kauli ile ya Rehema ilizidi kunichanganya sana kiakili.Nilipaswa zile chupi nizitie dawa kabla ya kuzivaa ili akishaivaa ile nyekundu kazi ianze mara moja lakini nilijikuta ndiyo upendo unakolea sana na nilipokuwa nikimtazama ile shepu yake wakati anabadili zile chupi ni hakika ni kichaa tu ndiye angekubali kumpoteza Rehema.
Sasa baada ya Rehema kuanza kuweka mazingira ya kupika kule nje,niliichukua ile dawa nikaiweka mfukoni nikawa nimetoka nje.Sasa mahali nilipokuwa nikikaa mimi hakukuwa mbali na lerini(leri ya kati),niliondoka kuelekea huko lerini na nilipofika niliitupa ile dawa pembezoni mwa leri vichakani kisha nikarudi zangu nyumbani mdogo mdogo!.

Nilipofika nyumbani nikiwa nimewasha luninga naangalia,ghafla simu ya Ally Mpemba ikawa inaita,niliingalia ile simu kidogo nisiipokee ila niliamua kuipokea.

Ally Mpemba "Habari ya jioni master"

Mimi "Nzuri kaka,za huko"

Ally Mpemba "Uko wapi?"

Mimi "Nipo nyumbani kaka"

Ally Mpemba "Nilikuamini ila umejikosesha mwenyewe,jitafakari?"

Aliendelea "Kuna mtu naomba umkabidhi funguo wa nyumba yangu"

Mimi "Lakini kaka nimefanya mistake tu "

Ally Mpemba "wewe bado dogo haya mambo yatakugahrimu,shauri yako!"


Baada ya jamaa kuniambia vile akawa amekata simu,mimi niliamua likalotokea ngoja litokee lakini kiukweli sikutaka kabisa kumtoa kafara mwanamke mzuri Rehema ambaye hakuwa na hatia hata kidogo ingawaje pia nilikuwa nikimpenda sana tu!.Wakati nikiwa sebuleni Rehema alikuja kuniita ndani akisema kuna mtu ananiita nje.
Sasa nilipotoka nje nilikutana uso kwa uso na Farah na kiukweli mwanamke yule alikuwa akifanana sana na Maya na sikuwahi kuelewa alikuwa ndiye wa dukani pale kkoo au huyu yeye alikuwa ni nani?maana yule wa kkoo yeye aliwahi kuniambia hakuwepo kwa muda wa wiki 2,sasa Je huyu ni nani?,hilo lilikuwa ni swali gumu sana kwasababu hakuna aliyeweza kunipatia majibu.

Farah "Habari yako Master?"

Mimi "Nzuri dada Farah "

Farah "Naomba funguo wa nyumba"

Niliingia ndani kuchukua funguo kisha nikamletea,baada ya kumpatia ule funguo akanishukuru kisha akawa anatoka nje nami nikawa namsindikiza,sasa lengo langu ni tutoke nje nimuombe aongee na Ally Mpemba aniombee msamaha kwa kile nilichokuwa nimekifanya,sasa baada ya kutoka nje niliikuta ile Range ikiwa imepaki na sikutaka kabisa kusubiri ikabidi nimuulize funguo wa ile gari ameitoa wapi wakati mara zote nilikuwaga nikiiacha ndani ya ile nyumba na funguo wa nyumba ndiyo alikuwa amekuja kuuchukua!.Nilibaki nikishangaa sana.

Mimi "Dada nilikuwa nakuomba niongee nawe kidogo!"

Farah "Kesho tuonane!"

Mimi "Sawa"


Alipanda kwenye gari akawa ameondoka.Nilidhani uenda yeye alikuwaga na funguo wa lile gari lakini nilizidi kuchanganyikiwa kwasababu lile geti la ile nyumba lilikuwa limefungwa.Sikutaka kabisa maneno na Ally Mpemba kwasababu ni mtu aliyekuwa akiniamini sana na nilitaka kufanya kila kinachowezekana nimuombe msamaha.

Rehema "Huyo ni nani?"

Mimi "Ni mdogo wake na bosi wangu!"

Ilikuwa ni mara chache sana mimi kulala pale nyumbani kwangu tangia nimejuana na Ally Mpemba kila mara anapokuwa akisafiri,mara zote ambazo anakuwa hayupo nilikuwa nikilala pale kwake kwenye ile gari ndogo ambayo alinipatia.Sasa kwakuwa nilikuwa nishaharibu alinikataza kabisa mimi kulala pale kwake hadi nifanye jambo nililokuwa nimeelekezwa na Mzee wa Chumbe.

Ilipofika asubuhi baada ya kuamka nilijiandaa ili nielekee kwenye kazi yangu ambayo ilinipeleka pale Kkoo,nilipoondoka nyumbani niliamuacha Rehema akiwa amelala na niliamuambia akiondoka afunge nyumba na funguo aziache kwa demu wa Steve.Sasa nilipofika kkoo nilikuta tayari dada Farah amekwisha kufungua duka na swali lake la kwanza ni mbona tangia juzi sikuonekana?.

Farah "Sijakuona tangia juzi,kwema lakini?"

Mimi "Tangia juzi dada wakati jana umekuja nyumbani!"

Farah "Nije kwako hata napajua?"

Mimi "Dada wewe si jana umefata funguo wa nyumbani kwa kaka Ally!?"

Farah "Weeeee!....mjini hapa,isije ukawa umetapeliwa funguo za nyumba ya watu!"


Aliponiambia vile ndipo nikazidi kuchanganyikiwa na nikaona yawezekana kuna mchezo akawa uenda ananichezea pasipo mimi kufahamu!.

Mimi "Kwani dada nyie kwenu mko mapacha?"

Farah "Kwanini?"

Mimi "Nimeuliza tu!"

Farah "Hivi kweli wewe uko sawa?,nisije kuwa nazungumza na chizi!"

Mimi "Tangu lini nimekuwa chizi Aunt Farah?"

Farah "Vitu unavyoongea sikuhizi havieleweki kabisa master,umekuaje?"

Mimi "Dada mimi mbona niko kawaida!"

Farah "Ni juzi tu umetoka kuniambia nimefungua duka wakati mimi sikuwepo,haya leo tena umekuja na mpya kwamba nimekuja kwako kuchukua funguo za Ally?"

Aliendelea "Umewahi kuniona hata sura?"

Baada ya swali lake sikujua nimjibu nini kwasababu kila nilochokuwa nikimwambia alikuwa akiniona kama mwendawazimu na mara zote imekuwa ngumu sana kumjua Farah kwasababu amekuwa akivaa Nicab asubuhi hadi atakapofunga duka.Sasa ile siku aliyokuja kuchukua funguo wa gari ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kumuona uso wake na wakati ananipigia simu aliniambia anaitwa Farah hivyo nikajua ni huyo mdogo wake na Ally Mpemba.Kiukweli hali ilikuwa mbaya sana.

Farah "Halafu pia umemfanya nini Ally?"

Mimi "Kwanini dada?"

Farah "Alinipigia simu akasema upishe karibu na duka "

Aliendelea "Ila sijamjibu"

Mimi "Mbona dada hakuna baya nililomfanya kaka Ally"

Basi baada ya yale maneno ya Aunt Farah nilifahamu kabisa hali ishakuwa mbaya sana,kibaya zaidi jamaa anahitaji niondoe biashara yangu kando ya duka lake,nilikaa kimya nikarudi kuendelea na kazi lakini kiukweli ni kama moyo ulikuwa ukinifukuta sana,nilinyanyuka kurudi dukani kwa Farah ili nimuulize swali na akinijibu nikishaelewa ningejua pa kuanzia.

Mimi "Kwani dada wewe huwa unapacha wako?"

Farah "Kwetu hatukuzaliwa mapacha!"

Mimi "Je,unamjua Maya?"

Farah "Maya?,ndiyo nani tena huyo mdogo wangu?"

Mimi "Kuna dada mmoja huwa mmefanana sana ndiyo maana nikadhani mlizaliwa mapacha"

Farah "Wewe unavituko sana,unamfananishaje mtu na mimi wakati hata sura yangu hujawahi kuiona!?"

Mimi "Sawa dada,Je Zahra unamjua?"

Farah "Zahra?"

Aliendelea "Eeh wewe umemfahamia wapi Zahra?"

Mimi "Unamfahamu?"

Farah "Ndiyo namfahamu!"

Mimi "Ni nani?"

Farah "Kwani wewe una nini?mbona naona mapicha picha tu!"

Mimi "Tafadhali Aunt Farah naomba uniambie kuna kitu utanisaidia na mimi nitakusaidia!"

Farah "Zahra alikuwa dada yangu toka ni nitoke ila kwasasa ni marehemu!"

Sasa kuna muda tunaongea tulikuwa tunasuburi wateja waondoke kisha wateja wakiondoka tunaendelea,kiukweli baada ya kumtajia Farah jina la Zahra alishituka sana na kushangaa,mimi kiukweli niliamua liwalo na liwe kwasababu ilivyoonekana ni kama Ally Mpemba alikuwa amenikataa na hata kama ningejipendekeza vipi asingenielewa.

Farah "Kaka Ally ndiyo alikwambia kuhusu Zahra?"

Mimi "Hapana dada!"

Farah "Ok wewe Zahra umejuaje na kuna kitu gani kumuhusu?"


Itaendelea.................
Haya majobless akina goroko77 na wenzenu kujeni muangalie maajabu ya chupi kutoka unguja
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 23.



Sikutaka kabisa kupoteza muda,baada ya kufanikisha lile zoezi la ununuzi wa chupi nilimtafuta Rehema nikajaribu kuongea nae na kumshawishi kuhusu ile zawadi.

Rehema "baby sasa size yangu umeipatia kweli?"

Mimi "Nimejitahidi baby wala usijali!"

Rehema "Zikinibana utazirudisha?"

Mimi "Nitakununulia nyingine!"

Rehema "Mmh haya bwana!"

Aliendelea "Uko wapi?"

Mimi "Natoka mjini naelekea nyumbani"

Rehema "Umefika wapi?"

Mimi "Bado nipo mjini"

Rehema "Pita basi Sokoni unisubiri nikusanye madeni yangu halafu tuondoke wote nyumbani!"

Mimi "Ila sina gari nimeipeleka gereji!"

Rehema "wewe pita bana kwani mpaka uwe na gari?"

Mimi "sawa nakuja mama"


Niliondoka kupanda gari nikashukia pale Ilala sokoni ambapo nilimpigia simu Ray akawa ameniambia nimsuburi mahali kwanza achukue hela zake,sasa baada ya kumalizana na watu wake alikuja akiwa amevaa mini sketi na tisheti nyupe iliyompendeza kupita kiasi,jioni ile sasa ndipo niliuona uzuri na umbo la Rehema kwa umakini na kiukweli alizidi kuichanganya akili yangu,kiukweli ni mwanamke ambaye Mungu alimjaalia umbo zuri sana,ingawa alikuwa na sura ya kawaida na alikuwa ni mwanamke fulani asiyekuwa na makuu,ulikuwa ukimuangalia kichwani alipenda sana kusuka Yeboyebo,pamoja na shepu yake kunichanganya lakini nilijikuta tu kadiri siku zilivyokuwa zikisonga ndipo nilimpenda kuzidi.

Mimi "Umependeza!"

Rehema "Sasa nimependeza na nini!"

Mimi "Kwahiyo wewe hujioni?"

Rehema "mmh aya bwana"

Aliendelea "Nipe basi hela ninunue mahitaji twende tukapike!"


Nilichukua elfu 20 nikampatia akawa ameniachia mkoba wake nimshukie na yeye aliondoka kuelekea tena sokoni kwa ajili ya kununua mahitaji.Baada ya kukamilisha alirejea tena akiwa amefungasha mazaga ya kutosha kwenye mifuko.

Mimi "Madumu ya juisi umeyaweka wapi?"

Rehema "Leo namshukuru Mungu nimemaliza mapema,nilirudi tu kuchukua hela maana watu wateja wangu wengi huwa wananilipa jioni hivyo huwa narudi kwanza nyumbani"

Mimi "sawa"

Tulipanda gari kuelekea Gongo la mboto na tulipofika tu nyumbani Rehema hakutaka mambo yawe mengi,aliniambia nimpatie chupi zake nilizokuwa nimenunulia kama zawadi azijaribu,alichukua lile begi langu ambalo ndani niliiweka ile dawa pamoja na zile chupi akawa amefungua zipu na kutoa zile chupi akaanza kujaribu moja baada ya nyingine,chupi zote zilimtosha kana kwamba alikuwa ametengenezewa yeye!,alifurahi sana.

Rehema "Kweli unanipenda nimeamini!"

Mimi "Kwanini?"

Rehema "Kama nimekuvulia chupi mara moja na umekiona kiuno changu na hujakosea basi wewe ndiye mume wangu naamini!"

Kauli ile ya Rehema ilizidi kunichanganya sana kiakili.Nilipaswa zile chupi nizitie dawa kabla ya kuzivaa ili akishaivaa ile nyekundu kazi ianze mara moja lakini nilijikuta ndiyo upendo unakolea sana na nilipokuwa nikimtazama ile shepu yake wakati anabadili zile chupi ni hakika ni kichaa tu ndiye angekubali kumpoteza Rehema.
Sasa baada ya Rehema kuanza kuweka mazingira ya kupika kule nje,niliichukua ile dawa nikaiweka mfukoni nikawa nimetoka nje.Sasa mahali nilipokuwa nikikaa mimi hakukuwa mbali na lerini(leri ya kati),niliondoka kuelekea huko lerini na nilipofika niliitupa ile dawa pembezoni mwa leri vichakani kisha nikarudi zangu nyumbani mdogo mdogo!.

Nilipofika nyumbani nikiwa nimewasha luninga naangalia,ghafla simu ya Ally Mpemba ikawa inaita,niliingalia ile simu kidogo nisiipokee ila niliamua kuipokea.

Ally Mpemba "Habari ya jioni master"

Mimi "Nzuri kaka,za huko"

Ally Mpemba "Uko wapi?"

Mimi "Nipo nyumbani kaka"

Ally Mpemba "Nilikuamini ila umejikosesha mwenyewe,jitafakari?"

Aliendelea "Kuna mtu naomba umkabidhi funguo wa nyumba yangu"

Mimi "Lakini kaka nimefanya mistake tu "

Ally Mpemba "wewe bado dogo haya mambo yatakugahrimu,shauri yako!"


Baada ya jamaa kuniambia vile akawa amekata simu,mimi niliamua likalotokea ngoja litokee lakini kiukweli sikutaka kabisa kumtoa kafara mwanamke mzuri Rehema ambaye hakuwa na hatia hata kidogo ingawaje pia nilikuwa nikimpenda sana tu!.Wakati nikiwa sebuleni Rehema alikuja kuniita ndani akisema kuna mtu ananiita nje.
Sasa nilipotoka nje nilikutana uso kwa uso na Farah na kiukweli mwanamke yule alikuwa akifanana sana na Maya na sikuwahi kuelewa alikuwa ndiye wa dukani pale kkoo au huyu yeye alikuwa ni nani?maana yule wa kkoo yeye aliwahi kuniambia hakuwepo kwa muda wa wiki 2,sasa Je huyu ni nani?,hilo lilikuwa ni swali gumu sana kwasababu hakuna aliyeweza kunipatia majibu.

Farah "Habari yako Master?"

Mimi "Nzuri dada Farah "

Farah "Naomba funguo wa nyumba"

Niliingia ndani kuchukua funguo kisha nikamletea,baada ya kumpatia ule funguo akanishukuru kisha akawa anatoka nje nami nikawa namsindikiza,sasa lengo langu ni tutoke nje nimuombe aongee na Ally Mpemba aniombee msamaha kwa kile nilichokuwa nimekifanya,sasa baada ya kutoka nje niliikuta ile Range ikiwa imepaki na sikutaka kabisa kusubiri ikabidi nimuulize funguo wa ile gari ameitoa wapi wakati mara zote nilikuwaga nikiiacha ndani ya ile nyumba na funguo wa nyumba ndiyo alikuwa amekuja kuuchukua!.Nilibaki nikishangaa sana.

Mimi "Dada nilikuwa nakuomba niongee nawe kidogo!"

Farah "Kesho tuonane!"

Mimi "Sawa"


Alipanda kwenye gari akawa ameondoka.Nilidhani uenda yeye alikuwaga na funguo wa lile gari lakini nilizidi kuchanganyikiwa kwasababu lile geti la ile nyumba lilikuwa limefungwa.Sikutaka kabisa maneno na Ally Mpemba kwasababu ni mtu aliyekuwa akiniamini sana na nilitaka kufanya kila kinachowezekana nimuombe msamaha.

Rehema "Huyo ni nani?"

Mimi "Ni mdogo wake na bosi wangu!"

Ilikuwa ni mara chache sana mimi kulala pale nyumbani kwangu tangia nimejuana na Ally Mpemba kila mara anapokuwa akisafiri,mara zote ambazo anakuwa hayupo nilikuwa nikilala pale kwake kwenye ile gari ndogo ambayo alinipatia.Sasa kwakuwa nilikuwa nishaharibu alinikataza kabisa mimi kulala pale kwake hadi nifanye jambo nililokuwa nimeelekezwa na Mzee wa Chumbe.

Ilipofika asubuhi baada ya kuamka nilijiandaa ili nielekee kwenye kazi yangu ambayo ilinipeleka pale Kkoo,nilipoondoka nyumbani niliamuacha Rehema akiwa amelala na niliamuambia akiondoka afunge nyumba na funguo aziache kwa demu wa Steve.Sasa nilipofika kkoo nilikuta tayari dada Farah amekwisha kufungua duka na swali lake la kwanza ni mbona tangia juzi sikuonekana?.

Farah "Sijakuona tangia juzi,kwema lakini?"

Mimi "Tangia juzi dada wakati jana umekuja nyumbani!"

Farah "Nije kwako hata napajua?"

Mimi "Dada wewe si jana umefata funguo wa nyumbani kwa kaka Ally!?"

Farah "Weeeee!....mjini hapa,isije ukawa umetapeliwa funguo za nyumba ya watu!"


Aliponiambia vile ndipo nikazidi kuchanganyikiwa na nikaona yawezekana kuna mchezo akawa uenda ananichezea pasipo mimi kufahamu!.

Mimi "Kwani dada nyie kwenu mko mapacha?"

Farah "Kwanini?"

Mimi "Nimeuliza tu!"

Farah "Hivi kweli wewe uko sawa?,nisije kuwa nazungumza na chizi!"

Mimi "Tangu lini nimekuwa chizi Aunt Farah?"

Farah "Vitu unavyoongea sikuhizi havieleweki kabisa master,umekuaje?"

Mimi "Dada mimi mbona niko kawaida!"

Farah "Ni juzi tu umetoka kuniambia nimefungua duka wakati mimi sikuwepo,haya leo tena umekuja na mpya kwamba nimekuja kwako kuchukua funguo za Ally?"

Aliendelea "Umewahi kuniona hata sura?"

Baada ya swali lake sikujua nimjibu nini kwasababu kila nilochokuwa nikimwambia alikuwa akiniona kama mwendawazimu na mara zote imekuwa ngumu sana kumjua Farah kwasababu amekuwa akivaa Nicab asubuhi hadi atakapofunga duka.Sasa ile siku aliyokuja kuchukua funguo wa gari ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kumuona uso wake na wakati ananipigia simu aliniambia anaitwa Farah hivyo nikajua ni huyo mdogo wake na Ally Mpemba.Kiukweli hali ilikuwa mbaya sana.

Farah "Halafu pia umemfanya nini Ally?"

Mimi "Kwanini dada?"

Farah "Alinipigia simu akasema upishe karibu na duka "

Aliendelea "Ila sijamjibu"

Mimi "Mbona dada hakuna baya nililomfanya kaka Ally"

Basi baada ya yale maneno ya Aunt Farah nilifahamu kabisa hali ishakuwa mbaya sana,kibaya zaidi jamaa anahitaji niondoe biashara yangu kando ya duka lake,nilikaa kimya nikarudi kuendelea na kazi lakini kiukweli ni kama moyo ulikuwa ukinifukuta sana,nilinyanyuka kurudi dukani kwa Farah ili nimuulize swali na akinijibu nikishaelewa ningejua pa kuanzia.

Mimi "Kwani dada wewe huwa unapacha wako?"

Farah "Kwetu hatukuzaliwa mapacha!"

Mimi "Je,unamjua Maya?"

Farah "Maya?,ndiyo nani tena huyo mdogo wangu?"

Mimi "Kuna dada mmoja huwa mmefanana sana ndiyo maana nikadhani mlizaliwa mapacha"

Farah "Wewe unavituko sana,unamfananishaje mtu na mimi wakati hata sura yangu hujawahi kuiona!?"

Mimi "Sawa dada,Je Zahra unamjua?"

Farah "Zahra?"

Aliendelea "Eeh wewe umemfahamia wapi Zahra?"

Mimi "Unamfahamu?"

Farah "Ndiyo namfahamu!"

Mimi "Ni nani?"

Farah "Kwani wewe una nini?mbona naona mapicha picha tu!"

Mimi "Tafadhali Aunt Farah naomba uniambie kuna kitu utanisaidia na mimi nitakusaidia!"

Farah "Zahra alikuwa dada yangu toka ni nitoke ila kwasasa ni marehemu!"

Sasa kuna muda tunaongea tulikuwa tunasuburi wateja waondoke kisha wateja wakiondoka tunaendelea,kiukweli baada ya kumtajia Farah jina la Zahra alishituka sana na kushangaa,mimi kiukweli niliamua liwalo na liwe kwasababu ilivyoonekana ni kama Ally Mpemba alikuwa amenikataa na hata kama ningejipendekeza vipi asingenielewa.

Farah "Kaka Ally ndiyo alikwambia kuhusu Zahra?"

Mimi "Hapana dada!"

Farah "Ok wewe Zahra umejuaje na kuna kitu gani kumuhusu?"


Itaendelea.................
@wilsonwizzo3

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 23.



Sikutaka kabisa kupoteza muda,baada ya kufanikisha lile zoezi la ununuzi wa chupi nilimtafuta Rehema nikajaribu kuongea nae na kumshawishi kuhusu ile zawadi.

Rehema "baby sasa size yangu umeipatia kweli?"

Mimi "Nimejitahidi baby wala usijali!"

Rehema "Zikinibana utazirudisha?"

Mimi "Nitakununulia nyingine!"

Rehema "Mmh haya bwana!"

Aliendelea "Uko wapi?"

Mimi "Natoka mjini naelekea nyumbani"

Rehema "Umefika wapi?"

Mimi "Bado nipo mjini"

Rehema "Pita basi Sokoni unisubiri nikusanye madeni yangu halafu tuondoke wote nyumbani!"

Mimi "Ila sina gari nimeipeleka gereji!"

Rehema "wewe pita bana kwani mpaka uwe na gari?"

Mimi "sawa nakuja mama"


Niliondoka kupanda gari nikashukia pale Ilala sokoni ambapo nilimpigia simu Ray akawa ameniambia nimsuburi mahali kwanza achukue hela zake,sasa baada ya kumalizana na watu wake alikuja akiwa amevaa mini sketi na tisheti nyupe iliyompendeza kupita kiasi,jioni ile sasa ndipo niliuona uzuri na umbo la Rehema kwa umakini na kiukweli alizidi kuichanganya akili yangu,kiukweli ni mwanamke ambaye Mungu alimjaalia umbo zuri sana,ingawa alikuwa na sura ya kawaida na alikuwa ni mwanamke fulani asiyekuwa na makuu,ulikuwa ukimuangalia kichwani alipenda sana kusuka Yeboyebo,pamoja na shepu yake kunichanganya lakini nilijikuta tu kadiri siku zilivyokuwa zikisonga ndipo nilimpenda kuzidi.

Mimi "Umependeza!"

Rehema "Sasa nimependeza na nini!"

Mimi "Kwahiyo wewe hujioni?"

Rehema "mmh aya bwana"

Aliendelea "Nipe basi hela ninunue mahitaji twende tukapike!"


Nilichukua elfu 20 nikampatia akawa ameniachia mkoba wake nimshukie na yeye aliondoka kuelekea tena sokoni kwa ajili ya kununua mahitaji.Baada ya kukamilisha alirejea tena akiwa amefungasha mazaga ya kutosha kwenye mifuko.

Mimi "Madumu ya juisi umeyaweka wapi?"

Rehema "Leo namshukuru Mungu nimemaliza mapema,nilirudi tu kuchukua hela maana watu wateja wangu wengi huwa wananilipa jioni hivyo huwa narudi kwanza nyumbani"

Mimi "sawa"

Tulipanda gari kuelekea Gongo la mboto na tulipofika tu nyumbani Rehema hakutaka mambo yawe mengi,aliniambia nimpatie chupi zake nilizokuwa nimenunulia kama zawadi azijaribu,alichukua lile begi langu ambalo ndani niliiweka ile dawa pamoja na zile chupi akawa amefungua zipu na kutoa zile chupi akaanza kujaribu moja baada ya nyingine,chupi zote zilimtosha kana kwamba alikuwa ametengenezewa yeye!,alifurahi sana.

Rehema "Kweli unanipenda nimeamini!"

Mimi "Kwanini?"

Rehema "Kama nimekuvulia chupi mara moja na umekiona kiuno changu na hujakosea basi wewe ndiye mume wangu naamini!"

Kauli ile ya Rehema ilizidi kunichanganya sana kiakili.Nilipaswa zile chupi nizitie dawa kabla ya kuzivaa ili akishaivaa ile nyekundu kazi ianze mara moja lakini nilijikuta ndiyo upendo unakolea sana na nilipokuwa nikimtazama ile shepu yake wakati anabadili zile chupi ni hakika ni kichaa tu ndiye angekubali kumpoteza Rehema.
Sasa baada ya Rehema kuanza kuweka mazingira ya kupika kule nje,niliichukua ile dawa nikaiweka mfukoni nikawa nimetoka nje.Sasa mahali nilipokuwa nikikaa mimi hakukuwa mbali na lerini(leri ya kati),niliondoka kuelekea huko lerini na nilipofika niliitupa ile dawa pembezoni mwa leri vichakani kisha nikarudi zangu nyumbani mdogo mdogo!.

Nilipofika nyumbani nikiwa nimewasha luninga naangalia,ghafla simu ya Ally Mpemba ikawa inaita,niliingalia ile simu kidogo nisiipokee ila niliamua kuipokea.

Ally Mpemba "Habari ya jioni master"

Mimi "Nzuri kaka,za huko"

Ally Mpemba "Uko wapi?"

Mimi "Nipo nyumbani kaka"

Ally Mpemba "Nilikuamini ila umejikosesha mwenyewe,jitafakari?"

Aliendelea "Kuna mtu naomba umkabidhi funguo wa nyumba yangu"

Mimi "Lakini kaka nimefanya mistake tu "

Ally Mpemba "wewe bado dogo haya mambo yatakugahrimu,shauri yako!"


Baada ya jamaa kuniambia vile akawa amekata simu,mimi niliamua likalotokea ngoja litokee lakini kiukweli sikutaka kabisa kumtoa kafara mwanamke mzuri Rehema ambaye hakuwa na hatia hata kidogo ingawaje pia nilikuwa nikimpenda sana tu!.Wakati nikiwa sebuleni Rehema alikuja kuniita ndani akisema kuna mtu ananiita nje.
Sasa nilipotoka nje nilikutana uso kwa uso na Farah na kiukweli mwanamke yule alikuwa akifanana sana na Maya na sikuwahi kuelewa alikuwa ndiye wa dukani pale kkoo au huyu yeye alikuwa ni nani?maana yule wa kkoo yeye aliwahi kuniambia hakuwepo kwa muda wa wiki 2,sasa Je huyu ni nani?,hilo lilikuwa ni swali gumu sana kwasababu hakuna aliyeweza kunipatia majibu.

Farah "Habari yako Master?"

Mimi "Nzuri dada Farah "

Farah "Naomba funguo wa nyumba"

Niliingia ndani kuchukua funguo kisha nikamletea,baada ya kumpatia ule funguo akanishukuru kisha akawa anatoka nje nami nikawa namsindikiza,sasa lengo langu ni tutoke nje nimuombe aongee na Ally Mpemba aniombee msamaha kwa kile nilichokuwa nimekifanya,sasa baada ya kutoka nje niliikuta ile Range ikiwa imepaki na sikutaka kabisa kusubiri ikabidi nimuulize funguo wa ile gari ameitoa wapi wakati mara zote nilikuwaga nikiiacha ndani ya ile nyumba na funguo wa nyumba ndiyo alikuwa amekuja kuuchukua!.Nilibaki nikishangaa sana.

Mimi "Dada nilikuwa nakuomba niongee nawe kidogo!"

Farah "Kesho tuonane!"

Mimi "Sawa"


Alipanda kwenye gari akawa ameondoka.Nilidhani uenda yeye alikuwaga na funguo wa lile gari lakini nilizidi kuchanganyikiwa kwasababu lile geti la ile nyumba lilikuwa limefungwa.Sikutaka kabisa maneno na Ally Mpemba kwasababu ni mtu aliyekuwa akiniamini sana na nilitaka kufanya kila kinachowezekana nimuombe msamaha.

Rehema "Huyo ni nani?"

Mimi "Ni mdogo wake na bosi wangu!"

Ilikuwa ni mara chache sana mimi kulala pale nyumbani kwangu tangia nimejuana na Ally Mpemba kila mara anapokuwa akisafiri,mara zote ambazo anakuwa hayupo nilikuwa nikilala pale kwake kwenye ile gari ndogo ambayo alinipatia.Sasa kwakuwa nilikuwa nishaharibu alinikataza kabisa mimi kulala pale kwake hadi nifanye jambo nililokuwa nimeelekezwa na Mzee wa Chumbe.

Ilipofika asubuhi baada ya kuamka nilijiandaa ili nielekee kwenye kazi yangu ambayo ilinipeleka pale Kkoo,nilipoondoka nyumbani niliamuacha Rehema akiwa amelala na niliamuambia akiondoka afunge nyumba na funguo aziache kwa demu wa Steve.Sasa nilipofika kkoo nilikuta tayari dada Farah amekwisha kufungua duka na swali lake la kwanza ni mbona tangia juzi sikuonekana?.

Farah "Sijakuona tangia juzi,kwema lakini?"

Mimi "Tangia juzi dada wakati jana umekuja nyumbani!"

Farah "Nije kwako hata napajua?"

Mimi "Dada wewe si jana umefata funguo wa nyumbani kwa kaka Ally!?"

Farah "Weeeee!....mjini hapa,isije ukawa umetapeliwa funguo za nyumba ya watu!"


Aliponiambia vile ndipo nikazidi kuchanganyikiwa na nikaona yawezekana kuna mchezo akawa uenda ananichezea pasipo mimi kufahamu!.

Mimi "Kwani dada nyie kwenu mko mapacha?"

Farah "Kwanini?"

Mimi "Nimeuliza tu!"

Farah "Hivi kweli wewe uko sawa?,nisije kuwa nazungumza na chizi!"

Mimi "Tangu lini nimekuwa chizi Aunt Farah?"

Farah "Vitu unavyoongea sikuhizi havieleweki kabisa master,umekuaje?"

Mimi "Dada mimi mbona niko kawaida!"

Farah "Ni juzi tu umetoka kuniambia nimefungua duka wakati mimi sikuwepo,haya leo tena umekuja na mpya kwamba nimekuja kwako kuchukua funguo za Ally?"

Aliendelea "Umewahi kuniona hata sura?"

Baada ya swali lake sikujua nimjibu nini kwasababu kila nilochokuwa nikimwambia alikuwa akiniona kama mwendawazimu na mara zote imekuwa ngumu sana kumjua Farah kwasababu amekuwa akivaa Nicab asubuhi hadi atakapofunga duka.Sasa ile siku aliyokuja kuchukua funguo wa gari ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kumuona uso wake na wakati ananipigia simu aliniambia anaitwa Farah hivyo nikajua ni huyo mdogo wake na Ally Mpemba.Kiukweli hali ilikuwa mbaya sana.

Farah "Halafu pia umemfanya nini Ally?"

Mimi "Kwanini dada?"

Farah "Alinipigia simu akasema upishe karibu na duka "

Aliendelea "Ila sijamjibu"

Mimi "Mbona dada hakuna baya nililomfanya kaka Ally"

Basi baada ya yale maneno ya Aunt Farah nilifahamu kabisa hali ishakuwa mbaya sana,kibaya zaidi jamaa anahitaji niondoe biashara yangu kando ya duka lake,nilikaa kimya nikarudi kuendelea na kazi lakini kiukweli ni kama moyo ulikuwa ukinifukuta sana,nilinyanyuka kurudi dukani kwa Farah ili nimuulize swali na akinijibu nikishaelewa ningejua pa kuanzia.

Mimi "Kwani dada wewe huwa unapacha wako?"

Farah "Kwetu hatukuzaliwa mapacha!"

Mimi "Je,unamjua Maya?"

Farah "Maya?,ndiyo nani tena huyo mdogo wangu?"

Mimi "Kuna dada mmoja huwa mmefanana sana ndiyo maana nikadhani mlizaliwa mapacha"

Farah "Wewe unavituko sana,unamfananishaje mtu na mimi wakati hata sura yangu hujawahi kuiona!?"

Mimi "Sawa dada,Je Zahra unamjua?"

Farah "Zahra?"

Aliendelea "Eeh wewe umemfahamia wapi Zahra?"

Mimi "Unamfahamu?"

Farah "Ndiyo namfahamu!"

Mimi "Ni nani?"

Farah "Kwani wewe una nini?mbona naona mapicha picha tu!"

Mimi "Tafadhali Aunt Farah naomba uniambie kuna kitu utanisaidia na mimi nitakusaidia!"

Farah "Zahra alikuwa dada yangu toka ni nitoke ila kwasasa ni marehemu!"

Sasa kuna muda tunaongea tulikuwa tunasuburi wateja waondoke kisha wateja wakiondoka tunaendelea,kiukweli baada ya kumtajia Farah jina la Zahra alishituka sana na kushangaa,mimi kiukweli niliamua liwalo na liwe kwasababu ilivyoonekana ni kama Ally Mpemba alikuwa amenikataa na hata kama ningejipendekeza vipi asingenielewa.

Farah "Kaka Ally ndiyo alikwambia kuhusu Zahra?"

Mimi "Hapana dada!"

Farah "Ok wewe Zahra umejuaje na kuna kitu gani kumuhusu?"


Itaendelea.................
Noma murah
 
Sasa kwenye episode ijayo elezea kidogo kuhusu ile bangiri ya alfwata ilitoka tokaje mkononi maana nakuona siku nyingi
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 23.



Sikutaka kabisa kupoteza muda,baada ya kufanikisha lile zoezi la ununuzi wa chupi nilimtafuta Rehema nikajaribu kuongea nae na kumshawishi kuhusu ile zawadi.

Rehema "baby sasa size yangu umeipatia kweli?"

Mimi "Nimejitahidi baby wala usijali!"

Rehema "Zikinibana utazirudisha?"

Mimi "Nitakununulia nyingine!"

Rehema "Mmh haya bwana!"

Aliendelea "Uko wapi?"

Mimi "Natoka mjini naelekea nyumbani"

Rehema "Umefika wapi?"

Mimi "Bado nipo mjini"

Rehema "Pita basi Sokoni unisubiri nikusanye madeni yangu halafu tuondoke wote nyumbani!"

Mimi "Ila sina gari nimeipeleka gereji!"

Rehema "wewe pita bana kwani mpaka uwe na gari?"

Mimi "sawa nakuja mama"


Niliondoka kupanda gari nikashukia pale Ilala sokoni ambapo nilimpigia simu Ray akawa ameniambia nimsuburi mahali kwanza achukue hela zake,sasa baada ya kumalizana na watu wake alikuja akiwa amevaa mini sketi na tisheti nyupe iliyompendeza kupita kiasi,jioni ile sasa ndipo niliuona uzuri na umbo la Rehema kwa umakini na kiukweli alizidi kuichanganya akili yangu,kiukweli ni mwanamke ambaye Mungu alimjaalia umbo zuri sana,ingawa alikuwa na sura ya kawaida na alikuwa ni mwanamke fulani asiyekuwa na makuu,ulikuwa ukimuangalia kichwani alipenda sana kusuka Yeboyebo,pamoja na shepu yake kunichanganya lakini nilijikuta tu kadiri siku zilivyokuwa zikisonga ndipo nilimpenda kuzidi.

Mimi "Umependeza!"

Rehema "Sasa nimependeza na nini!"

Mimi "Kwahiyo wewe hujioni?"

Rehema "mmh aya bwana"

Aliendelea "Nipe basi hela ninunue mahitaji twende tukapike!"


Nilichukua elfu 20 nikampatia akawa ameniachia mkoba wake nimshukie na yeye aliondoka kuelekea tena sokoni kwa ajili ya kununua mahitaji.Baada ya kukamilisha alirejea tena akiwa amefungasha mazaga ya kutosha kwenye mifuko.

Mimi "Madumu ya juisi umeyaweka wapi?"

Rehema "Leo namshukuru Mungu nimemaliza mapema,nilirudi tu kuchukua hela maana watu wateja wangu wengi huwa wananilipa jioni hivyo huwa narudi kwanza nyumbani"

Mimi "sawa"

Tulipanda gari kuelekea Gongo la mboto na tulipofika tu nyumbani Rehema hakutaka mambo yawe mengi,aliniambia nimpatie chupi zake nilizokuwa nimenunulia kama zawadi azijaribu,alichukua lile begi langu ambalo ndani niliiweka ile dawa pamoja na zile chupi akawa amefungua zipu na kutoa zile chupi akaanza kujaribu moja baada ya nyingine,chupi zote zilimtosha kana kwamba alikuwa ametengenezewa yeye!,alifurahi sana.

Rehema "Kweli unanipenda nimeamini!"

Mimi "Kwanini?"

Rehema "Kama nimekuvulia chupi mara moja na umekiona kiuno changu na hujakosea basi wewe ndiye mume wangu naamini!"

Kauli ile ya Rehema ilizidi kunichanganya sana kiakili.Nilipaswa zile chupi nizitie dawa kabla ya kuzivaa ili akishaivaa ile nyekundu kazi ianze mara moja lakini nilijikuta ndiyo upendo unakolea sana na nilipokuwa nikimtazama ile shepu yake wakati anabadili zile chupi ni hakika ni kichaa tu ndiye angekubali kumpoteza Rehema.
Sasa baada ya Rehema kuanza kuweka mazingira ya kupika kule nje,niliichukua ile dawa nikaiweka mfukoni nikawa nimetoka nje.Sasa mahali nilipokuwa nikikaa mimi hakukuwa mbali na lerini(leri ya kati),niliondoka kuelekea huko lerini na nilipofika niliitupa ile dawa pembezoni mwa leri vichakani kisha nikarudi zangu nyumbani mdogo mdogo!.

Nilipofika nyumbani nikiwa nimewasha luninga naangalia,ghafla simu ya Ally Mpemba ikawa inaita,niliingalia ile simu kidogo nisiipokee ila niliamua kuipokea.

Ally Mpemba "Habari ya jioni master"

Mimi "Nzuri kaka,za huko"

Ally Mpemba "Uko wapi?"

Mimi "Nipo nyumbani kaka"

Ally Mpemba "Nilikuamini ila umejikosesha mwenyewe,jitafakari?"

Aliendelea "Kuna mtu naomba umkabidhi funguo wa nyumba yangu"

Mimi "Lakini kaka nimefanya mistake tu "

Ally Mpemba "wewe bado dogo haya mambo yatakugahrimu,shauri yako!"


Baada ya jamaa kuniambia vile akawa amekata simu,mimi niliamua likalotokea ngoja litokee lakini kiukweli sikutaka kabisa kumtoa kafara mwanamke mzuri Rehema ambaye hakuwa na hatia hata kidogo ingawaje pia nilikuwa nikimpenda sana tu!.Wakati nikiwa sebuleni Rehema alikuja kuniita ndani akisema kuna mtu ananiita nje.
Sasa nilipotoka nje nilikutana uso kwa uso na Farah na kiukweli mwanamke yule alikuwa akifanana sana na Maya na sikuwahi kuelewa alikuwa ndiye wa dukani pale kkoo au huyu yeye alikuwa ni nani?maana yule wa kkoo yeye aliwahi kuniambia hakuwepo kwa muda wa wiki 2,sasa Je huyu ni nani?,hilo lilikuwa ni swali gumu sana kwasababu hakuna aliyeweza kunipatia majibu.

Farah "Habari yako Master?"

Mimi "Nzuri dada Farah "

Farah "Naomba funguo wa nyumba"

Niliingia ndani kuchukua funguo kisha nikamletea,baada ya kumpatia ule funguo akanishukuru kisha akawa anatoka nje nami nikawa namsindikiza,sasa lengo langu ni tutoke nje nimuombe aongee na Ally Mpemba aniombee msamaha kwa kile nilichokuwa nimekifanya,sasa baada ya kutoka nje niliikuta ile Range ikiwa imepaki na sikutaka kabisa kusubiri ikabidi nimuulize funguo wa ile gari ameitoa wapi wakati mara zote nilikuwaga nikiiacha ndani ya ile nyumba na funguo wa nyumba ndiyo alikuwa amekuja kuuchukua!.Nilibaki nikishangaa sana.

Mimi "Dada nilikuwa nakuomba niongee nawe kidogo!"

Farah "Kesho tuonane!"

Mimi "Sawa"


Alipanda kwenye gari akawa ameondoka.Nilidhani uenda yeye alikuwaga na funguo wa lile gari lakini nilizidi kuchanganyikiwa kwasababu lile geti la ile nyumba lilikuwa limefungwa.Sikutaka kabisa maneno na Ally Mpemba kwasababu ni mtu aliyekuwa akiniamini sana na nilitaka kufanya kila kinachowezekana nimuombe msamaha.

Rehema "Huyo ni nani?"

Mimi "Ni mdogo wake na bosi wangu!"

Ilikuwa ni mara chache sana mimi kulala pale nyumbani kwangu tangia nimejuana na Ally Mpemba kila mara anapokuwa akisafiri,mara zote ambazo anakuwa hayupo nilikuwa nikilala pale kwake kwenye ile gari ndogo ambayo alinipatia.Sasa kwakuwa nilikuwa nishaharibu alinikataza kabisa mimi kulala pale kwake hadi nifanye jambo nililokuwa nimeelekezwa na Mzee wa Chumbe.

Ilipofika asubuhi baada ya kuamka nilijiandaa ili nielekee kwenye kazi yangu ambayo ilinipeleka pale Kkoo,nilipoondoka nyumbani niliamuacha Rehema akiwa amelala na niliamuambia akiondoka afunge nyumba na funguo aziache kwa demu wa Steve.Sasa nilipofika kkoo nilikuta tayari dada Farah amekwisha kufungua duka na swali lake la kwanza ni mbona tangia juzi sikuonekana?.

Farah "Sijakuona tangia juzi,kwema lakini?"

Mimi "Tangia juzi dada wakati jana umekuja nyumbani!"

Farah "Nije kwako hata napajua?"

Mimi "Dada wewe si jana umefata funguo wa nyumbani kwa kaka Ally!?"

Farah "Weeeee!....mjini hapa,isije ukawa umetapeliwa funguo za nyumba ya watu!"


Aliponiambia vile ndipo nikazidi kuchanganyikiwa na nikaona yawezekana kuna mchezo akawa uenda ananichezea pasipo mimi kufahamu!.

Mimi "Kwani dada nyie kwenu mko mapacha?"

Farah "Kwanini?"

Mimi "Nimeuliza tu!"

Farah "Hivi kweli wewe uko sawa?,nisije kuwa nazungumza na chizi!"

Mimi "Tangu lini nimekuwa chizi Aunt Farah?"

Farah "Vitu unavyoongea sikuhizi havieleweki kabisa master,umekuaje?"

Mimi "Dada mimi mbona niko kawaida!"

Farah "Ni juzi tu umetoka kuniambia nimefungua duka wakati mimi sikuwepo,haya leo tena umekuja na mpya kwamba nimekuja kwako kuchukua funguo za Ally?"

Aliendelea "Umewahi kuniona hata sura?"

Baada ya swali lake sikujua nimjibu nini kwasababu kila nilochokuwa nikimwambia alikuwa akiniona kama mwendawazimu na mara zote imekuwa ngumu sana kumjua Farah kwasababu amekuwa akivaa Nicab asubuhi hadi atakapofunga duka.Sasa ile siku aliyokuja kuchukua funguo wa gari ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kumuona uso wake na wakati ananipigia simu aliniambia anaitwa Farah hivyo nikajua ni huyo mdogo wake na Ally Mpemba.Kiukweli hali ilikuwa mbaya sana.

Farah "Halafu pia umemfanya nini Ally?"

Mimi "Kwanini dada?"

Farah "Alinipigia simu akasema upishe karibu na duka "

Aliendelea "Ila sijamjibu"

Mimi "Mbona dada hakuna baya nililomfanya kaka Ally"

Basi baada ya yale maneno ya Aunt Farah nilifahamu kabisa hali ishakuwa mbaya sana,kibaya zaidi jamaa anahitaji niondoe biashara yangu kando ya duka lake,nilikaa kimya nikarudi kuendelea na kazi lakini kiukweli ni kama moyo ulikuwa ukinifukuta sana,nilinyanyuka kurudi dukani kwa Farah ili nimuulize swali na akinijibu nikishaelewa ningejua pa kuanzia.

Mimi "Kwani dada wewe huwa unapacha wako?"

Farah "Kwetu hatukuzaliwa mapacha!"

Mimi "Je,unamjua Maya?"

Farah "Maya?,ndiyo nani tena huyo mdogo wangu?"

Mimi "Kuna dada mmoja huwa mmefanana sana ndiyo maana nikadhani mlizaliwa mapacha"

Farah "Wewe unavituko sana,unamfananishaje mtu na mimi wakati hata sura yangu hujawahi kuiona!?"

Mimi "Sawa dada,Je Zahra unamjua?"

Farah "Zahra?"

Aliendelea "Eeh wewe umemfahamia wapi Zahra?"

Mimi "Unamfahamu?"

Farah "Ndiyo namfahamu!"

Mimi "Ni nani?"

Farah "Kwani wewe una nini?mbona naona mapicha picha tu!"

Mimi "Tafadhali Aunt Farah naomba uniambie kuna kitu utanisaidia na mimi nitakusaidia!"

Farah "Zahra alikuwa dada yangu toka ni nitoke ila kwasasa ni marehemu!"

Sasa kuna muda tunaongea tulikuwa tunasuburi wateja waondoke kisha wateja wakiondoka tunaendelea,kiukweli baada ya kumtajia Farah jina la Zahra alishituka sana na kushangaa,mimi kiukweli niliamua liwalo na liwe kwasababu ilivyoonekana ni kama Ally Mpemba alikuwa amenikataa na hata kama ningejipendekeza vipi asingenielewa.

Farah "Kaka Ally ndiyo alikwambia kuhusu Zahra?"

Mimi "Hapana dada!"

Farah "Ok wewe Zahra umejuaje na kuna kitu gani kumuhusu?"


Itaendelea.................
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 23.



Sikutaka kabisa kupoteza muda,baada ya kufanikisha lile zoezi la ununuzi wa chupi nilimtafuta Rehema nikajaribu kuongea nae na kumshawishi kuhusu ile zawadi.

Rehema "baby sasa size yangu umeipatia kweli?"

Mimi "Nimejitahidi baby wala usijali!"

Rehema "Zikinibana utazirudisha?"

Mimi "Nitakununulia nyingine!"

Rehema "Mmh haya bwana!"

Aliendelea "Uko wapi?"

Mimi "Natoka mjini naelekea nyumbani"

Rehema "Umefika wapi?"

Mimi "Bado nipo mjini"

Rehema "Pita basi Sokoni unisubiri nikusanye madeni yangu halafu tuondoke wote nyumbani!"

Mimi "Ila sina gari nimeipeleka gereji!"

Rehema "wewe pita bana kwani mpaka uwe na gari?"

Mimi "sawa nakuja mama"


Niliondoka kupanda gari nikashukia pale Ilala sokoni ambapo nilimpigia simu Ray akawa ameniambia nimsuburi mahali kwanza achukue hela zake,sasa baada ya kumalizana na watu wake alikuja akiwa amevaa mini sketi na tisheti nyupe iliyompendeza kupita kiasi,jioni ile sasa ndipo niliuona uzuri na umbo la Rehema kwa umakini na kiukweli alizidi kuichanganya akili yangu,kiukweli ni mwanamke ambaye Mungu alimjaalia umbo zuri sana,ingawa alikuwa na sura ya kawaida na alikuwa ni mwanamke fulani asiyekuwa na makuu,ulikuwa ukimuangalia kichwani alipenda sana kusuka Yeboyebo,pamoja na shepu yake kunichanganya lakini nilijikuta tu kadiri siku zilivyokuwa zikisonga ndipo nilimpenda kuzidi.

Mimi "Umependeza!"

Rehema "Sasa nimependeza na nini!"

Mimi "Kwahiyo wewe hujioni?"

Rehema "mmh aya bwana"

Aliendelea "Nipe basi hela ninunue mahitaji twende tukapike!"


Nilichukua elfu 20 nikampatia akawa ameniachia mkoba wake nimshukie na yeye aliondoka kuelekea tena sokoni kwa ajili ya kununua mahitaji.Baada ya kukamilisha alirejea tena akiwa amefungasha mazaga ya kutosha kwenye mifuko.

Mimi "Madumu ya juisi umeyaweka wapi?"

Rehema "Leo namshukuru Mungu nimemaliza mapema,nilirudi tu kuchukua hela maana watu wateja wangu wengi huwa wananilipa jioni hivyo huwa narudi kwanza nyumbani"

Mimi "sawa"

Tulipanda gari kuelekea Gongo la mboto na tulipofika tu nyumbani Rehema hakutaka mambo yawe mengi,aliniambia nimpatie chupi zake nilizokuwa nimenunulia kama zawadi azijaribu,alichukua lile begi langu ambalo ndani niliiweka ile dawa pamoja na zile chupi akawa amefungua zipu na kutoa zile chupi akaanza kujaribu moja baada ya nyingine,chupi zote zilimtosha kana kwamba alikuwa ametengenezewa yeye!,alifurahi sana.

Rehema "Kweli unanipenda nimeamini!"

Mimi "Kwanini?"

Rehema "Kama nimekuvulia chupi mara moja na umekiona kiuno changu na hujakosea basi wewe ndiye mume wangu naamini!"

Kauli ile ya Rehema ilizidi kunichanganya sana kiakili.Nilipaswa zile chupi nizitie dawa kabla ya kuzivaa ili akishaivaa ile nyekundu kazi ianze mara moja lakini nilijikuta ndiyo upendo unakolea sana na nilipokuwa nikimtazama ile shepu yake wakati anabadili zile chupi ni hakika ni kichaa tu ndiye angekubali kumpoteza Rehema.
Sasa baada ya Rehema kuanza kuweka mazingira ya kupika kule nje,niliichukua ile dawa nikaiweka mfukoni nikawa nimetoka nje.Sasa mahali nilipokuwa nikikaa mimi hakukuwa mbali na lerini(leri ya kati),niliondoka kuelekea huko lerini na nilipofika niliitupa ile dawa pembezoni mwa leri vichakani kisha nikarudi zangu nyumbani mdogo mdogo!.

Nilipofika nyumbani nikiwa nimewasha luninga naangalia,ghafla simu ya Ally Mpemba ikawa inaita,niliingalia ile simu kidogo nisiipokee ila niliamua kuipokea.

Ally Mpemba "Habari ya jioni master"

Mimi "Nzuri kaka,za huko"

Ally Mpemba "Uko wapi?"

Mimi "Nipo nyumbani kaka"

Ally Mpemba "Nilikuamini ila umejikosesha mwenyewe,jitafakari?"

Aliendelea "Kuna mtu naomba umkabidhi funguo wa nyumba yangu"

Mimi "Lakini kaka nimefanya mistake tu "

Ally Mpemba "wewe bado dogo haya mambo yatakugahrimu,shauri yako!"


Baada ya jamaa kuniambia vile akawa amekata simu,mimi niliamua likalotokea ngoja litokee lakini kiukweli sikutaka kabisa kumtoa kafara mwanamke mzuri Rehema ambaye hakuwa na hatia hata kidogo ingawaje pia nilikuwa nikimpenda sana tu!.Wakati nikiwa sebuleni Rehema alikuja kuniita ndani akisema kuna mtu ananiita nje.
Sasa nilipotoka nje nilikutana uso kwa uso na Farah na kiukweli mwanamke yule alikuwa akifanana sana na Maya na sikuwahi kuelewa alikuwa ndiye wa dukani pale kkoo au huyu yeye alikuwa ni nani?maana yule wa kkoo yeye aliwahi kuniambia hakuwepo kwa muda wa wiki 2,sasa Je huyu ni nani?,hilo lilikuwa ni swali gumu sana kwasababu hakuna aliyeweza kunipatia majibu.

Farah "Habari yako Master?"

Mimi "Nzuri dada Farah "

Farah "Naomba funguo wa nyumba"

Niliingia ndani kuchukua funguo kisha nikamletea,baada ya kumpatia ule funguo akanishukuru kisha akawa anatoka nje nami nikawa namsindikiza,sasa lengo langu ni tutoke nje nimuombe aongee na Ally Mpemba aniombee msamaha kwa kile nilichokuwa nimekifanya,sasa baada ya kutoka nje niliikuta ile Range ikiwa imepaki na sikutaka kabisa kusubiri ikabidi nimuulize funguo wa ile gari ameitoa wapi wakati mara zote nilikuwaga nikiiacha ndani ya ile nyumba na funguo wa nyumba ndiyo alikuwa amekuja kuuchukua!.Nilibaki nikishangaa sana.

Mimi "Dada nilikuwa nakuomba niongee nawe kidogo!"

Farah "Kesho tuonane!"

Mimi "Sawa"


Alipanda kwenye gari akawa ameondoka.Nilidhani uenda yeye alikuwaga na funguo wa lile gari lakini nilizidi kuchanganyikiwa kwasababu lile geti la ile nyumba lilikuwa limefungwa.Sikutaka kabisa maneno na Ally Mpemba kwasababu ni mtu aliyekuwa akiniamini sana na nilitaka kufanya kila kinachowezekana nimuombe msamaha.

Rehema "Huyo ni nani?"

Mimi "Ni mdogo wake na bosi wangu!"

Ilikuwa ni mara chache sana mimi kulala pale nyumbani kwangu tangia nimejuana na Ally Mpemba kila mara anapokuwa akisafiri,mara zote ambazo anakuwa hayupo nilikuwa nikilala pale kwake kwenye ile gari ndogo ambayo alinipatia.Sasa kwakuwa nilikuwa nishaharibu alinikataza kabisa mimi kulala pale kwake hadi nifanye jambo nililokuwa nimeelekezwa na Mzee wa Chumbe.

Ilipofika asubuhi baada ya kuamka nilijiandaa ili nielekee kwenye kazi yangu ambayo ilinipeleka pale Kkoo,nilipoondoka nyumbani niliamuacha Rehema akiwa amelala na niliamuambia akiondoka afunge nyumba na funguo aziache kwa demu wa Steve.Sasa nilipofika kkoo nilikuta tayari dada Farah amekwisha kufungua duka na swali lake la kwanza ni mbona tangia juzi sikuonekana?.

Farah "Sijakuona tangia juzi,kwema lakini?"

Mimi "Tangia juzi dada wakati jana umekuja nyumbani!"

Farah "Nije kwako hata napajua?"

Mimi "Dada wewe si jana umefata funguo wa nyumbani kwa kaka Ally!?"

Farah "Weeeee!....mjini hapa,isije ukawa umetapeliwa funguo za nyumba ya watu!"


Aliponiambia vile ndipo nikazidi kuchanganyikiwa na nikaona yawezekana kuna mchezo akawa uenda ananichezea pasipo mimi kufahamu!.

Mimi "Kwani dada nyie kwenu mko mapacha?"

Farah "Kwanini?"

Mimi "Nimeuliza tu!"

Farah "Hivi kweli wewe uko sawa?,nisije kuwa nazungumza na chizi!"

Mimi "Tangu lini nimekuwa chizi Aunt Farah?"

Farah "Vitu unavyoongea sikuhizi havieleweki kabisa master,umekuaje?"

Mimi "Dada mimi mbona niko kawaida!"

Farah "Ni juzi tu umetoka kuniambia nimefungua duka wakati mimi sikuwepo,haya leo tena umekuja na mpya kwamba nimekuja kwako kuchukua funguo za Ally?"

Aliendelea "Umewahi kuniona hata sura?"

Baada ya swali lake sikujua nimjibu nini kwasababu kila nilochokuwa nikimwambia alikuwa akiniona kama mwendawazimu na mara zote imekuwa ngumu sana kumjua Farah kwasababu amekuwa akivaa Nicab asubuhi hadi atakapofunga duka.Sasa ile siku aliyokuja kuchukua funguo wa gari ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kumuona uso wake na wakati ananipigia simu aliniambia anaitwa Farah hivyo nikajua ni huyo mdogo wake na Ally Mpemba.Kiukweli hali ilikuwa mbaya sana.

Farah "Halafu pia umemfanya nini Ally?"

Mimi "Kwanini dada?"

Farah "Alinipigia simu akasema upishe karibu na duka "

Aliendelea "Ila sijamjibu"

Mimi "Mbona dada hakuna baya nililomfanya kaka Ally"

Basi baada ya yale maneno ya Aunt Farah nilifahamu kabisa hali ishakuwa mbaya sana,kibaya zaidi jamaa anahitaji niondoe biashara yangu kando ya duka lake,nilikaa kimya nikarudi kuendelea na kazi lakini kiukweli ni kama moyo ulikuwa ukinifukuta sana,nilinyanyuka kurudi dukani kwa Farah ili nimuulize swali na akinijibu nikishaelewa ningejua pa kuanzia.

Mimi "Kwani dada wewe huwa unapacha wako?"

Farah "Kwetu hatukuzaliwa mapacha!"

Mimi "Je,unamjua Maya?"

Farah "Maya?,ndiyo nani tena huyo mdogo wangu?"

Mimi "Kuna dada mmoja huwa mmefanana sana ndiyo maana nikadhani mlizaliwa mapacha"

Farah "Wewe unavituko sana,unamfananishaje mtu na mimi wakati hata sura yangu hujawahi kuiona!?"

Mimi "Sawa dada,Je Zahra unamjua?"

Farah "Zahra?"

Aliendelea "Eeh wewe umemfahamia wapi Zahra?"

Mimi "Unamfahamu?"

Farah "Ndiyo namfahamu!"

Mimi "Ni nani?"

Farah "Kwani wewe una nini?mbona naona mapicha picha tu!"

Mimi "Tafadhali Aunt Farah naomba uniambie kuna kitu utanisaidia na mimi nitakusaidia!"

Farah "Zahra alikuwa dada yangu toka ni nitoke ila kwasasa ni marehemu!"

Sasa kuna muda tunaongea tulikuwa tunasuburi wateja waondoke kisha wateja wakiondoka tunaendelea,kiukweli baada ya kumtajia Farah jina la Zahra alishituka sana na kushangaa,mimi kiukweli niliamua liwalo na liwe kwasababu ilivyoonekana ni kama Ally Mpemba alikuwa amenikataa na hata kama ningejipendekeza vipi asingenielewa.

Farah "Kaka Ally ndiyo alikwambia kuhusu Zahra?"

Mimi "Hapana dada!"

Farah "Ok wewe Zahra umejuaje na kuna kitu gani kumuhusu?"


Itaendelea.................
@Antonnia ...... Umughaka kashafanya yake huku[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom