Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Nasaidia kumuita UMUGHAKA aje awatoe stress majobless halafu kile kisa cha kaka muarabu nikifikisha mwisho labda kama wewe hukufuata maelekezo niliyotoa,halafu kuhusu kazi usiwaze kabisa niko hapa kwa kazi maalum

Sasa mbona umetoka huko ulikotoka umekuja kuanza kupaniki bila sababu? waache hao unaowaita Misukule wewe ambaye unajiona ni special one endelea na maisha yako. halafu inatakiwa kuwa mstaarabu tu sio mpaka unaanza kuwaita watu wajina ya hovyo haipendezi. sisi sote thamani yetu mbele za Mungu ni sawa na wewe huna mamlaka au kauli ya kuanza kuwaita watu majina yasiyostahili.
 
Chukua hii jobless

Kiufupi hiki ni kisa cha kutunga 100% na ni kichaa pekee anaeweza amini kuwa hiki ni kisa cha kweli
UNAPANIKI SANA KIJANA CHUKUA HII

MADHARA YA TATIZO LA KUPANIKI
Husababisha mtu kuwa hatarini kupata magonjwa ya moyo, shinikizo la damu, kupooza, kuugua mara kwa mara,kuumwa kichwa na mgongo,tatizo la kupaniki linaweza kufanya mtu kuishi maisha ya upweke kupita kiasi kwa kuogopa kupata matatizo akiwa mbele ya wengine.
 
Punga
 
Wamsema Maya kimafumbo yakhe

Kipi kinachokusababisha uanze kuwaita watu Misukule?
Upweke unakusumbua ndugu VIKTIM nakushauri kuondoka hasira na kupaniki kusiko na sababu fanya hivi

Vuta pumzi ndefu kisha hesabu 1 mpaka 5 kisha iache pumzi polepole itoke huku unahesabu 1 mpaka 5 kwa muda wa dakika 5 utaona mabadiliko mwilini ikiwemo mapigo ya moyo kushuka

Zoezi la kupiga miayo (YAWNING) piga miayo mfululizo kwa muda wa dakika 2

Zoezi la kuvuta pumzi polepole kaa kwa utulivu vuta pumzi polepole sana kisha unaiachia pumzi itoke polepole sana

Fanya mazoezi ya viungo,tembea mara kwa mara,kunywa maji mengi,epuka pombe, punguza matumizi ya chai ya rangi au kahawa,pata usingizi wa kutosha,fanya kazi kisha pumzika.

Utakaa sawa na utakuwa na amani ya moyo.
 
Hatari sana unakipaji kikubwa sana dogo..ukiona hadi watanzania wasiopenda kusoma wanafuatilia point kwa point story zako basi ujue wewe ni wapekee na si ajabu utajir wako upo kwenye uandishi..
 
Haya majobless akina goroko77 na wenzenu kujeni muangalie maajabu ya chupi kutoka unguja
 
@wilsonwizzo3

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Noma murah
 
Sasa kwenye episode ijayo elezea kidogo kuhusu ile bangiri ya alfwata ilitoka tokaje mkononi maana nakuona siku nyingi
 
@Antonnia ...... Umughaka kashafanya yake huku[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…