Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

kitalembwa njoo unipigiee πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘besttt coz imani yangu kamwe haijawahi niangushaaaa!✌️✌️✌️✌️ Kuanzia kwenye Rey kukaa siti ya mbelee mpaka kwenye love leads auweeeeehhh!! Dawa tyupaaaa kuleeeee Mapenzi nagaragazeess mgangaaa bora uniuweeeeeeeeeπŸ’ƒ
Ngoja niendelee kusoma πŸ™‡
 

Kwan nyie humu mmekuja kutafuta wanawake ? Mnatakiwa muende insta au tiktok mkachague pisi
 
My boss Bantu Lady, the treasure is waiting for your arrival.
 
Mimi binafsi nimekutana na members wawili wa kike wa humu jf, wote wawili hawakuwa na mvuto. Mmoja alikuwa bonge mweusi ana maziwa makubwa hivi na nyuma kapigwa pasi, sikumtafakari sana maana tulikuwa tunafanya mabadilishano ya bidhaa kwa pesa. Mwingine alikuwa mfupi mweupe angalau alikua na muonekano, humu jf profile picture yake kamuweka mwanamke mrembo sana tofauti na yeye alivyo.

So kwangu kwa kutumia sample ya hao wawili nimeconclude kuwa wanawake humu wengi wao sio wazuri, labda wenzangu kama walikutana na warembo.
 
Mtaan kwako unapoish wanawake wote ni warembo?mbona mnajifanya kama wanawake humu wametokea sayari ya jupita? Kuwen na utu na adabu uzuru wa mtu upo machoni kwa mtu hata wewe hapo unaweza kuwa mzuri kwa mwingine kwangu ukawa mbaya
 
Synod Mbona hakuna hata swali la maana hapa, labda kama ulianzia episode za mbele mbele hukusoma toka mwanzo! Majibu yako hivi;

(1) Lengo la Ally Mpemba ni kumpata kijana mwenye "nyota" na mkakamavu ili aweze kusaidia kumsitiri mahitaji ya Maya wakati yeye anapokuwa nje ya Dar es salaam.

(2) Katika maisha yake alishakutana na watu wengi wenye nyota kama Umughaka lakini ndio akamchagua huyo kwani alijileta kufanya biashara mbele ya duka lake ndio akaiona nyota kwa karibu akaamua kumchukua. Ulitaka akatafute mtu mwenye nyota Kazuramimba wakati kuna mtu yuko hapo mlangoni kwake?

(3) Ally Mpemba amemuajiri Umughaka kwenye kazi ya catering, kusimamia wapishi na kusave chakula pale Ally anapopata kazi, kumbuka kule Mikocheni.
 
Mnavyotusema ooh siyo wazuri, mnatunyanyaasa weeee ndo mnafurahi?
 
[emoji16][emoji16] Mwandishi anasoma comments anabadilisha story juu kwa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…