Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kumekuchaaaaaaaaaaa wapi Bantu Lady kitalembwa Lovelovie Wigelekelo @St anne mafian Carter kiduku mpapaso leadermoe Antonio de Guzman Restless Hustler Doctor G and Labani og
 
@Lovelovie Antonnia [emoji115]
 
UMUGHAKA mchumba hasomeshwi shauri lako.
 
Lee
 
Umughaka with Another mission ya kutoa kafara 🙌🙌🙌🙌🙌! Dunia ina mengiiii Walai!!!
 
Kuna siku moja hapa Dom Niko zangu road nikakutana na dingi mmoja yupo kwenye bonge La ndinga barabara ya waziri mkuu akasimama ananiulizia barabara ya kuelekea arusha nikamuelekeza nikamwambia Mi mwenyewe naelekea huko anipe lifti Yule faza alikataa kabisa nisikae siti ya mbele sikupanda nikaachana nikijua dharau kumbe toooba
 
Umughaka with Another mission ya kutoa kafara 🙌🙌🙌🙌🙌! Dunia ina mengiiii Walai!!!
 
Story inaelekea mwisho... episode za jamaa hazizid 26..... ana episode 2 story iiisheee...

Me nasubir ile ya mtoto wa kitanga alivyosababisha akafeli form six..
Ila kwenye story ile ya kijijini kwa kina Monica Kuna sehemu ya comment alikua anabishana na jamaa kuhusu ufaulu wa shule za kata umughaka akasema alipata div 1 ya point 8 pcb!!! Nikaja kukuta mahali tena amesema alifeli kisa mtoto wa kitanga!! Mpaka Leo simuelewi
 
Pamoja sana master UMUGHAKA
 
Dah
Hii stori tamu sana asee

Ngoja tusubiri episode inayofuata
 
masai dada Ambiele Kiviele mkeka umetoka huku
 
Daah majobless itabidi tuangalie sana tunapoenda kuomba kazi kwenye hizi biashara za watu binafsi asee

Kuna wakati mtu anaonekana anachagua kazi kumbe sababu tu ni mambo kama haya

Bora nikomae zangu kuomba serikalini tu au kwenye hizi NGOs [emoji16][emoji16]
 
Kuna story umeruka alielezea hiko kisa cha kufeli na kufukuzwa hom na dingi ake..ni muendelezo so itafute uisome ndio utaelewa vizuri!
 
sehemu ya 25:
Niliichukua ile laki tano aliyonipatia bro Ally muarabu wa Pemba na kuipachika mfukoni mwangu kisha nikatoka mdogo mdogo huku kimoyo moyo nikiomba mambo yaende fresh ili siku moja niruhusiwe tena kuichakata ile papuchi ya mrembo Maya

Kiukweli licha ya maya kuwa katika ile hali ya umsukule lakini alikuwa na papuchi tamu sana sijui kwa sababu ya kufanya ngono mara nne tu kwa mwezi au labda kwa sababu ya chakula chake ni kabichi tu au pengine labda sababu ya kushindia kule kwenye shimo chini ya kabati

Kiukweli hakuna kitu ninachokuwa nikikimiss toka niyakoroge kama papuchi ya Maya,yaani mpaka kuna wakati natamani mimi ndio niwe Ally muarabu ili niwe najichakatia ile papuchi ya Maya

Basi bwana nikatembea mdogo mdogo ila ghafla simu yangu ikaita nilipoitazama nikakuta kumbe ni mrembo wangu Rehema alikuwa akinipigia

Nikapokea huku nikiwa najua kabisa shida yake ilikuwa ni nini na kweli baada tu ya kusalimiana alianza kuniambia habari za kumtumia pesa kidogo eti yuko BTP hivyo anahitaji pesa ya matumizi

Kwa sababu pesa nilikuwa nayo nikaenda kwenye kibanda cha m-pesa na kumpatia namba yule wakala nikamwambia atume laki 4,basi bwana wakala akawa ametuma ile pesa kwa Rehema na muda huo huo nikapokea simu toka kwa Rehema akinishukuru sana kwa kumpenda na kumjali

Nilipomaliza kuzungumza na Rehema nikakuta wakala akiwa kategesha mkono nimlipe pesa yake,nikaingiza mkono mfukoni ili nimchane huyu wakala njaa pesa yake kisha niende ghetto. du nilipozitoa zile pesa mfukoni aisee nusu nichanganyikiwe na nilianza kuiona milango ya gereza ikiwa wazi kwa ajili yangu,tazama zile pesa zote zilikuwa zimegeuka kuwa karatasi nyeupe pee

Wakati nikiwa katika hiyo hali ya kuchanganyikiwa ikaingia sms toka kwa brother wangu wa kiarabu(Ally) iliyosomeka"master umeyakoroga kwa mara ya pili sasa,yaani unafikiri Maya ni fara kama walivyo wanawake wa huko ukuryani kwenu,yaani umeichukua hii laki tano yake na unataka uitume kwa Malaya wako Rehema,sasa leo huyo wakala lazima akutafune makalio maana najua mpaka hapo ulipo huna pesa yoyote mfukoni"

Itaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…