Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hivi mkuu unadhani shetani yuko kama unavyomdhania?,unadhani nguvu nilizotumia hapo nyuma kutafuta maisha ndizo zingetumika kukataa masharti?,Jaribu uone mkuu utakuja kusimulia hapa
Sijaelewa vizuri hapa, hebu ipe nyama kidogo
 
hahahahaha we jamaa umetisha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unakera sana
 
Kuna MCHUMBA na MALAYA.

Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.

Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
Doooh,ulishawah kumueleza issue ya maya?
 
Kuna MCHUMBA na MALAYA.

Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.

Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
Waoh. Thats very good. Imekaa vizuri. Uliwekeza sehemu sahihi. Sasa alijua issue yako ya kutaka kumpoteza?
 
Inamana hawashtuki kwamba waache kazi
 
Aloo mwenye stori hakuwezi kummq
Endelea na sehemu ya 24 fastaaa atukute wahuni tushafika episode ya 59
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…