Selected by gods
Senior Member
- Dec 23, 2022
- 140
- 321
Kumbe hilo tu huku kwetu....tayari umughaka katupia hukuJamn mbona mm sina mtu wa kunitag au kumtag, niko pekeangu pekeangu. Natafuta rafiki awe wa kike mm niwa kike pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hilo tu huku kwetu....tayari umughaka katupia hukuJamn mbona mm sina mtu wa kunitag au kumtag, niko pekeangu pekeangu. Natafuta rafiki awe wa kike mm niwa kike pia
Ekaye ndakimenya gusa!wewe ni wa kigoma?
Wigelekelo kitalembwa Carrasco putin kiduku mpapaso wajumbe kazi kwenu japo ni kiumeni 😁!Jamn mbona mm sina mtu wa kunitag au kumtag, niko pekeangu pekeangu. Natafuta rafiki awe wa kike mm niwa kike pia
Pole sana mkuu walau, umepata mke ktk mpambano! Ni funzo linalo toka kwako sina haja ya kujaribu ndio maana nasema hadithi hii ni mafunzo, majuto, furaha nk. Tuendelee sema ashukuliwe Mungu uko hai aisee, ni mpango wake tuje jifunza jua upande mwingine wa shilingi. Kupitia wewe..sio kila mwenye hela ana Amani na furaha na kapata kirahisi. All the best kamanda ktk pilika zako.Hivi mkuu unadhani shetani yuko kama unavyomdhania?,unadhani nguvu nilizotumia hapo nyuma kutafuta maisha ndizo zingetumika kukataa masharti?,Jaribu uone mkuu utakuja kusimulia hapa
Nikatukuwa nakutagi mkuu mimi ni me lakini...Jamn mbona mm sina mtu wa kunitag au kumtag, niko pekeangu pekeangu. Natafuta rafiki awe wa kike mm niwa kike pia
hahaa hayaEkaye ndakimenya gusa!
Sio pouwa toto laki hebeshi hilooo 😄😄😄Maya huyu hapa..View attachment 2481916
siyo malaya bali ,,KAHABA,,big up mkuu..Kuna MCHUMBA na MALAYA.
Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.
Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
Nadhani umechanganya ufaulu wa form 4 na kufeli Form 6. Soma uelewe mkuu.View attachment 2501345
UMUGHAKA Wala mi Sina negativity yoyote, nilijisahau tu ila Hio ni comment yako ulisema ulipata div 2 pcb kwenye shule ambayo Haina lab! Anyway hizo ni minor things tu na mi naienjoy story zako na Wala sipo kuku criticize!!
Peace
Utakuja uliwe kimasiharasehemu ya 25:
Niliichukua ile laki tano aliyonipatia bro Ally muarabu wa Pemba na kuipachika mfukoni mwangu kisha nikatoka mdogo mdogo huku kimoyo moyo nikiomba mambo yaende fresh ili siku moja niruhusiwe tena kuichakata ile papuchi ya mrembo Maya
Kiukweli licha ya maya kuwa katika ile hali ya umsukule lakini alikuwa na papuchi tamu sana sijui kwa sababu ya kufanya ngono mara nne tu kwa mwezi au labda kwa sababu ya chakula chake ni kabichi tu au pengine labda sababu ya kushindia kule kwenye shimo chini ya kabati
Kiukweli hakuna kitu ninachokuwa nikikimiss toka niyakoroge kama papuchi ya Maya,yaani mpaka kuna wakati natamani mimi ndio niwe Ally muarabu ili niwe najichakatia ile papuchi ya Maya
Basi bwana nikatembea mdogo mdogo ila ghafla simu yangu ikaita nilipoitazama nikakuta kumbe ni mrembo wangu Rehema alikuwa akinipigia
Nikapokea huku nikiwa najua kabisa shida yake ilikuwa ni nini na kweli baada tu ya kusalimiana alianza kuniambia habari za kumtumia pesa kidogo eti yuko BTP hivyo anahitaji pesa ya matumizi
Kwa sababu pesa nilikuwa nayo nikaenda kwenye kibanda cha m-pesa na kumpatia namba yule wakala nikamwambia atume laki 4,basi bwana wakala akawa ametuma ile pesa kwa Rehema na muda huo huo nikapokea simu toka kwa Rehema akinishukuru sana kwa kumpenda na kumjali
Nilipomaliza kuzungumza na Rehema nikakuta wakala akiwa kategesha mkono nimlipe pesa yake,nikaingiza mkono mfukoni ili nimchane huyu wakala njaa pesa yake kisha niende ghetto. du nilipozitoa zile pesa mfukoni aisee nusu nichanganyikiwe na nilianza kuiona milango ya gereza ikiwa wazi kwa ajili yangu,tazama zile pesa zote zilikuwa zimegeuka kuwa karatasi nyeupe pee
Wakati nikiwa katika hiyo hali ya kuchanganyikiwa ikaingia sms toka kwa brother wangu wa kiarabu(Ally) iliyosomeka"master umeyakoroga kwa mara ya pili sasa,yaani unafikiri Maya ni fara kama walivyo wanawake wa huko ukuryani kwenu,yaani umeichukua hii laki tano yake na unataka uitume kwa Malaya wako Rehema,sasa leo huyo wakala lazima akutafune makalio maana najua mpaka hapo ulipo huna pesa yoyote mfukoni"
Itaendelea
Nimecheka wee jamaa ni fala [emoji23] [emoji23]sehemu ya 25:
Niliichukua ile laki tano aliyonipatia bro Ally muarabu wa Pemba na kuipachika mfukoni mwangu kisha nikatoka mdogo mdogo huku kimoyo moyo nikiomba mambo yaende fresh ili siku moja niruhusiwe tena kuichakata ile papuchi ya mrembo Maya
Kiukweli licha ya maya kuwa katika ile hali ya umsukule lakini alikuwa na papuchi tamu sana sijui kwa sababu ya kufanya ngono mara nne tu kwa mwezi au labda kwa sababu ya chakula chake ni kabichi tu au pengine labda sababu ya kushindia kule kwenye shimo chini ya kabati
Kiukweli hakuna kitu ninachokuwa nikikimiss toka niyakoroge kama papuchi ya Maya,yaani mpaka kuna wakati natamani mimi ndio niwe Ally muarabu ili niwe najichakatia ile papuchi ya Maya
Basi bwana nikatembea mdogo mdogo ila ghafla simu yangu ikaita nilipoitazama nikakuta kumbe ni mrembo wangu Rehema alikuwa akinipigia
Nikapokea huku nikiwa najua kabisa shida yake ilikuwa ni nini na kweli baada tu ya kusalimiana alianza kuniambia habari za kumtumia pesa kidogo eti yuko BTP hivyo anahitaji pesa ya matumizi
Kwa sababu pesa nilikuwa nayo nikaenda kwenye kibanda cha m-pesa na kumpatia namba yule wakala nikamwambia atume laki 4,basi bwana wakala akawa ametuma ile pesa kwa Rehema na muda huo huo nikapokea simu toka kwa Rehema akinishukuru sana kwa kumpenda na kumjali
Nilipomaliza kuzungumza na Rehema nikakuta wakala akiwa kategesha mkono nimlipe pesa yake,nikaingiza mkono mfukoni ili nimchane huyu wakala njaa pesa yake kisha niende ghetto. du nilipozitoa zile pesa mfukoni aisee nusu nichanganyikiwe na nilianza kuiona milango ya gereza ikiwa wazi kwa ajili yangu,tazama zile pesa zote zilikuwa zimegeuka kuwa karatasi nyeupe pee
Wakati nikiwa katika hiyo hali ya kuchanganyikiwa ikaingia sms toka kwa brother wangu wa kiarabu(Ally) iliyosomeka"master umeyakoroga kwa mara ya pili sasa,yaani unafikiri Maya ni fara kama walivyo wanawake wa huko ukuryani kwenu,yaani umeichukua hii laki tano yake na unataka uitume kwa Malaya wako Rehema,sasa leo huyo wakala lazima akutafune makalio maana najua mpaka hapo ulipo huna pesa yoyote mfukoni"
Itaendelea
Na wakwako ambao huwezi kuwatoa watatolewa na ndugu zako au mtu mwingine mwenye roho mbaya kama yako.Kuwatoa wafanyakazi naweza Tena wawili Kwa siku ila Kwa damu yangu hata tumboni siwatoi walahi
Kuwatoa wafanyakazi naweza Tena wawili Kwa siku ila Kwa damu yangu hata tumboni siwatoi walahi
AiseeKuna MCHUMBA na MALAYA.
Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.
Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
Am jealousy kwakweliKuna MCHUMBA na MALAYA.
Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.
Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
Duh........hongera sana mkuu, soma kule dm nilikutembeleaKuna MCHUMBA na MALAYA.
Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.
Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
O level Kuna combination? Labda useme hajaiwakilisha vizuri maana inaleta ukakasi!Nadhani umechanganya ufaulu wa form 4 na kufeli Form 6. Soma uelewe mkuu.