Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hivi mkuu unadhani shetani yuko kama unavyomdhania?,unadhani nguvu nilizotumia hapo nyuma kutafuta maisha ndizo zingetumika kukataa masharti?,Jaribu uone mkuu utakuja kusimulia hapa
Pole sana mkuu walau, umepata mke ktk mpambano! Ni funzo linalo toka kwako sina haja ya kujaribu ndio maana nasema hadithi hii ni mafunzo, majuto, furaha nk. Tuendelee sema ashukuliwe Mungu uko hai aisee, ni mpango wake tuje jifunza jua upande mwingine wa shilingi. Kupitia wewe..sio kila mwenye hela ana Amani na furaha na kapata kirahisi. All the best kamanda ktk pilika zako.
 
Nadhani umechanganya ufaulu wa form 4 na kufeli Form 6. Soma uelewe mkuu.
 
Utakuja uliwe kimasihara
 
Nimecheka wee jamaa ni fala [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…