Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Shetani ana mbinu nyingiYes, yaani Masta hakua na msimamo, sema ile bangili ni nuksi
😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁!!!Am jealousy kwakweli
Yani umughaka ameoa ?
rehema una bahati kusomeshwa na kuolewa
😋😋😋😋😋😋😋🤪🤪🤪🤪🤪😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁!!!
Asante Wige nimeona!! Masta anajilia tyuuu msambwada wa Rey mama watoto wake;!
Kaka Tanga Tech ulilala bweni gani hapo? Mimi nilikuwa nikilala Twiga enzi hizoo !! 🧍Mkuu hivi kweli ulinielewa nilichoandika?.
Nilisema kwenda Advance level nilipata Divesheni 2 nikachaguliwa Tanga Tech kwenda kusomea PCB,sasa hapo hujaelewa kitu gani!.
Hahahaaa.nikajua naweye utajibu kilugha😂!hahaa haya
Duuh usirudie tena hizo mambo... sio poa mzee..Haya mambo ya bangiri myasikiage tu.
Kuna mtaalam niliwa kuvaa pete kuubwa la mambo hayo kuna sharti nikavunja.
Ilikua ether bwii au nilikamata pisi nikatandika na siku hiyo ilikua alhamis unatakiwa upige rakaa tu na kuzima hela zinafuata.
Nikaleta zereu.
Walai naapa usiku sikulala,nilikesha kibandani kwa sonara mpk anafungua saa nne machozi ya damu yanamwagika.
Ni kwamba kidole kimevimba damu chekundu pete mpk haionekani.
Yule sonara anajua nini kimetokea aliswali akaja kachomeka waya mwembamba kidoleni fikiria hayo maumivu ndo kuivuta isogee nyuma zaidi kisha kukata na msumeno wa umeme.
Aisee maumivu yale siwezi kuelezea.
Na Ustaadh aliyenipa kila nikimwambia ye analeta mzaha tu huku akikumbusha masharti.
Ile pete ilikuja kupotea yenyewe tu kimazingara kwasababu badae nilikua naweka mfukoni tu sivai kidoleni.
Mungu saidia hakukua na madhara zaidi[emoji120]
Yeah ila sasa Masta yeye tamaa ya pesa bado haitaki kumuachiaShetani ana mbinu nyingi
Bila maombi mengi kwa Mungu huwezi kutoboa.
I guess Rehema alikuwa mtu wa maombi/ibada na Mungu akawanusuru kupitia huyo dada.
Kabisaaaa nilipitia mwenyewe ndo mana mughaka kuna vitu anaandika vipo kabisa na watu wanafanya.Duuh usirudie tena hizo mambo... sio poa mzee..
Vipi hii ni true story??
Pole sana huku kwetu naona imeandika Kwa hisia sana mimi ni (me ) lakini nimejikuta nimeingiwa na huruma, otherwise username yako haiendani na (ke)Jamn mbona mm sina mtu wa kunitag au kumtag, niko pekeangu pekeangu. Natafuta rafiki awe wa kike mm niwa kike pia
Hapa utakuwa umechanganya , ule ufaulu wa kuingia f4 na f6...View attachment 2501345
UMUGHAKA Wala mi Sina negativity yoyote, nilijisahau tu ila Hio ni comment yako ulisema ulipata div 2 pcb kwenye shule ambayo Haina lab! Anyway hizo ni minor things tu na mi naienjoy story zako na Wala sipo kuku criticize!!
Peace
Thanks for your sympathy,mimi ni ke mkuuPole sana huku kwetu naona imeandika Kwa hisia sana mimi ni (me ) lakini nimejikuta nimeingiwa na huruma, otherwise username yako haiendani na (ke)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]sehemu ya 25:
Niliichukua ile laki tano aliyonipatia bro Ally muarabu wa Pemba na kuipachika mfukoni mwangu kisha nikatoka mdogo mdogo huku kimoyo moyo nikiomba mambo yaende fresh ili siku moja niruhusiwe tena kuichakata ile papuchi ya mrembo Maya
Kiukweli licha ya maya kuwa katika ile hali ya umsukule lakini alikuwa na papuchi tamu sana sijui kwa sababu ya kufanya ngono mara nne tu kwa mwezi au labda kwa sababu ya chakula chake ni kabichi tu au pengine labda sababu ya kushindia kule kwenye shimo chini ya kabati
Kiukweli hakuna kitu ninachokuwa nikikimiss toka niyakoroge kama papuchi ya Maya,yaani mpaka kuna wakati natamani mimi ndio niwe Ally muarabu ili niwe najichakatia ile papuchi ya Maya
Basi bwana nikatembea mdogo mdogo ila ghafla simu yangu ikaita nilipoitazama nikakuta kumbe ni mrembo wangu Rehema alikuwa akinipigia
Nikapokea huku nikiwa najua kabisa shida yake ilikuwa ni nini na kweli baada tu ya kusalimiana alianza kuniambia habari za kumtumia pesa kidogo eti yuko BTP hivyo anahitaji pesa ya matumizi
Kwa sababu pesa nilikuwa nayo nikaenda kwenye kibanda cha m-pesa na kumpatia namba yule wakala nikamwambia atume laki 4,basi bwana wakala akawa ametuma ile pesa kwa Rehema na muda huo huo nikapokea simu toka kwa Rehema akinishukuru sana kwa kumpenda na kumjali
Nilipomaliza kuzungumza na Rehema nikakuta wakala akiwa kategesha mkono nimlipe pesa yake,nikaingiza mkono mfukoni ili nimchane huyu wakala njaa pesa yake kisha niende ghetto. du nilipozitoa zile pesa mfukoni aisee nusu nichanganyikiwe na nilianza kuiona milango ya gereza ikiwa wazi kwa ajili yangu,tazama zile pesa zote zilikuwa zimegeuka kuwa karatasi nyeupe pee
Wakati nikiwa katika hiyo hali ya kuchanganyikiwa ikaingia sms toka kwa brother wangu wa kiarabu(Ally) iliyosomeka"master umeyakoroga kwa mara ya pili sasa,yaani unafikiri Maya ni fara kama walivyo wanawake wa huko ukuryani kwenu,yaani umeichukua hii laki tano yake na unataka uitume kwa Malaya wako Rehema,sasa leo huyo wakala lazima akutafune makalio maana najua mpaka hapo ulipo huna pesa yoyote mfukoni"
Itaendelea
Na Yale mabangili amepewa ndio kabisaYeah ila sasa Masta yeye tamaa ya pesa bado haitaki kumuachia
mm nakijua vizuri maana ni mzaliwa wa kigomaHahahaaa.nikajua naweye utajibu kilugha😂!
Dah nilipotea ndo naibuka mkuuPendaelli Santos06 Mafian cartel Poker kiduku mpapaso Restless Hustler Kambi ya Fisi Doctor G Labani og leadermoe St anne mambo tayareeeeee hukuuuuu
Mkuu this is news to me! Nimesoma pcm advance ila sijawahi kujua kama Kuna specification za combination kuanzia o level, nachojua Kuna arts na science tu kipindi hicho si tunasoma!!!Hapa utakuwa umechanganya , ule ufaulu wa kuingia f4 na f6...
Kuna baadhi ya shule zilikuwa na specifications za masomo kuanzia darasa la tatu... Na unakuta mtu anajiita kabisa yeye ni Pcb au pcm or whatever... Ilihali bado yupo O'level..[emoji848]
Hatari na nusu ,umenishtua sanaKuna MCHUMBA na MALAYA.
Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.
Rehema now ndiye mke wangu mkuu.