Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Matokeo ya form 4 ndio alipata division 2!! UMUGHAKA aliendelea Form 5 & 6 huko mkoani Tanga ila akafeli kwajil ya huyo demu wa kitanga ndo Babaake akamfukuza nyumbani na hapo ndipo inakuja ile story “Nilivonusurika kifo baada ya kutimuliwa nyumbani”
 
Chai
 
🤣🤣🤣🤣
 
Boss tuelezee kwa undani zaidi tupate kujifunza ya upande mwingine. Maana watu wamekuwa wakihadaa wenye pesa pasipo kujua chimbuko la pesa nyuma.

Je mwisho wa siku nini huwakumba wenye hela za kishirikina?
Nilighairi hakukuwa na chochote nafkiri dk ya mwisho naongea na yule ustaadh alisema mambo hayo anayosema umughaka.

"Nyie wabara mnapenda sana pesa ila hamna uvumilivu" Na tokea hapo ikawa tukiongea ananisimulia mafanikio tu,na siku alinionyesha hizi double coaster 3 pale kwake mpya.

Akasema napumzika uganga,ukija muone wife.
Ndo nikajua sijui
 
Mkuu this is news to me! Nimesoma pcm advance ila sijawahi kujua kama Kuna specification za combination kuanzia o level, nachojua Kuna arts na science tu kipindi hicho si tunasoma!!!

I stand to be corrected hapa tupo kujifunza
Sijajua kwa sasa ila zilikuwepo shule za namna hiyo, mimi nimesoma shule iliyokua na mchepuo mmoja tu kuanzia form 1. Ilikua very specific tangu unasnza form 1 mpaka unamaliza ni PCM tu + other technical subjects. Kwa wale waliopita Iyunga Technical School wanalijua hili.
 
Afu na ww anzisha nyuzi zako,, siyo kudandia za wenzako!!!!
 
Mkuu hivi kweli ulinielewa nilichoandika?.

Nilisema kwenda Advance level nilipata Divesheni 2 nikachaguliwa Tanga Tech kwenda kusomea PCB,sasa hapo hujaelewa kitu gani!.
Tanga School shule yangu hii,nilipita hapo O level
,Nilikaa bweni la Twiga
 
Shida yako unasoma ila huelewi......wapi umughaka amesema Maya ni mnyama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…