Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

 
Nyie ndio mwalimu anafundisha SoMo darasani afu unajifanya mwepesi wa kuelewa mtihani ukija umeshika mkia
 
Mmmh aisee ni funzo kubwa sana .. kwa sisi wengine.. ama kweli tusione vyaelea.. vimeundwa.
 
Anajua, ukishajisalimisha kwa kitu chochote mnaungana. Ndio maana alikuwa anajua
 
Nikweli kbs hio Nyumba naijua hatamimi pale ni mtaani kwetu
 
Kama miaka na miaka bas huyo jamaa yeye shart lake ni kuanika mahind tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…