Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Santos06 ya 19 hii hapa!☝️
 
Santos06 ya 20 sema Saivi naona chini ameweka muendelezo
 
🤣🤣🤣🤣
 
UMUGHAKA Leo wakati nimetoka kwenda kula lunch meza ya pembeni walikuwa wanasimuliana story yako tena wakikutaja kwa jina na story ambazo ushaziandika hapa JF, I was about to join them kwenye discussion ila nikaamua kutulia nile zangu wali ndondo na utumbo nirudi kibaruani.
 
Mbona mi watu wa jamii forum huwa sikutani nao ...nikiwa kwenye mwendo Kasi au haice huwa nachungulia chatings siwaoni [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…