Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Sasa nitakua makini sana kuchunguza watu mikononi kama wamevaa bangiri au pete!!
Vipi hizi pete za kina Mondi lol!! Nimeogopa sana!
Utajiri una mengi sana, Kuna mzee mmoja namfahamu ana malori mengi tu yanayoenda Congo,,,,

Kuna shati Hilo habadilishi, nadhani linafuliwa usiku ama, halafu alishaachana na mkewe, Kuna tetesi anakula bintiye!

Pesa pesa pesa
 
Ila kuna mmja zamani nadhani 2018 nilikutana nae oasisi hotel morogoro njemba tall ilikuwa imevaa pensi nilivoizoom iko jf nikakausha[emoji23][emoji23]ilikuwa karibu na swimming pool inawachora warembo wakiogelea
Mimi nilishawah muona mmoja tu tena ilikuwa 2015 alikuwa mdada,kipindi hcho mimi nilkuwa sjajiunga ila nilkuwa naperuzi threads bila kulog in
 
Humu kila mtu matawi
 
Utajiri una mengi sana, Kuna mzee mmoja namfahamu ana malori mengi tu yanayoenda Congo,,,,

Kuna shati Hilo habadilishi, nadhani linafuliwa usiku ama, halafu alishaachana na mkewe, Kuna tetesi anakula bintiye!

Pesa pesa pesa
Hatari sana best!
 
Umenikumbusha, kama sikosei alianzia redio free
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…