Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Sasa nitakua makini sana kuchunguza watu mikononi kama wamevaa bangiri au pete!!
Vipi hizi pete za kina Mondi lol!! Nimeogopa sana!
Utajiri una mengi sana, Kuna mzee mmoja namfahamu ana malori mengi tu yanayoenda Congo,,,,

Kuna shati Hilo habadilishi, nadhani linafuliwa usiku ama, halafu alishaachana na mkewe, Kuna tetesi anakula bintiye!

Pesa pesa pesa
 
Ila kuna mmja zamani nadhani 2018 nilikutana nae oasisi hotel morogoro njemba tall ilikuwa imevaa pensi nilivoizoom iko jf nikakausha[emoji23][emoji23]ilikuwa karibu na swimming pool inawachora warembo wakiogelea
Mimi nilishawah muona mmoja tu tena ilikuwa 2015 alikuwa mdada,kipindi hcho mimi nilkuwa sjajiunga ila nilkuwa naperuzi threads bila kulog in
 
Mwingine alikuwa anauza vitu vyake na kupangisha chumba nikaenda kuangalia nyumba ile alikuwa anaenda nje ya nchi, ni bonge la mkaka hb kinoma, so smart kweli toka mwaka ule hajaingia jf tena hope anaendelea vizuri ughaibuni huko.

Mwingine mpaka leo hajui kama naijua ID yake ya huku hajui hata kama nipo JF alishare screenshot moja ikareveal ID yake. Kutwa anatuponda sana wanawake jamani wakati yeye mwenyewe eeh Mungu mshamba kweli. Kila siku pics zake amevaa kadeti, jezi ya arsenal na sendo za SUPREME. We mkaka mfyuuu zako JF anajidai matawi kweli.
Humu kila mtu matawi
 
Utajiri una mengi sana, Kuna mzee mmoja namfahamu ana malori mengi tu yanayoenda Congo,,,,

Kuna shati Hilo habadilishi, nadhani linafuliwa usiku ama, halafu alishaachana na mkewe, Kuna tetesi anakula bintiye!

Pesa pesa pesa
Hatari sana best!
 
Kama yule jamaa aliyesimulia kwenye kile kitabu cha "sitoisahau Gamboshi". Yaani alieleza vitu vingi sana hadi unajiuliza Huyu Mwamba anakichwa gani chenye uwezo wa kuhifadhi kumbukumbu kiasi Hiki? Anyway waswahili walisema anayesàhu alipotoka hajui anapokwenda.
Umenikumbusha, kama sikosei alianzia redio free
 
Back
Top Bottom