Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Yaani unaambiwa huo mji ulizindikwa hivyo siyo rahisi kuuona kwa macho ya nyama.ingawa alieleza chanzo cha kuuzindika.hahah izo kama hazionekan bas io ghorofa izo
Huo mji hauonekani kwa macho ya kawaida kamanda wanguMkuu mimi nilishafika gamboshi, ni kijiji kipo simiyu kweli, lakini ukiuliza wenyeji kuhusu hayo mambo ya kishirikina wanasema yalikuwepo zamani sana. Nilifika mwaka 2017 nikiwa nafanya kazi ya ukusamyajibwa data.
mimi huwa najiuliza sana, huu uchawi wa gamboshi unaozungumzwa ni upi, maana hata ukiuliza wazee watakwambia hata wao wanasikia tu kuwa zamani inasemekana palikuwa na wachawi hapo kijijini
Anatafuta Wokovu yupo Tayari kwa lolote hajakurupuka budaaHivi mkuu UMUGHAKA Haupgopi kutoa hizo codes maana hapo umetaja mpaka location ya mgahawa na wewe no mtu usiyeficha identity yako hata ulipoenda Mbeya ulionana na wana jf wa huko, Sasa mkuu ikitokea mwenye ndugu mfanyakazi aliyekufa hapo mgahawani hauoni atakutafuta kulipa kisasi?
Aweke namba hata buku tano tutachangiaUMUGHAKA amesema kuwa yeye ni boda boda, hesabu ya boda boda kwa siku maxmum ni 30 elfu.
Mi naomba tumchangie buku buku ili akae chini siku nzima amalize hii story maana daaah tunatamani iishe tuendelee na mbishe nyingine. [emoji848][emoji848]
Asee, ni kijijini sana. Hiyo siku niliogopa lakini kwakuwa tulikuwa team nilijipa moyo. Baada ya kukaa kwa muda flani nikaanza kuuliza wenyeji kuhusu tuliyoyasikia, maana me nilikuwa najua gamboshi ipo NigeriaHuo mji hauonekani kwa macho ya kawaida kamanda wangu
😂😂😂😂😂😂😁😁 hahahaaa... Inapendeza sana ukilishea namii mkuu! Sharing is caring 🤗Hapa kuna jambo nimepata imana
khakhakhaaaa...cheka utanue mapafu mkuu maisha ndio hayahayaaa✌️✌️✌️Mie wala nimecheka tu hapo kwikanisa dyi pendekoste
Kuna mwandishi wa DW naye alienda huko kufanya upekenyuzi ila aligonga MwambaAsee, ni kijijini sana. Hiyo siku niliogopa lakini kwakuwa tulikuwa team nilijipa moyo. Baada ya kukaa kwa muda flani nikaanza kuuliza wenyeji kuhusu tuliyoyasikia, maana me nilikuwa najua gamboshi ipo Nigeria
Furahia story mkuu kitambo sana sikuoni oni humuu!!!Yan naanza kabisa kujiona kuwa Luna kadalili flan hv kanaanza kuonekana,yan najiona kabisa kuwa naanza kukupenda bure yan,😂😂
Asante sana kwa kuniita Antonnia
Ni kweli. Hapo Gamboshi kuna ka-Center uchwala hivi.....Kuna Mkwaju mkubwa! Mbele yake kuna shule ya msingi "Gambosi" imeandikwa hivyo! Kwenye bango la shule na haijaandikwa " Gamboshi' kama wengi tulivoizoea..kuiita.....Asee, ni kijijini sana. Hiyo siku niliogopa lakini kwakuwa tulikuwa team nilijipa moyo. Baada ya kukaa kwa muda flani nikaanza kuuliza wenyeji kuhusu tuliyoyasikia, maana me nilikuwa najua gamboshi ipo Nigeria
Tatizo la jamaaa wetu kila jaribio ovu yeye anashiriki Kaz Kweli Kweli ,Hadi kumtoa mtu kafara😥 aisee hyu bwana atubu hz dhambi alizoshirikiFurahia story mkuu kitambo sana sikuoni oni humuu!!!
Naona kama imeanza upyaaa.. masta na kazi nyingine ya kutoa kafara ni hatari nanusu hiii!!
akimuanzishia maya dozi unishtueWeeee mi mwenyewe kuuana hapana hapana mjomba nasoma tu nipate experience ya maishaaa!! kuua huyo shetani ashendweeee IJN!!
Yeah nimepita leo huo Mgahawa unaitwa TARIM RESTAURANTHuu mgahawa ndo ule ulikuwa pale jirani na gari za tegeta kariakoo