Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mkuu,hata hawa wachawi wa kawaida ukiwauliza watakuambia hakuna uchawi,lkn jichanganye sasa.
 
Wote mnasema mmeugundua huo mgahawa. Ina maana hadi leo hamna aliemgundua Ally Mpemba? Alisema hilo duka la kina Ally lilikua mkabala na kilipo kituo cha mwendokasi. Lazima watu wanamjua tayari. By the way Umughaka umetisha sana story ina mafundisho, ina ukweli naamini.
Mliokua mnasema anatunga mpo wapi saizi mmeufyata mnasubiri episodes
 
Kwny msafala wa mamba na kenge wamo ukiangalia vzr hata mijusi utawakuta[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ata range ya mpemba watu tusha ijua
 
kuna mgahawa mnautaja taja, kuna kama mzee mwarabu hivi anausimamia. that is completely wrong, huyu jamaa anasema Ally Mpemba aliweka usimamizi. uyo msimamizi mara nyingi alikuwepo hapo mgahawani. kwa kifupi code ipo hapo kwenye msimamizi.

This Mani is so good in tricks.
 
Sasa tunaenda bampa to bampa lol

Nimeukazania huu Uzi kwa siku3 mpaka nimemaliza page zote zaidi ya elf5

Lait ningekua serious na maisha kama nilivokazana kwenye uzi huu[emoji23]

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Ungekuw mbal sana . Sasa huyo sheh wa chumbe mbona sioni kuwa analipwa sehem .au yeye hatak ile hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…