Kwamba waliocheki huu uzi ni watu 1M??1M tayari
Mkuu,hata hawa wachawi wa kawaida ukiwauliza watakuambia hakuna uchawi,lkn jichanganye sasa.Mkuu mimi nilishafika gamboshi, ni kijiji kipo simiyu kweli, lakini ukiuliza wenyeji kuhusu hayo mambo ya kishirikina wanasema yalikuwepo zamani sana. Nilifika mwaka 2017 nikiwa nafanya kazi ya ukusamyajibwa data.
mimi huwa najiuliza sana, huu uchawi wa gamboshi unaozungumzwa ni upi, maana hata ukiuliza wazee watakwambia hata wao wanasikia tu kuwa zamani inasemekana palikuwa na wachawi hapo kijijini
Noma sanaYan huwez amini bestie,nipo humu deile[emoji23],sema kuna story flan hv za nyuma sana za SteveMollel zilinipitaga saiv ndo nashinda Nazo,humu kwa. UMUGHAKA huwa nachungulia kisha natupia macho pia kidogo kwa singanojr na kurud kule kwa SteveMollel ,ila nakushukuru kwa kunikumbuka[emoji120]
Kweli mkuu naungana na weweMpkaa sasa iv nmegundua ukiona una ndugu yako yupo sehem nzuri lkn hawaiti ndugu zake kwenye hyo miradi yake usilalame sana,jua tuu kuna issue behind.
Ni ule uliopo upande wa soko kabisa zilipokua zinapaki taxi au upande wa kushoto? Uliokua unatazamana na madaladala ya tegeta?Huu mgahawa naupata sana nimeshakula mara kadhaa, uenda ata misosi wanamix na vibuyu vyao hawa wahuni,
wateja tunakuwaga wengi sana na misosi super sana
Kwny msafala wa mamba na kenge wamo ukiangalia vzr hata mijusi utawakuta[emoji38][emoji38][emoji38]Wote mnasema mmeugundua huo mgahawa. Ina maana hadi leo hamna aliemgundua Ally Mpemba? Alisema hilo duka la kina Ally lilikua mkabala na kilipo kituo cha mwendokasi. Lazima watu wanamjua tayari. By the way Umughaka umetisha sana story ina mafundisho, ina ukweli naamini.
Mliokua mnasema anatunga mpo wapi saizi mmeufyata mnasubiri episodes
Wajuba kama nawaona wanavoroam huko Kkoo kuutafuta huo mgahawa.[emoji4][emoji4][emoji4]Naona baada ya mgahawa kutajwa uzi umefikisha 1million views.
Ata range ya mpemba watu tusha ijuaWote mnasema mmeugundua huo mgahawa. Ina maana hadi leo hamna aliemgundua Ally Mpemba? Alisema hilo duka la kina Ally lilikua mkabala na kilipo kituo cha mwendokasi. Lazima watu wanamjua tayari. By the way Umughaka umetisha sana story ina mafundisho, ina ukweli naamini.
Mliokua mnasema anatunga mpo wapi saizi mmeufyata mnasubiri episodes
Tumelishwa sana chakula cha Maya hapo.Naona baada ya mgahawa kutajwa uzi umefikisha 1million views.
Afafanue kuhusu Chumbe! Then inaweza kuwa kweli... so far ni hadithi tu ya kawaida!Mliokua mnasema anatunga mpo wapi saizi mmeufyata mnasubiri episodes
Nikikujibu tutaonekana mi na we wote sawa. Ngoja nikuache nijitunzie heshima yanguAfafanue kuhusu Chumbe! Then inaweza kuwa kweli... so far ni hadithi tu ya kawaida!
Nilijua tu lazima watu mtafungua code.Ata range ya mpemba watu tusha ijua
Ungekuw mbal sana . Sasa huyo sheh wa chumbe mbona sioni kuwa analipwa sehem .au yeye hatak ile helaSasa tunaenda bampa to bampa lol
Nimeukazania huu Uzi kwa siku3 mpaka nimemaliza page zote zaidi ya elf5
Lait ningekua serious na maisha kama nilivokazana kwenye uzi huu[emoji23]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app