Kuna jamaa hapa anaziba pancha Tu lkn life lake hatar Sana nyumba kali gari Kali mpaka police wanamuuliza umepataje nyumba hiiNimepita tena hapa kwenye huu Mgahawa wa Ally Mpemba nimejiuliza maswali mengi sana bila majibu hivi kwa Mgahawa ule tu kila baada ya miezi sita anakufa Mfanyakazi. je huyu Ally Mpemba angekuwa anamiliki Hotel kama Kilimanjaro Hotel, Serena, Sea Cliff au Golden Tulip angekuwa anauwa Wafanyakazi wangapi kwa mwaka? Vijana wenzangu kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu hii pesa, sometimes turidhike na kile tulichojaaliwa na wala tusiishi maisha ya kumuiga mtu fulani kuna watu wanafanya madhambi makubwa sana nyuma ya pazia kwa sababu ya pesa.
Nilinunua soft ya kitabu chake watsap aisee kuna Mambo mengi Sana ya dunia hii kwenye ushirikinaAliandikia hadi vitabu ile story
Nasubiri ya 26@Demi
Maana yake ninini Wige??Kila ifikapo
Tarehe 30 May
Inaitwa Lya salasini
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
nguvu ya pete bado ipo 😀 😀Tumefika viewers laki tisa na elfu tisini na nane 998K
UMUGHAKA Unaupiga mwingi
Ungekua mbareeeee sanaaaSasa tunaenda bampa to bampa lol
Nimeukazania huu Uzi kwa siku3 mpaka nimemaliza page zote zaidi ya elf5
Lait ningekua serious na maisha kama nilivokazana kwenye uzi huu[emoji23]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Hapo nakupinga, hiyo kitu haipo ni inasemekana tu. Uchawi upo kama ilivyo sehemu nyingine tu lakini siyo ule tunaodanganyana. Ni kama story za ukerewe tu. Wanasema zmani ilikuwa hivi mra vile lakini ukiuliza wazee wa huko watakwambia hata wao wanasikia zamani ilikuwa vile.Hao wazee wa Gamboshi hawawezi kukubali.
Kwamba ukiwauliza waseme ndio mjukuu wangu, hapa kuna wachawi balaa ni lango la kuzimu na ukitaka kwenda kuzimu unapitia mtoni pale ukiwa hujavaa nguo ila unaenda kinyume nyume.
Ila ukienda kikazi zaidi utajua ukweli.
Bado unayo?Nilinunua soft ya kitabu chake watsap aisee kuna Mambo mengi Sana ya dunia hii kwenye ushirikina
Nipe link kaka na mm ninunue au nitumie hiko cha kwakoNilinunua soft ya kitabu chake watsap aisee kuna Mambo mengi Sana ya dunia hii kwenye ushirikina
Akikutumia nitumie na mimi kakaNipe link kaka na mm ninunue au nitumie hiko cha kwako
Ok nasbrAkikutumia nitumie na mimi kaka
Ni sherehe kuashiriaMaana yake ninini Wige??
Ahaaa! Asante sana kwa maelezo!Ni sherehe kuashiria
Msimu wa mavuno
Hivyo kunakuwa na ngoma shindanishi
Kati ya Baghika na Baghalho
Lakini pia kuanza kwa mavuno
Yaliyopo shambani juni mosi
Huku ikisubiriwa bei ya pamba julai mosi
Itangazwe
Ni kipindi cha shangwe na furaha kiasi kwamba
Minada ndio inaanza kuchanganya
Pesa kama zote ukanda huo
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa hapa anaziba pancha Tu lkn life lake hatar Sana nyumba kali gari Kali mpaka police wanamuuliza umepataje nyumba hii
Ha haaaa.Unataka kwenda kula chakula chenye damu za watu mkuu huogopi?