Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

ntaanza asee niwe konki masta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee ni hatari yaani wanawake wanapiga simu kumsifia Kungwi wanasema yaan Mume wangu akiwa anakula Chakula cha usiku jinsi [emoji519] lilivyo tamu mpakana anatoa machozi na nyumbani siku hizi anawahi kurudi na akirudi anataka tunda mpaka anamwaga chozi
 
machozi hadi wangu anamwaga..labda nkolezee tu
 
Nakumbuka kuna SINTOSAHAU moja hivi ya RFA majuz kati tu I think ni huu mwaka ulioisha kuna mjamaa goes by the name LwandaMagere alikuwa anasimulia kisa chake cha utajiri kama tu ilivyo kwa UMUGHAKA hapa, jamaa alifata masharti kama yalivohitajika akatajirika vibaya sana lakini alipoanza kulewa utajiri na kusahau kutimiza masharti wakaanza kumpora kila alichonacho hadi akabaki mweupe kama kima.

Sasa jamaa alidokeza siri moja kwamba kumbe fedha zozote zinatoka kwa hao jamaa huwa tayari Zina mihuri au alama zao na kitu kingine alisema kuwa ikitokea umezingua kwenye masharti yao na mkatofautiana basi huchukua kila kitu Chao walichokupa yani hata kama ni nyumba uliijenga kwa hela zao basi huwa wanaichukua chochote kile hata kiwe ni kidogo vipi lazima wa take back to their empire ili wakuache kapuku uliyechakaa ndipo uanze kutafta from 0 mali za kwako mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…