Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwahi kusoma simulizi ya member anaitwa lwanda magere? Hilo ziwa usilichukulie poa mkuuTanganyika linatajwa kwenye mambo yapi!? Hakuna ziwa tulivu kama Tanganyika. Halina matukio ya ajabu wala ajali za mara kwa mara kama maziwa mengine.
Wakazi wa Gamboshi wamepigwa upofu mzeekuna jamaa nimesoma Naye mpwapwa secondary 2001 - 2004 anaitwa Emmanuel Holehole alitokea Gamboshi, alinambia hakuna lolote Gamboshi anashangaa watu wanamuogopa na wengine wanaomba likizo akirud aje na dawa ya mapenzi
Hahahahaha uwe unasikiliza kipindi Cha Pillow talk radio times fm kuanzia saa 5 usiku. Hicho unachokitaka huwa wanafundisha na Wanawake huwa wanapiga simu Ku testify.sjui tufanyeje na ss tuwe na za hvoo
ntaanza asee niwe konki mastaHahahahaha uwe unasikiliza kipindi Cha Pillow talk radio times fm kuanzia saa 5 usiku. Hicho unachokitaka huwa wanafundisha na Wanawake huwa wanapiga simu Ku testify.
Ile shape ya Rehema ilimvuruga mbaya ila kwenye hii episode japo yashapita master alitoa boko aisee. Sasa na wewe kama huna jishape kama la Rey shauri ako [emoji1787][emoji1787]mtu mwenyewe huyu ashalogwa na papuchi ya rehema hasikii cha mtu
Kama kawaida yako Fala sana wewe [emoji1787][emoji1787]Chai
nina vyangu najua akiniona tu hatachomoa. ila anione live sio picha. picha huwa hazinitendei haki kama ilivyo kwa hamissa.Ile shape ya Rehema ilimvuruga mbaya ila kwenye hii episode japo yashapita master alitoa boko aisee. Sasa na wewe kama huna jishape kama la Rey shauri ako [emoji1787][emoji1787]
Kibuti wapi wakati ashaandika humu kuwa hadi hii leo Rehema ndiye mkeweUmezingua sana,mchumba hasomeshwi br,mwishkni najua ni kibuti tu hapo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ntaanza asee niwe konki masta
machozi hadi wangu anamwaga..labda nkolezee tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee ni hatari yaani wanawake wanapiga simu kumsifia Kungwi wanasema yaan Mume wangu akiwa anakula Chakula cha usiku jinsi [emoji519] lilivyo tamu mpakana anatoa machozi na nyumbani siku hizi anawahi kurudi na akirudi anataka tunda mpaka anamwaga chozi
Itabidi umuombe masta akuunganishe na rehema ili akupe sirisjui tufanyeje na ss tuwe na za hvoo
mwenzangu itabidiItabidi umuombe masta akuunganishe na rehema ili akupe siri
Bado upo hapo royal? Ndio napita mitaa hii sasamwenzangu itabidi
Hatari mkuu leo ndo leo...Guvu moya 😁 🦁🔥 In MO voice