Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kabisa mkuu hizo mistakes I guess hazitokei kwa bahati mbaya yani ni kitu kama Predetermined flan hivi kwa sababu ukiangalia hata wahusika wenyewe wanajikuta hawaelewi ilikuwaje kuwaje wanapuyanga kwa kufanya mistakes kizemmbe hivyo magere alibugi kizembe kabisa ikamgharimu pakubwa sana UMUGHAKA nae same story yani easily anajipiga bastola mwenyewe 😂😂😂 eti kisa rehema tu though inaonekana ilipangwa tu azingue hivyo labda ili akione cha moto.
Aisee haya mambo ni magumu sana kiukweli.
 
We jamaa mwisho wa story watakushika Tako shauri yako 😂😂
 
Father Celement wa Bujora Kisesa Mwanza naye alikua research kama hii
 

Nyama zao laini mno
 
Hahahaa Hapana.. Sitaki hekaheka tena kabisaa mie humu [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Afu Habari za kumpenda Mtu hujamuona [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Uzuri masta umughaka ....atamcheki ally mpemba ili amtumie picha ya Antonnia ....+ Criteria ie flat au.........
 
Exactly. Ndio maana hata unapofika Sumbawanga ( Means tupa uchawi ) unaweza hisi hakuna uchawi hata stori tu utaambiwa mbona hatujui kitu uchawi.

Sasa jifanye na tu uchawi twako ndio utajua hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…