Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kwa uelewa Wangu(Low thinking capacity)

Ally mpemba alikua anaitumia nyota ya UMUGHAKA kukamilisha mambo yake ya kujipatia utajiri, yaani kulikua na Connection kubwa sana kati ya pete aliyoivaa Master na ally mpemba mwenyewe.

Na ndio maana Master alikua akizingua tu Ally mpemba na yeye uku mambo hayaendi poa kiasi cha kumchukia kabisa Master.

Refer pia kuna Sehemu Ally alimlalamikia Master kwamba anataka kumfanya Maskini. Pale master alipovunja Mashart ya kutopakia mtu asiye wa ukoo wa Ally siti ya mbele

Master alikua amelibeba jini la Ally mpemba na ndo lilikua linampa Blindness ya kumpa pesa kidogo kusudi asishtukie mchongo mzima. Alikua akutumika kama chambo na pia kama Ndoano.

Utajiri una siri nyingi sana Wajameni na madubuwasha ya Ajabu. Usipo ya Face huwezi kuelewa kamwe.
Hivyo ulivyofikiri ndivyo ilivyo big up chief.
 
Una high thinking capacity Mkuu Sema watu wengi humu wanaisoma hii Simulizi kama gazeti tu bila kufikiria kwa kina.
Hakika mkuu, pia kuna mengi sana ya kujifunza kwenye hii simulizi hasa mambo ya kiroho zaidi.

Atakama itakua ni ya kutunga(may be) lakini kuna Awareness atakua ametuachia. Tuishi kwa taadhari sana dunia tambara bovu hili
 
Jamaa ni msimuliaji nguri sana aisee. Kongele kwake
Ule moto sio mchezo utofauti wa hii ya master na ile ni kuwa Magere alikuwa na matukio mengi sana ya hatari, plus kuwachapa bakora. Kuna ile anamtokea mbaya wake nyumbani kwake.

Unakumbuka namna alivyomfanya mchepuko wa mke wake ashindwe kupiga show? Jamaa alikuwa na nguvu za kutisha acha kabisa
 
Na kuongelea uchawi usukamani ni kama uende Rwanda umuongelee vibaya kagame au uwaulize wananchi kama kagame ni dikteta.
Au uwaambie chawa wa mama sa100 haupigi mwingi
Yeah! Ipo hivyo mkuu, hawataki watu wajue na wakikumark kuwa unafahamu kuwa wao ni wachawi, hawakuachi salama
 
Kabisa mkuu hizo mistakes I guess hazitokei kwa bahati mbaya yani ni kitu kama Predetermined flan hivi kwa sababu ukiangalia hata wahusika wenyewe wanajikuta hawaelewi ilikuwaje kuwaje wanapuyanga kwa kufanya mistakes kizemmbe hivyo magere alibugi kizembe kabisa ikamgharimu pakubwa sana UMUGHAKA nae same story yani easily anajipiga bastola mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23] eti kisa rehema tu though inaonekana ilipangwa tu azingue hivyo labda ili akione cha moto.
Aisee haya mambo ni magumu sana kiukweli.
Umetumia neno zuri "Predetermined" mchongo wote ushaandaliwa kitambo, refer mchakato wa kupata wafanyakazi wa mgahawa. Master mwenyewe alishafanyiwa vetting akaonekana yuko vizuri
 
Kwa uelewa Wangu(Low thinking capacity)

Ally mpemba alikua anaitumia nyota ya UMUGHAKA kukamilisha mambo yake ya kujipatia utajiri, yaani kulikua na Connection kubwa sana kati ya pete aliyoivaa Master na ally mpemba mwenyewe.

Na ndio maana Master alikua akizingua tu Ally mpemba na yeye uku mambo hayaendi poa kiasi cha kumchukia kabisa Master.

Refer pia kuna Sehemu Ally alimlalamikia Master kwamba anataka kumfanya Maskini. Pale master alipovunja Mashart ya kutopakia mtu asiye wa ukoo wa Ally siti ya mbele

Master alikua amelibeba jini la Ally mpemba na ndo lilikua linampa Blindness ya kumpa pesa kidogo kusudi asishtukie mchongo mzima. Alikua akitumika kama chambo na pia kama Ndoano.

Utajiri una siri nyingi sana Wajameni na madubuwasha ya Ajabu. Usipo ya Face huwezi kuelewa kamwe.
Hii faraq mkuu[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom