Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Wako vizuri na ukumbuke tu kwamba wote hao ni Kanda maalum TARIME - RORYA
Watu wa kanda maalum [emoji23][emoji119][emoji91]
Nimekumbuka Magere alivyozunguka kuitafuta sh mia ya mwaka 1993[emoji23][emoji1787]
Ila Tarime jamani [emoji23]
They don't give up kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


So far kuna part zimenichekesha kwenye hii stori;-
Part 1 ni ile shemeji yake Master anavyoongea na Master kuhusu ile hela alimpa ndugu yake[emoji1787]

Part 2 Ally Mpemba anamtumia msg Umughaka eti huna akili na utakufa kifo kibaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wanaume wa kikurya ni wanaume kweli kwa kupambana. Mpaka wanawekewa kanda maalumu ya kipolisi mchezoo
 
Hawa wanaume wa kikurya ni wanaume kweli kwa kupambana. Mpaka wanawekewa kanda maalumu ya kipolisi mchezoo
Yaani hawakati Tamaa[emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Jamaa kutoka kutapeliwa mamillioni hadi kuanza upya kwa kufanya vibarua vya matofali[emoji119][emoji119][emoji119]

Yule mwenzie alienda hadi kuzimu kupata huo utajiri[emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Hawa sio lelemama
Halafu usijepata boy mkurya ukadhan utakuwa unamzungusha kwenye vijiwe vya chips...mama utapiga ugali tena sio wenu pekee na wa kuliwa na mashemeji pia maana sku zote mkurya anatembea kwenye group
 
Umeongea kwa uchungu sana.
Ila jamaa kazingua kinoma sijaona kama kina Ally mpemba na mzee wamemzubaisha au Maya ila ni yeye pekee na nyege zake[emoji1787][emoji1787]
Atupe mwendelezo tu ila stimu zimekata kabisa kufatilia
yani nmeumiaa kinoma

sikuifatilia tangu ep 20, ndo nikasoma soma jana nikajutana na huo ujinga daah nmeumiaa.. tumetoka Tarime matukio kibao afu Demu anakuja kuzingua aaah sikubali kabisa
 
Kumbuka siku ya kwanza alipokutana na Rehema, alisikia sauti kabla hata hajamuona Rehema.
Kuna mtu unaletewa aje akuokoe.
aah mi kuokoana staki.. Mtu mwenye makalio makubwa anakuokoaje bwana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Vaa uhusika wa rey then rudia kauli yako
aah heri nivae uhusika wa Ally mpemba sio Rey mkata kamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu jamaa hapo juu ametusanua kuwa ndo mkewe... mi sisomi tena mana mwisho nshauona yani tumeenda mpaka Quba afu tunarudi liwale aah staki mimi
Ha ha ha ha huwaga wanaanzia mbali hivo hivo ili uzoee.
aah uko mbali unasafisha tu ...kwenye mtihani mgumu ndo unakwama hata wao wanaona hapa ngumu kumesa.
 
Khaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Tobaa

Mbona tutavunjika mikono sasa jamani lol!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mwisho mpemba akuoe shauri yako ndugu yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Una uhakika[emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…