Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Stori nzuri UMUGHAKA ila point of correction
Ifakara sio wilaya
Wilaya ni kilombero , ambayo makao makuu ya wilaya ya kiloi yapo ifakara mjini.
 
Nimekutana na huyu client amevaa bangili la ki-@umughaka, aisee nilitaka niutumie huu mkono kwa kazi fulani ila nimeahirisha..[emoji23][emoji23][emoji23]

 
Sku hz hapa town kila nikipishana na gari afu nkaona dereva ni mwarabu,,, naona kama nmeonana na ally mpemba

Afu kushoto nkimwona mwanamke kavaa kininja,, najisemea maya yuleee,, THOUGH SIAMINI KAMA KUNA UCHAWI.
 
,lubawa ukuje
 
Sku hz hapa town kila nikipishana na gari afu nkaona dereva ni mwarabu,,, naona kama nmeonana na ally mpemba

Afu kushoto nkimwona mwanamke kavaa kininja,, najisemea maya yuleee,, THOUGH SIAMINI KAMA KUNA UCHAWI.
Leo mchana nilienda maeneo ya CHINA PLAZA kwa nyuma kuna duka la simu nikaingia kuangalia simu nikamkuta mwenye duka ni Mpemba kichwani ikanijia hii simulizi. Hahahahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…