Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ally mpemba hajawahi kuwasha AC ya kwenye Audi ila ndugu yetu Umughaka kaiwasha tena usiku kucha[emoji28][emoji28]
 
🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆Weeeh me ningezima
 
Umughaka,unalisha majini ya mpemba[emoji23][emoji23]
 
Jamaa simuamini kama atafanya hii kazi ya ally mpemba vizuri bila kuharibu.. yaani nmepoteza hadi amani hapa nilipo..

Nahisi ataharibu then Sisi wote humu jf tuonekane hatuna maana.

Jamaa haaminiki huyu kapewa maelekezo ya kufungua na kufunga chumba ashakuwa mwenyeji na TV anawasha anaangalia, haya kaelezwa awe analala kwenye Aud4 yeye kajiongeza anawasha na AC usiku kucha yaani kila sehemu huwa lazima aharibu mambo.
 
Balaaa Stori inazidi kunoga, Ally Mpemba anafuga jini
 
Jamaa haaminiki huyu kapewa maelekezo ya kufungua na kufunga chumba ashakua mwenyeji na tv anawasha anaangalia, haya kaelezwa awe analala kwenye Aud4 yeye kajiongeza anawasha na AC usiku kucha yaani kila sehemu hua lazima aharibu mambo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…