Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Weee Umughaka ukute Ally mpemba haangaliagi hio tv wee kukurukukuru kuiwasha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Au kuna siku maalumu za kuwasha hio Tv[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!

Deeeejjjjaayyy mletee Umughakaaaa[emoji126][emoji126][emoji126]
Ally mpemba hajawahi kuwasha AC ya kwenye Audi ila ndugu yetu Umughaka kaiwasha tena usiku kucha[emoji28][emoji28]
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 12.




Alinikabidhi rasmi funguo wa ile nyumba pamoja kiasi cha Tsh 140,000/= ikiwa na maana ya kwamba kila siku nitakapokuwa hapo nyumbani kwake,basi itanipasa kutumia elfu 20 kwa ajili ya chakula cha usiku,aliniambia sipaswi kabisa kurudi nyumbani kwa muda huo atakao kuwa ametoka.Kabla hajaondoka alinionyesha gari miongoni mwa magari mawili mapya yaliyokuwa yamepaki pale ndani ya fensi.

Kulikuwa na magari mawili mapya,moja lilikuwa Audi A4 nyeusi isiyokuwa na Number Plate na nyingine ilikuwa ni Mercedes benz C63 nyeupe,hii pia haikuwa na Number Plate,hizi gari zite zilikuwa na mpya kabisa.Jamaa aliniambia mimi ninapaswa kuwa nalala kwenye Audi A4.

Baada ya yale maelekezo huku akionyesha uaminifu mkubwa kwangu Ally Mpemba alisafiri kuelekea huko Unguja kama alivyokuwa ameniambia hapo awali.Baada ya jamaa kuondoka,mimi niliendelea na shughuli zangu za usajili wa line kama kawaida na ilipofika mida ya saa 12 jioni niliondoka zangu kupanda gari kuelekea nyumbani kwa Ally Mpemba.

Nilifanikiwa kufika nyumbani kwa Ally Mpemba kabla ya saa moja,nilisukuma geti nikaingia ndani kisha nikalirudishia,sasa nilisogea moja kwa moja hadi kwenye mlango mkubwa wa kuingilia ndani,nilifungua ule mlango na kuzama ndani,nilipofika ndani nilianza kuikagua ile nyumba lakini vyumba vyote nilikuta vimefungwa na yawezekana funguo atakuwa alikuwa ameondoka nazo au aliziweka mahali,chumba ambacho nilikuwa na funguo zake ni kile alichonipa kazi ya kukifungua na kukifunga!.Ile nyumba ilikuwa ni kubwa na ilikuwa niya kifahari,ulikuwa ukiingia ndani kulikuwa na nakshinakshi za gharama kubwa(Nadhani nyumba za waarabu au wahindi huwa mnaelewa zinavyokuwaga).

Ile nyumba ulikuwa ukiiangalia kwa nje ilionekana ya kawaida tu ila kwa ndani ilikuwa nzuri sana na usingeamini kama pale anaishi mtu mmoja.

Ilipofika mida ya saa 1 usiku nilienda mpaka kwenye kile chumba nikakifungua na kiukweli sikuweza kuvumilia ilibidi nisogeze shingo karibu na mlango,niliwasha taa kutazama ndani,nilipotazama ndani nilikuta kuna kitanda ambacho kilikuwa kimetandikwa kwa unadhifu wa hali ya juu,pia kulikuwa na makabati ya nguo pamoja na vitu vingine vya kawaida ambavyo huwa vinapatikana vyumbani.Niendelea kutazama kwa makini lakini hakukuwa na mtu wala,sasa niliamua kuondoka mle chumbani na nilikiacha wazi kama alivyokuwa ameniambia Ally.

Niliwasha taa za nje ya ile nyumba kisha nikafunga mlango,niliondoka zangu usiku ule kuelekea kutafuta chakula ili nile nirudi kulala kama kawaida kwenye gari ambalo Ally Mpemba aliniambia ninapaswa kulitumia kama kitanda.Baada ya kupata chakula,niliamua kurudi kwenda kulala ili asubuhi na mapema niamke niende kukifunga kile chumba,kiukweli sikutaka kumuangusha Ally Mpemba na nilitaka aniamini ili kama kuna mambo makubwa zaidi anionyeshe ili na mimi niweze kufanikiwa.

Wakati natoka kupata msosi ilikuwa mida ya saa 3,sasa nikaona niingie kwenye gari niweze kulala,kwakuwa funguo ya gari alikuwa ameniachia,nilipoingia kwenye gari niliwasha AC ili niendelee kupata kiyoyozi huku nikiutafuta usingizi,nilishusha kiti cha dereva kwa kurudi nyuma kisha nikaanza kuusaka usingizi,sasa wakati nikiwa nimepitiwa na usingizi nilishitushwa ghafla na mlio wa vitu vikiwa vinatupwa mle ndani kwenye nyumba ya Ally Mpemba.

Niliamka na taratibu na kutega sikio kwa makini ili nijiridhishe yawezekana nilisikia vibaya,ile sauti iliendelea na ndipo nikatelemka kwenye ile gari nikaelekea mlangoni kutega sikio vizuri,nilipofika pale mlangoni niliendelea kusikia glass,sufuria za kupikia pamoja na vyombo vingine vikitupwa chini kama vile kulikuwa na watu wanapigana,kiukweli niliingiwa na hali ya hofu sana ikabidi nirudi kwenye gari.Nilichukua simu nikawa namtafuta Ally Mpemba lakini simu yake haikupazikana,niliendelea kumtafuta sana lakini simu yake haikupatikana,sasa niliamua nikae kwenye gari nisitoke hadi asubuhi,muda huo ilikuwa yapata saa 7 usiku,sasa ile hali ya kutupa vitu iliendelea hadi ilipotimu mida ya saa 10 usiku,kiukweli sikupata usingizi hata kidogo na nilikuwa najiuliza kulikuwa na kitu gani mle ndani hadi vyombo kupigizwa kiasi kile,japo nilikuwa jasiri katika mambo mengi ambayo niliwahi kuyapitia lakini kwa mara ya kwanza ile hali ilinitisha sana.

Iilipofika mida ya 12 :00 nilienda kufungua ule mlango kwa umakini mkubwa kisha nikaingia ndani,nilipoingia ndani nikawasha taa ili niweze kutazama vizuri kwasababu kulikuwa bado na giza,sasa ile nimewasha taa na kutazama vizuri,nilikuta uaribifu wa kiwango cha juu sana,kiukweli nimepitia mambo mengi ya kutisha na kushangaza lakini lile tukio lilikuwa ni moja ya matukio yaliyonishangaza sana kwa ile siku.

Nilikuta vyombo vimepigizwa chini kila mahali,glass zilikuwa zimevunjwa vunjwa pale sebuleni hadi jikoni kulikuwa hakutamaniki,kiukweli sikuweza kufahamu ni kitu gani kilikuwa kimefanya uaharibifu kiasi kile.Nilisogea hadi kwenye kile chumba na safari hii sikutaka kabisa kichungulia ndani ilibidi nikifinge haraka.

Baada ya kufunga kile chumba nilitoka nje nikafunga mlango kisha nikarudi kwenye gari kwanza kutulia,kiukweli nilikuwa nina maswali mengi sana ambayo nilikuwa najiuliza lakini sikuwa na majibu.Nilikaa kwenye ile gari hadi mida ya saa 2 asubuhi ndipo nikatoka nikaelekea kwenye bomba kunawa uso na kusukutua maji mdomoni na baada ya hapo nikafunga geti nikaondoka zangu kuelekea ofisini Buguruni kwenye kikao.Kikao kilivyoisha nikaondoka kuelekea Kkoo kazini kama kawaida.

Kwa muda huo yule dada yake na Ally Mpemba aliyekuwa akiitwa Farah hakuwahi kujua kabisa kwa wakati huo kama mimi na Ally tulikuwa tumeshibana kiasi kwamba mpaka Ally kuniachia funguo za nyumba yake,sasa wakati Ally ameondoka,ile Range ilikuwa imepaki nyumbani kwake.

Ilipofika mida ya saa 5 asubuhi simu yangu ikawa inaita na nilipoitazama alikuwa ni Ally akinipigia,niliipokea ile simu kisha akawa ananiuliza maendeleo tangu alipoondoka.

Ally Mpemba "Unaendelea vema lakini wewe?"

Mimi "Kaka naendelea vema lakini jana kuna jambo limetokea pale kwako!"

Ally Mpemba "Usiniambie umefanya ambacho sikukuelekeza"

Mimi "Hapana kaka siyo hivyo"

Ally Mpemba "Mmmh ni nin!,ama umeshindwa nilichokwambia?"


Mimi "Kaka jana wakati nimelala kwenye gari nilikuwa nasikia vitu vinatupwa chini na glass kuvunjwa,nilipoingia ndani asubuhi wakati naenda kufunga mlango nikakuta vyombo vimetapakaa sebuleni hadi Jikoni kaka"

Ally Mpemba "Mtumeeeee!"

Aliendelea "Hiyo TV haijavunjwa kweli?"

Mimi "Hapana kaka,samani za ndani ziko vizuri,vyombo vyote ndo vimetapakaa ndani?"

Ally Mpemba "Umefunga mlango?"

Mimi "Ndiyo kaka nimefunga kama ulivyoniambia"

Ally Mpemba "Vyombo je umevipanga?"

Mimi "Hapana kaka sijagusa kitu maana hukunipa maelekezo mengine zaidi ya yale ya juzi"

Ally Mpemba "Bado uko hapo nyumbani?"

Mimi "Hapana kaka mimi nipo Kkoo"

Ally Mpemba "Ok nakuomba niuazime muda wako master na nitakufidia nikirudi,nakuomba uende sokoni ukanunue kabeji kubwa tano,nunua na mboga za majani kisha nenda nyumbani uingie jikoni ufungue kabati lililoko karibu na friji kwa chini utakuta kitambaa cheupe,hicho kitambaa katandike pale sebuleni juu la ile meza ya kioo na kisha weka hayo mahitaji utakayokuwa umenunua!"

Mimi "Sawa kaka hakuna tatizo"

Ally Mpemba "Nilisahau kukwambia nilivyoondoka,nisamehe sana kaka"

Mimi "Usijali kaka,hizo mboga za majani ni aina gani?"

Ally Mpemba "Nunua zozote kaka ila ziwe za kutosha"

Mimi "Sawa kaka usijali"

Ally Mpemba "Farah hajakuuliza kitu kuhusu mimi?"

Mimi "Hapana kaka,kwanza huwa sinaga stori na mtu kaka mwenyewe unanijua"

Ally Mpemba "Nitakulipa mambo makubwa master kwani wewe ni muaminifu sana,nashukuru sana kwa kuwa muaminifu kwangu?"

Mimi "Usijali kaka!"

Ally Mpemba "Ngoja nimpigie simu Farah kuna hela nimwambie akupe halafu mimi nitamrudishia"

Mimi "Sawa"

Niliamua kufunga na kurudisha meza kule ambapo mara zote nimekuwa nikihifahdi ninapomaliza kazi,sasa nikiwa njiani napeleka kuhifadhi vifaa vyangu vya kazi,Ally Mpemba alinipigia simu.

Ally Mpemba "Nimemwambia Farah akupe elfu 50,itumie hiyo kununua mahitaji hayo niliyokwambia"

Mimi "Sawa kaka Usijali"

Nilirudi hadi kwa Aunt Farah kuchukua kile kiasi cha fedha kisha nikaondoka kuelekea kununua yale mahitaji aliyokuwa ameniambia Ally Mpemba,baada ya kununua mahitaji yote muhimu kama alivyokuwa amenielekeza,nilipanda gari kuelekea Magomeni ambako ndiko alikokuwa akiishi Ally Mpemba,nilipofika nilianza kukusanya vyombo vyote vilivyokuwa chini na vile ambavyo vilikuwa vimepasuka niliamua kuvikusanya na kuviweka kwenye dust bin kule jikoni.

Baada ya kumaliza lile zoezi la kusafisha mle ndani,niliingia jikoni nikafungua ile kabati aliyokuwa amenielekeza jamaa kisha nikatoa kitamabaa cheupe nikaenda kukitandika kwenye ile meza kama alivyokuwa amenielekeza,nilipomaliza kukitandika kile kitambaa nilichukua zile kabeji kubwa 5 pamoja na yale mafungu ya mboga za majani nakiyaweka pale mezani,mboga za majani nilinunua za kutosha na nilinunua na aina karibia zote kasoro matembele!.

Baada ya kumaliza lile zoezi kwa kuwa ilikuwa mapema,niliondoka kuelekea Gongo la Mboto kuoga na kubadili nguo,nilipofika niliamua kulala kabisa kwasababu nilikuwa nina usingizi wa kufa mtu.
Ilipofika mida ya saa 11 jioni niliamua kuondoka kutembea mdogo mdogo hadi stendi ya Gongo la Mboto kisha nikapanda gari za Masaki ili nikashukie Magomeni kisha nielekea kwa Ally Mpemba.

Nilipofika nilifungua mlango nikaingia hadi ndani,sasa kwakuwa muda wa kufungua ule mlango ulikuwa bado kidogo,niliona niwashe Luninga ili niendelee kupoteza muda,sasa wakati nikiwa natazama luninga,kule kwenye kile chumba nikawa nasikia sauti yenye mtetemo.


Itaendelea........
🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆Weeeh me ningezima
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 12.




Alinikabidhi rasmi funguo wa ile nyumba pamoja kiasi cha Tsh 140,000/= ikiwa na maana ya kwamba kila siku nitakapokuwa hapo nyumbani kwake,basi itanipasa kutumia elfu 20 kwa ajili ya chakula cha usiku,aliniambia sipaswi kabisa kurudi nyumbani kwa muda huo atakao kuwa ametoka.Kabla hajaondoka alinionyesha gari miongoni mwa magari mawili mapya yaliyokuwa yamepaki pale ndani ya fensi.

Kulikuwa na magari mawili mapya,moja lilikuwa Audi A4 nyeusi isiyokuwa na Number Plate na nyingine ilikuwa ni Mercedes benz C63 nyeupe,hii pia haikuwa na Number Plate,hizi gari zite zilikuwa na mpya kabisa.Jamaa aliniambia mimi ninapaswa kuwa nalala kwenye Audi A4.

Baada ya yale maelekezo huku akionyesha uaminifu mkubwa kwangu Ally Mpemba alisafiri kuelekea huko Unguja kama alivyokuwa ameniambia hapo awali.Baada ya jamaa kuondoka,mimi niliendelea na shughuli zangu za usajili wa line kama kawaida na ilipofika mida ya saa 12 jioni niliondoka zangu kupanda gari kuelekea nyumbani kwa Ally Mpemba.

Nilifanikiwa kufika nyumbani kwa Ally Mpemba kabla ya saa moja,nilisukuma geti nikaingia ndani kisha nikalirudishia,sasa nilisogea moja kwa moja hadi kwenye mlango mkubwa wa kuingilia ndani,nilifungua ule mlango na kuzama ndani,nilipofika ndani nilianza kuikagua ile nyumba lakini vyumba vyote nilikuta vimefungwa na yawezekana funguo atakuwa alikuwa ameondoka nazo au aliziweka mahali,chumba ambacho nilikuwa na funguo zake ni kile alichonipa kazi ya kukifungua na kukifunga!.Ile nyumba ilikuwa ni kubwa na ilikuwa niya kifahari,ulikuwa ukiingia ndani kulikuwa na nakshinakshi za gharama kubwa(Nadhani nyumba za waarabu au wahindi huwa mnaelewa zinavyokuwaga).

Ile nyumba ulikuwa ukiiangalia kwa nje ilionekana ya kawaida tu ila kwa ndani ilikuwa nzuri sana na usingeamini kama pale anaishi mtu mmoja.

Ilipofika mida ya saa 1 usiku nilienda mpaka kwenye kile chumba nikakifungua na kiukweli sikuweza kuvumilia ilibidi nisogeze shingo karibu na mlango,niliwasha taa kutazama ndani,nilipotazama ndani nilikuta kuna kitanda ambacho kilikuwa kimetandikwa kwa unadhifu wa hali ya juu,pia kulikuwa na makabati ya nguo pamoja na vitu vingine vya kawaida ambavyo huwa vinapatikana vyumbani.Niendelea kutazama kwa makini lakini hakukuwa na mtu wala,sasa niliamua kuondoka mle chumbani na nilikiacha wazi kama alivyokuwa ameniambia Ally.

Niliwasha taa za nje ya ile nyumba kisha nikafunga mlango,niliondoka zangu usiku ule kuelekea kutafuta chakula ili nile nirudi kulala kama kawaida kwenye gari ambalo Ally Mpemba aliniambia ninapaswa kulitumia kama kitanda.Baada ya kupata chakula,niliamua kurudi kwenda kulala ili asubuhi na mapema niamke niende kukifunga kile chumba,kiukweli sikutaka kumuangusha Ally Mpemba na nilitaka aniamini ili kama kuna mambo makubwa zaidi anionyeshe ili na mimi niweze kufanikiwa.

Wakati natoka kupata msosi ilikuwa mida ya saa 3,sasa nikaona niingie kwenye gari niweze kulala,kwakuwa funguo ya gari alikuwa ameniachia,nilipoingia kwenye gari niliwasha AC ili niendelee kupata kiyoyozi huku nikiutafuta usingizi,nilishusha kiti cha dereva kwa kurudi nyuma kisha nikaanza kuusaka usingizi,sasa wakati nikiwa nimepitiwa na usingizi nilishitushwa ghafla na mlio wa vitu vikiwa vinatupwa mle ndani kwenye nyumba ya Ally Mpemba.

Niliamka na taratibu na kutega sikio kwa makini ili nijiridhishe yawezekana nilisikia vibaya,ile sauti iliendelea na ndipo nikatelemka kwenye ile gari nikaelekea mlangoni kutega sikio vizuri,nilipofika pale mlangoni niliendelea kusikia glass,sufuria za kupikia pamoja na vyombo vingine vikitupwa chini kama vile kulikuwa na watu wanapigana,kiukweli niliingiwa na hali ya hofu sana ikabidi nirudi kwenye gari.Nilichukua simu nikawa namtafuta Ally Mpemba lakini simu yake haikupazikana,niliendelea kumtafuta sana lakini simu yake haikupatikana,sasa niliamua nikae kwenye gari nisitoke hadi asubuhi,muda huo ilikuwa yapata saa 7 usiku,sasa ile hali ya kutupa vitu iliendelea hadi ilipotimu mida ya saa 10 usiku,kiukweli sikupata usingizi hata kidogo na nilikuwa najiuliza kulikuwa na kitu gani mle ndani hadi vyombo kupigizwa kiasi kile,japo nilikuwa jasiri katika mambo mengi ambayo niliwahi kuyapitia lakini kwa mara ya kwanza ile hali ilinitisha sana.

Iilipofika mida ya 12 :00 nilienda kufungua ule mlango kwa umakini mkubwa kisha nikaingia ndani,nilipoingia ndani nikawasha taa ili niweze kutazama vizuri kwasababu kulikuwa bado na giza,sasa ile nimewasha taa na kutazama vizuri,nilikuta uaribifu wa kiwango cha juu sana,kiukweli nimepitia mambo mengi ya kutisha na kushangaza lakini lile tukio lilikuwa ni moja ya matukio yaliyonishangaza sana kwa ile siku.

Nilikuta vyombo vimepigizwa chini kila mahali,glass zilikuwa zimevunjwa vunjwa pale sebuleni hadi jikoni kulikuwa hakutamaniki,kiukweli sikuweza kufahamu ni kitu gani kilikuwa kimefanya uaharibifu kiasi kile.Nilisogea hadi kwenye kile chumba na safari hii sikutaka kabisa kichungulia ndani ilibidi nikifinge haraka.

Baada ya kufunga kile chumba nilitoka nje nikafunga mlango kisha nikarudi kwenye gari kwanza kutulia,kiukweli nilikuwa nina maswali mengi sana ambayo nilikuwa najiuliza lakini sikuwa na majibu.Nilikaa kwenye ile gari hadi mida ya saa 2 asubuhi ndipo nikatoka nikaelekea kwenye bomba kunawa uso na kusukutua maji mdomoni na baada ya hapo nikafunga geti nikaondoka zangu kuelekea ofisini Buguruni kwenye kikao.Kikao kilivyoisha nikaondoka kuelekea Kkoo kazini kama kawaida.

Kwa muda huo yule dada yake na Ally Mpemba aliyekuwa akiitwa Farah hakuwahi kujua kabisa kwa wakati huo kama mimi na Ally tulikuwa tumeshibana kiasi kwamba mpaka Ally kuniachia funguo za nyumba yake,sasa wakati Ally ameondoka,ile Range ilikuwa imepaki nyumbani kwake.

Ilipofika mida ya saa 5 asubuhi simu yangu ikawa inaita na nilipoitazama alikuwa ni Ally akinipigia,niliipokea ile simu kisha akawa ananiuliza maendeleo tangu alipoondoka.

Ally Mpemba "Unaendelea vema lakini wewe?"

Mimi "Kaka naendelea vema lakini jana kuna jambo limetokea pale kwako!"

Ally Mpemba "Usiniambie umefanya ambacho sikukuelekeza"

Mimi "Hapana kaka siyo hivyo"

Ally Mpemba "Mmmh ni nin!,ama umeshindwa nilichokwambia?"


Mimi "Kaka jana wakati nimelala kwenye gari nilikuwa nasikia vitu vinatupwa chini na glass kuvunjwa,nilipoingia ndani asubuhi wakati naenda kufunga mlango nikakuta vyombo vimetapakaa sebuleni hadi Jikoni kaka"

Ally Mpemba "Mtumeeeee!"

Aliendelea "Hiyo TV haijavunjwa kweli?"

Mimi "Hapana kaka,samani za ndani ziko vizuri,vyombo vyote ndo vimetapakaa ndani?"

Ally Mpemba "Umefunga mlango?"

Mimi "Ndiyo kaka nimefunga kama ulivyoniambia"

Ally Mpemba "Vyombo je umevipanga?"

Mimi "Hapana kaka sijagusa kitu maana hukunipa maelekezo mengine zaidi ya yale ya juzi"

Ally Mpemba "Bado uko hapo nyumbani?"

Mimi "Hapana kaka mimi nipo Kkoo"

Ally Mpemba "Ok nakuomba niuazime muda wako master na nitakufidia nikirudi,nakuomba uende sokoni ukanunue kabeji kubwa tano,nunua na mboga za majani kisha nenda nyumbani uingie jikoni ufungue kabati lililoko karibu na friji kwa chini utakuta kitambaa cheupe,hicho kitambaa katandike pale sebuleni juu la ile meza ya kioo na kisha weka hayo mahitaji utakayokuwa umenunua!"

Mimi "Sawa kaka hakuna tatizo"

Ally Mpemba "Nilisahau kukwambia nilivyoondoka,nisamehe sana kaka"

Mimi "Usijali kaka,hizo mboga za majani ni aina gani?"

Ally Mpemba "Nunua zozote kaka ila ziwe za kutosha"

Mimi "Sawa kaka usijali"

Ally Mpemba "Farah hajakuuliza kitu kuhusu mimi?"

Mimi "Hapana kaka,kwanza huwa sinaga stori na mtu kaka mwenyewe unanijua"

Ally Mpemba "Nitakulipa mambo makubwa master kwani wewe ni muaminifu sana,nashukuru sana kwa kuwa muaminifu kwangu?"

Mimi "Usijali kaka!"

Ally Mpemba "Ngoja nimpigie simu Farah kuna hela nimwambie akupe halafu mimi nitamrudishia"

Mimi "Sawa"

Niliamua kufunga na kurudisha meza kule ambapo mara zote nimekuwa nikihifahdi ninapomaliza kazi,sasa nikiwa njiani napeleka kuhifadhi vifaa vyangu vya kazi,Ally Mpemba alinipigia simu.

Ally Mpemba "Nimemwambia Farah akupe elfu 50,itumie hiyo kununua mahitaji hayo niliyokwambia"

Mimi "Sawa kaka Usijali"

Nilirudi hadi kwa Aunt Farah kuchukua kile kiasi cha fedha kisha nikaondoka kuelekea kununua yale mahitaji aliyokuwa ameniambia Ally Mpemba,baada ya kununua mahitaji yote muhimu kama alivyokuwa amenielekeza,nilipanda gari kuelekea Magomeni ambako ndiko alikokuwa akiishi Ally Mpemba,nilipofika nilianza kukusanya vyombo vyote vilivyokuwa chini na vile ambavyo vilikuwa vimepasuka niliamua kuvikusanya na kuviweka kwenye dust bin kule jikoni.

Baada ya kumaliza lile zoezi la kusafisha mle ndani,niliingia jikoni nikafungua ile kabati aliyokuwa amenielekeza jamaa kisha nikatoa kitamabaa cheupe nikaenda kukitandika kwenye ile meza kama alivyokuwa amenielekeza,nilipomaliza kukitandika kile kitambaa nilichukua zile kabeji kubwa 5 pamoja na yale mafungu ya mboga za majani nakiyaweka pale mezani,mboga za majani nilinunua za kutosha na nilinunua na aina karibia zote kasoro matembele!.

Baada ya kumaliza lile zoezi kwa kuwa ilikuwa mapema,niliondoka kuelekea Gongo la Mboto kuoga na kubadili nguo,nilipofika niliamua kulala kabisa kwasababu nilikuwa nina usingizi wa kufa mtu.
Ilipofika mida ya saa 11 jioni niliamua kuondoka kutembea mdogo mdogo hadi stendi ya Gongo la Mboto kisha nikapanda gari za Masaki ili nikashukie Magomeni kisha nielekea kwa Ally Mpemba.

Nilipofika nilifungua mlango nikaingia hadi ndani,sasa kwakuwa muda wa kufungua ule mlango ulikuwa bado kidogo,niliona niwashe Luninga ili niendelee kupoteza muda,sasa wakati nikiwa natazama luninga,kule kwenye kile chumba nikawa nasikia sauti yenye mtetemo.


Itaendelea........
Umughaka,unalisha majini ya mpemba[emoji23][emoji23]
 
Jamaa simuamini kama atafanya hii kazi ya ally mpemba vizuri bila kuharibu.. yaani nmepoteza hadi amani hapa nilipo..

Nahisi ataharibu then Sisi wote humu jf tuonekane hatuna maana.

Jamaa haaminiki huyu kapewa maelekezo ya kufungua na kufunga chumba ashakuwa mwenyeji na TV anawasha anaangalia, haya kaelezwa awe analala kwenye Aud4 yeye kajiongeza anawasha na AC usiku kucha yaani kila sehemu huwa lazima aharibu mambo.
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 12.




Alinikabidhi rasmi funguo wa ile nyumba pamoja kiasi cha Tsh 140,000/= ikiwa na maana ya kwamba kila siku nitakapokuwa hapo nyumbani kwake,basi itanipasa kutumia elfu 20 kwa ajili ya chakula cha usiku,aliniambia sipaswi kabisa kurudi nyumbani kwa muda huo atakao kuwa ametoka.Kabla hajaondoka alinionyesha gari miongoni mwa magari mawili mapya yaliyokuwa yamepaki pale ndani ya fensi.

Kulikuwa na magari mawili mapya,moja lilikuwa Audi A4 nyeusi isiyokuwa na Number Plate na nyingine ilikuwa ni Mercedes benz C63 nyeupe,hii pia haikuwa na Number Plate,hizi gari zite zilikuwa na mpya kabisa.Jamaa aliniambia mimi ninapaswa kuwa nalala kwenye Audi A4.

Baada ya yale maelekezo huku akionyesha uaminifu mkubwa kwangu Ally Mpemba alisafiri kuelekea huko Unguja kama alivyokuwa ameniambia hapo awali.Baada ya jamaa kuondoka,mimi niliendelea na shughuli zangu za usajili wa line kama kawaida na ilipofika mida ya saa 12 jioni niliondoka zangu kupanda gari kuelekea nyumbani kwa Ally Mpemba.

Nilifanikiwa kufika nyumbani kwa Ally Mpemba kabla ya saa moja,nilisukuma geti nikaingia ndani kisha nikalirudishia,sasa nilisogea moja kwa moja hadi kwenye mlango mkubwa wa kuingilia ndani,nilifungua ule mlango na kuzama ndani,nilipofika ndani nilianza kuikagua ile nyumba lakini vyumba vyote nilikuta vimefungwa na yawezekana funguo atakuwa alikuwa ameondoka nazo au aliziweka mahali,chumba ambacho nilikuwa na funguo zake ni kile alichonipa kazi ya kukifungua na kukifunga!.Ile nyumba ilikuwa ni kubwa na ilikuwa niya kifahari,ulikuwa ukiingia ndani kulikuwa na nakshinakshi za gharama kubwa(Nadhani nyumba za waarabu au wahindi huwa mnaelewa zinavyokuwaga).

Ile nyumba ulikuwa ukiiangalia kwa nje ilionekana ya kawaida tu ila kwa ndani ilikuwa nzuri sana na usingeamini kama pale anaishi mtu mmoja.

Ilipofika mida ya saa 1 usiku nilienda mpaka kwenye kile chumba nikakifungua na kiukweli sikuweza kuvumilia ilibidi nisogeze shingo karibu na mlango,niliwasha taa kutazama ndani,nilipotazama ndani nilikuta kuna kitanda ambacho kilikuwa kimetandikwa kwa unadhifu wa hali ya juu,pia kulikuwa na makabati ya nguo pamoja na vitu vingine vya kawaida ambavyo huwa vinapatikana vyumbani.Niendelea kutazama kwa makini lakini hakukuwa na mtu wala,sasa niliamua kuondoka mle chumbani na nilikiacha wazi kama alivyokuwa ameniambia Ally.

Niliwasha taa za nje ya ile nyumba kisha nikafunga mlango,niliondoka zangu usiku ule kuelekea kutafuta chakula ili nile nirudi kulala kama kawaida kwenye gari ambalo Ally Mpemba aliniambia ninapaswa kulitumia kama kitanda.Baada ya kupata chakula,niliamua kurudi kwenda kulala ili asubuhi na mapema niamke niende kukifunga kile chumba,kiukweli sikutaka kumuangusha Ally Mpemba na nilitaka aniamini ili kama kuna mambo makubwa zaidi anionyeshe ili na mimi niweze kufanikiwa.

Wakati natoka kupata msosi ilikuwa mida ya saa 3,sasa nikaona niingie kwenye gari niweze kulala,kwakuwa funguo ya gari alikuwa ameniachia,nilipoingia kwenye gari niliwasha AC ili niendelee kupata kiyoyozi huku nikiutafuta usingizi,nilishusha kiti cha dereva kwa kurudi nyuma kisha nikaanza kuusaka usingizi,sasa wakati nikiwa nimepitiwa na usingizi nilishitushwa ghafla na mlio wa vitu vikiwa vinatupwa mle ndani kwenye nyumba ya Ally Mpemba.

Niliamka na taratibu na kutega sikio kwa makini ili nijiridhishe yawezekana nilisikia vibaya,ile sauti iliendelea na ndipo nikatelemka kwenye ile gari nikaelekea mlangoni kutega sikio vizuri,nilipofika pale mlangoni niliendelea kusikia glass,sufuria za kupikia pamoja na vyombo vingine vikitupwa chini kama vile kulikuwa na watu wanapigana,kiukweli niliingiwa na hali ya hofu sana ikabidi nirudi kwenye gari.Nilichukua simu nikawa namtafuta Ally Mpemba lakini simu yake haikupazikana,niliendelea kumtafuta sana lakini simu yake haikupatikana,sasa niliamua nikae kwenye gari nisitoke hadi asubuhi,muda huo ilikuwa yapata saa 7 usiku,sasa ile hali ya kutupa vitu iliendelea hadi ilipotimu mida ya saa 10 usiku,kiukweli sikupata usingizi hata kidogo na nilikuwa najiuliza kulikuwa na kitu gani mle ndani hadi vyombo kupigizwa kiasi kile,japo nilikuwa jasiri katika mambo mengi ambayo niliwahi kuyapitia lakini kwa mara ya kwanza ile hali ilinitisha sana.

Iilipofika mida ya 12 :00 nilienda kufungua ule mlango kwa umakini mkubwa kisha nikaingia ndani,nilipoingia ndani nikawasha taa ili niweze kutazama vizuri kwasababu kulikuwa bado na giza,sasa ile nimewasha taa na kutazama vizuri,nilikuta uaribifu wa kiwango cha juu sana,kiukweli nimepitia mambo mengi ya kutisha na kushangaza lakini lile tukio lilikuwa ni moja ya matukio yaliyonishangaza sana kwa ile siku.

Nilikuta vyombo vimepigizwa chini kila mahali,glass zilikuwa zimevunjwa vunjwa pale sebuleni hadi jikoni kulikuwa hakutamaniki,kiukweli sikuweza kufahamu ni kitu gani kilikuwa kimefanya uaharibifu kiasi kile.Nilisogea hadi kwenye kile chumba na safari hii sikutaka kabisa kichungulia ndani ilibidi nikifinge haraka.

Baada ya kufunga kile chumba nilitoka nje nikafunga mlango kisha nikarudi kwenye gari kwanza kutulia,kiukweli nilikuwa nina maswali mengi sana ambayo nilikuwa najiuliza lakini sikuwa na majibu.Nilikaa kwenye ile gari hadi mida ya saa 2 asubuhi ndipo nikatoka nikaelekea kwenye bomba kunawa uso na kusukutua maji mdomoni na baada ya hapo nikafunga geti nikaondoka zangu kuelekea ofisini Buguruni kwenye kikao.Kikao kilivyoisha nikaondoka kuelekea Kkoo kazini kama kawaida.

Kwa muda huo yule dada yake na Ally Mpemba aliyekuwa akiitwa Farah hakuwahi kujua kabisa kwa wakati huo kama mimi na Ally tulikuwa tumeshibana kiasi kwamba mpaka Ally kuniachia funguo za nyumba yake,sasa wakati Ally ameondoka,ile Range ilikuwa imepaki nyumbani kwake.

Ilipofika mida ya saa 5 asubuhi simu yangu ikawa inaita na nilipoitazama alikuwa ni Ally akinipigia,niliipokea ile simu kisha akawa ananiuliza maendeleo tangu alipoondoka.

Ally Mpemba "Unaendelea vema lakini wewe?"

Mimi "Kaka naendelea vema lakini jana kuna jambo limetokea pale kwako!"

Ally Mpemba "Usiniambie umefanya ambacho sikukuelekeza"

Mimi "Hapana kaka siyo hivyo"

Ally Mpemba "Mmmh ni nin!,ama umeshindwa nilichokwambia?"


Mimi "Kaka jana wakati nimelala kwenye gari nilikuwa nasikia vitu vinatupwa chini na glass kuvunjwa,nilipoingia ndani asubuhi wakati naenda kufunga mlango nikakuta vyombo vimetapakaa sebuleni hadi Jikoni kaka"

Ally Mpemba "Mtumeeeee!"

Aliendelea "Hiyo TV haijavunjwa kweli?"

Mimi "Hapana kaka,samani za ndani ziko vizuri,vyombo vyote ndo vimetapakaa ndani?"

Ally Mpemba "Umefunga mlango?"

Mimi "Ndiyo kaka nimefunga kama ulivyoniambia"

Ally Mpemba "Vyombo je umevipanga?"

Mimi "Hapana kaka sijagusa kitu maana hukunipa maelekezo mengine zaidi ya yale ya juzi"

Ally Mpemba "Bado uko hapo nyumbani?"

Mimi "Hapana kaka mimi nipo Kkoo"

Ally Mpemba "Ok nakuomba niuazime muda wako master na nitakufidia nikirudi,nakuomba uende sokoni ukanunue kabeji kubwa tano,nunua na mboga za majani kisha nenda nyumbani uingie jikoni ufungue kabati lililoko karibu na friji kwa chini utakuta kitambaa cheupe,hicho kitambaa katandike pale sebuleni juu la ile meza ya kioo na kisha weka hayo mahitaji utakayokuwa umenunua!"

Mimi "Sawa kaka hakuna tatizo"

Ally Mpemba "Nilisahau kukwambia nilivyoondoka,nisamehe sana kaka"

Mimi "Usijali kaka,hizo mboga za majani ni aina gani?"

Ally Mpemba "Nunua zozote kaka ila ziwe za kutosha"

Mimi "Sawa kaka usijali"

Ally Mpemba "Farah hajakuuliza kitu kuhusu mimi?"

Mimi "Hapana kaka,kwanza huwa sinaga stori na mtu kaka mwenyewe unanijua"

Ally Mpemba "Nitakulipa mambo makubwa master kwani wewe ni muaminifu sana,nashukuru sana kwa kuwa muaminifu kwangu?"

Mimi "Usijali kaka!"

Ally Mpemba "Ngoja nimpigie simu Farah kuna hela nimwambie akupe halafu mimi nitamrudishia"

Mimi "Sawa"

Niliamua kufunga na kurudisha meza kule ambapo mara zote nimekuwa nikihifahdi ninapomaliza kazi,sasa nikiwa njiani napeleka kuhifadhi vifaa vyangu vya kazi,Ally Mpemba alinipigia simu.

Ally Mpemba "Nimemwambia Farah akupe elfu 50,itumie hiyo kununua mahitaji hayo niliyokwambia"

Mimi "Sawa kaka Usijali"

Nilirudi hadi kwa Aunt Farah kuchukua kile kiasi cha fedha kisha nikaondoka kuelekea kununua yale mahitaji aliyokuwa ameniambia Ally Mpemba,baada ya kununua mahitaji yote muhimu kama alivyokuwa amenielekeza,nilipanda gari kuelekea Magomeni ambako ndiko alikokuwa akiishi Ally Mpemba,nilipofika nilianza kukusanya vyombo vyote vilivyokuwa chini na vile ambavyo vilikuwa vimepasuka niliamua kuvikusanya na kuviweka kwenye dust bin kule jikoni.

Baada ya kumaliza lile zoezi la kusafisha mle ndani,niliingia jikoni nikafungua ile kabati aliyokuwa amenielekeza jamaa kisha nikatoa kitamabaa cheupe nikaenda kukitandika kwenye ile meza kama alivyokuwa amenielekeza,nilipomaliza kukitandika kile kitambaa nilichukua zile kabeji kubwa 5 pamoja na yale mafungu ya mboga za majani nakiyaweka pale mezani,mboga za majani nilinunua za kutosha na nilinunua na aina karibia zote kasoro matembele!.

Baada ya kumaliza lile zoezi kwa kuwa ilikuwa mapema,niliondoka kuelekea Gongo la Mboto kuoga na kubadili nguo,nilipofika niliamua kulala kabisa kwasababu nilikuwa nina usingizi wa kufa mtu.
Ilipofika mida ya saa 11 jioni niliamua kuondoka kutembea mdogo mdogo hadi stendi ya Gongo la Mboto kisha nikapanda gari za Masaki ili nikashukie Magomeni kisha nielekea kwa Ally Mpemba.

Nilipofika nilifungua mlango nikaingia hadi ndani,sasa kwakuwa muda wa kufungua ule mlango ulikuwa bado kidogo,niliona niwashe Luninga ili niendelee kupoteza muda,sasa wakati nikiwa natazama luninga,kule kwenye kile chumba nikawa nasikia sauti yenye mtetemo.


Itaendelea........
Balaaa Stori inazidi kunoga, Ally Mpemba anafuga jini
 
Jamaa haaminiki huyu kapewa maelekezo ya kufungua na kufunga chumba ashakua mwenyeji na tv anawasha anaangalia, haya kaelezwa awe analala kwenye Aud4 yeye kajiongeza anawasha na AC usiku kucha yaani kila sehemu hua lazima aharibu mambo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom