Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ajabu sana aiseeMajini ya Mpemba ni vegetarians, yanagonga mbogamboga tu[emoji1787][emoji1787]
Kumbee Kuna ka ukweli kuwa jamaa Ni wafuga majini .na Kwan watu kila Kaya isifuge jini lake ili liweze kuondoa umaskini visiwani humoUmeona bora uokoe jahazi.[emoji38][emoji38]
Ila kwa wanzazibari hiyo hata hawatashangaa ni kama sehemu ya utamaduni tu kwao.
Unataka kusemaje pardon embu njoo kwa upyaJamaa simuamini kama atafanya hii kazi ya ally mpemba vizuri bila kuharibu.. yaani nmepoteza hadi amani hapa nilipo..
Nahisi ataharibu then Sisi wote humu jf tuonekane hatuna maana.
Ndio shidaa yake kila sehemu lazima atoe boko, Sasa mtu unaelekezwa funga na Kisha fungua saa fln wee unaenda kuangaika na tv na kuchungulia nyumba za watuJamaa haaminiki huyu kapewa maelekezo ya kufungua na kufunga chumba ashakua mwenyeji na tv anawasha anaangalia, haya kaelezwa awe analala kwenye Aud4 yeye kajiongeza anawasha na AC usiku kucha yaani kila sehemu hua lazima aharibu mambo.
Sio kila mtu anauwezo huo na hayo madude yanachagua watu na watu..Kumbee Kuna ka ukweli kuwa jamaa Ni wafuga majini .na Kwan watu kila Kaya isifuge jini lake ili liweze kuondoa umaskini visiwani humo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wee si kaka muarabu alikufuga na Kisha kukubadilishia jinsiaa unafanya nn humu au kwa vile muarabu mumeo katajwa Happ umekimbiambio mbioUncle mura UMUGHAKA umesema ulikaa kuangalia liTv la Ally Mpemba ndipo kelele zikaanza huko kwenye chumba cha misukule ambamo umesema kulikuwa na kitanda kilichotandikwa vizuri sana
Wapuuzi kumbee basi ngoja tumsikilize huyu kijan atakuja kuhitimisha VIP safar ya kulal siku tano kwa mtu mwenye majiniSio kila mtu anauwezo huo na hayo madude yanachagua watu na watu..
Na wapemba wengi ndio kazi zao hizo wanatembea hadi oman huko kwenda kufanya mishe hizo za madudu hayo
Mzee mbona Makasiriko hivyo? Tafuta hela makasiriko yataisha yenyewe...Wee si kaka muarabu alikufuga na Kisha kukubadilishia jinsiaa unafanya nn humu au kwa vile muarabu mumeo katajwa Happ umekimbiambio mbio
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hahaha sidhani mzee kama atatoboaNawaza jamaa atatoboa siku tano
HahahahahahahaaJamaa simuamini kama atafanya hii kazi ya ally mpemba vizuri bila kuharibu.. yaani nmepoteza hadi amani hapa nilipo..
Nahisi ataharibu then Sisi wote humu jf tuonekane hatuna maana.
Ndo nataka upambane nami sasa unifahamu maana tunawatafuta sana nyie watu wa hovyo.
Wewe ndio ulitorosha mtoto wa watu au unadhani sijui uchizi wakoNdo nataka upambane nami sasa unifahamu maana tunawatafuta sana nyie watu wa hovyo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hayo tuliyamaliza na yule demu.....usitake kunichafua.Wew ndio ulitorosha mtoto wa watu au unadhani sijui uchiz wako
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app