Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

YAANI MTU ANAFUGA MAJINI UONDOKE NA HELA YAKE!![emoji1][emoji1] HILO JINI LINALOTOA HARUFU KALI LINGEKUFATA MPAKA HUKO KWENU KYABAKARI.

"Kwa maana hata kama ningeondoka zangu kurudi Mwanza asingepata kwasababu ni mtu tu ambaye nilikutana nae kkoo na halikuwa hanijui kiundani wala haifahamu familia yangu"
 
Ndio akili zake Sasa alichokuwa anafikiria kusepa kirahis na pesa za majini " no gain without pain"

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hiki kipande mwili umesisimka kwa kwl ....pongezi kwako UMUGHAKA
 
Kwa hiyo umughaka Hana kazi za kufanya siku hz ? Hadi aje kukufurashisha ww na genge lako ,embu acha ujinga ridhika na hicho kipande Cha leo inatosha kbsa kwa [emoji753]
yaani we jamaa,imenibidi nicheke tu,yaani pamoja na watu kukutukana wala wewe uko peace tu,na unaendelea kukoment bila wasiwasi😂😂😂😂
 
Mhhhh niwe mkweli kabisa siku ya kwanza tu ningetoka nduki si nduki yani sielewi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…