Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Lile nataka kuanguka chini nilimuona kiumbe wa ajabu ananipita kwa kasi ya ajabu akiwa uchi kama alivyozaliwa akikimbilia sebuleni na kuanza kuyafakamia yale makabeji kwa spidi kali mno, nilipokuwa bado naendelea kushangaa na kuhamaki yeye hakuwa kabisa na muda na mimi.

What a confidence UMUGHAKA
 
"...aisee nilisikia nimesukumwa na nguvu isiyokuwa ya kawaida,ile nataka kuanguka chini nilimuona kiumbe wa ajabu ananipita kwa kasi ya ajabu akiwa uchi kama alivyozaliwa akikimbilia sebuleni na kuanza kuyafakamia yale makabeji kwa spidi kali mno,nilipokuwa bado naendelea kushangaa na kuhamaki yeye hakuwa kabisa na muda na mimi..

Binafsi ningepiga ukunga mmoja tu ".Uuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii majiraniiii..." halafu nduki mpaka kwenye audi 4, nawasha na kusepa
 
Sikuamini macho yangu, hilo jitu liliendelea kula kwa speed 360 pasipo kunitazama Wala kujali uwepo wangu

Ila ghafla liliniambia "we mkurya unyama Sana" kiufupi unaupiga mwingi mkurya

Likanipa sharti nilimbie moja ya nyimbo zifutazo, kati ya nitaubeba au utu,.

Nilivyo jeuri, nikaamue nipite na verse ya saida karoli weeee nilikiona Cha moto
 
Aisee nimecheka kifala😅😅😅
 
Tumchangieni huyu mwamba hata mia mia tu kwenye mpesa/tigopesa yake. Apate hata kalaki ka maji. Mtu mmoja kwenye ushawishi aongoze changizo. Kuna watakao wiwa kuto jero buku hata na zaidi.
Usiseme hivyo kuna vichwa hapa vitasema bc tutakulipa ila uhamie telegram. Muache tu amalize yote japo kwa tabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…