Hapa bila shaka ni mkewe, kumbuka kuna sehemu alimueleza umughaka mkewe na wanae wanaishi Oman 🤭Ally Mpemba siyo mtu wa kawaida, atakuwa kamgeuza msukule Mama au Mke wake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa bila shaka ni mkewe, kumbuka kuna sehemu alimueleza umughaka mkewe na wanae wanaishi Oman 🤭Ally Mpemba siyo mtu wa kawaida, atakuwa kamgeuza msukule Mama au Mke wake!
Aisee nimecheka kifala😅😅😅Sikuamini macho yangu, hilo jitu liliendelea kula kwa speed 360 pasipo kunitazama Wala kujali uwepo wangu
Ila ghafla liliniambia "we mkurya unyama Sana" kiufupi unaupiga mwingi mkurya
Likanipa sharti nilimbie moja ya nyimbo zifutazo, kati ya nitaubeba au utu,.
Nilivyo jeuri, nikaamue nipite na verse ya saida karoli weeee nilikiona Cha moto
Sa
sasa leo bro tupe ofa ya episode nyingine
Tumchangieni huyu mwamba hata mia mia tu kwenye mpesa/tigopesa yake. Apate hata kalaki ka maji. Mtu mmoja mwenye ushawishi aongoze changizo. Kuna watakao wiwa kutoa jero, buku na hata na zaidi.leo mambo yatazid kuwa matamu.
Usiseme hivyo kuna vichwa hapa vitasema bc tutakulipa ila uhamie telegram. Muache tu amalize yote japo kwa tabu.Tumchangieni huyu mwamba hata mia mia tu kwenye mpesa/tigopesa yake. Apate hata kalaki ka maji. Mtu mmoja kwenye ushawishi aongoze changizo. Kuna watakao wiwa kuto jero buku hata na zaidi.
Upo ?Akiweka muendelezo please naomba mtu anitag
Kabisa
Nipo kaka Lee, shukrani[emoji120]Upo ?
Karibu sanaNipo kaka Lee, shukrani[emoji120]