Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kawageuza watu misukule humu
Unategemea nini kama pesa hakuna, ajira hamna, mitaji hamna, nashangaa sana watu wamekua ADDICTED na huyu jamaa na stori zake za kusadikika, mbaya zaid ameshajua hilo na watu wamekua na AROSTO KALI kama wavuta cocaine, mtu analalamika kabisa, na yeye sasa anataka kulambwa miguu na akisoma comments ndio masikio yanazidi kichwa, perhaps its psychlogical breakdown ugonjwa huo upo, someone feels happy to see others kneel or cry infront of them begging for something ...
 
Can't say more!
 
🤣
 
we jamaa, umetumia akili nyingi sana sijui kama ataelewa _ uyu ataona umemuonea sana.
 
we jamaa, umetumia akili nyingi sana sijui kama ataelewa _ uyu ataona umemuonea sana.
Akaniambia kuwa sijui Nini cheki hapo juu akanijibu ikabidi nimuache. Ujue nishacheki movies, film,series, Hadithi nimesoma Ila sijawahi ongezeka kitu Ni sawa tu na kula chakula kitamu wakati wa kula kikishaisha unasahau kuwa Jana ulikula kuku mzima Tena choma. So ni kujua miili na akili zetu baadaye uzitawale.
 
I appreciate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…