Nani ampe mtu wa hovyo hivi.UMUGHAKA for ballon d'or 2022/ 2023
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani ampe mtu wa hovyo hivi.UMUGHAKA for ballon d'or 2022/ 2023
Hiki kitu ulitakiwa ukiseme watu wajue siku tatu hizi hakuna story. Unakuwa kama dereva bodaboda bhana..😡 UMUGHAKAMkuu huwa siachii stori njiani,now nipo Mbeya kwenye ishu zangu binafsi!.
Atuambie kabisaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umughaka hebu tupe mrejesho, umekutana na nani na nani wa jf huko Mbeya?
Nani ananung'unika? Kuna mtu humu ana mkataba na UMUGHAKA kuwa lazima aweke stori?Huyu UMUGHAKA shida yake ndio hii. Kwani kusema leo niko safarini sitaweka chochote inam-cost nini? Au angeweka ratiba kwa mfano aseme "kila siku saa moja usiku naweka mwendelezo" kusingekuwa na manung'uniko haya ya wateja wake. Mpaka watu wanakata tamaa bhana..[emoji35]
Huwezi kuelewa mtoto wa shule, subiri jumatatu mnafungua.Nani ananung'unika? Kuna mtu humu ana mkataba na UMUGHAKA kuwa lazima aweke stori?
Hasemi na mkitaka mumuue,,,Huyu UMUGHAKA shida yake ndio hii. Kwani kusema leo niko safarini sitaweka chochote inam-cost nini? Au angeweka ratiba kwa mfano aseme "kila siku saa moja usiku naweka mwendelezo" kusingekuwa na manung'uniko haya ya wateja wake. Mpaka watu wanakata tamaa bhana..[emoji35]
Asifanye siri maana vibibi vya jf havichelewagi vitaanzisha thread ya jinsi vilivyompokea master huko 😂😂Atuambie kabisaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Emotions is real.Hiki kitu ulitakiwa ukiseme watu wajue siku tatu hizi hakuna story. Unakuwa kama dereva bodaboda bhana..😡 UMUGHAKA
Huoni kila mda lazima uchungulie😂😂😂😂😂Sitaki kuamini 🤣🤣🤣
exactly...Tena kwa waliofuatilia hadithi iliyopita, safari hiyo ya Mbeya, ni kama muendelezo wa ile hadithi. Pia, inathibitisha kuwa alichotusimulia ni kweli! Gaby alikuwa muhusika mkuu, na kwenye simulizi ile, alituambia kuwa jamaa alifungwa!
Na alivyo master sasa atajichagulia kimojawapo atulie nacho.Asifanye siri maana vibibi vya jf havichelewagi vitaanzisha thread ya jinsi vilivyompokea master huko [emoji23][emoji23]
kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida tu, hizi simulizi ni za kweli, kama ni chachandu ni kidogo sana, ndio maana hazijapangiliwa kiutunzi, mfano leo anabeba tofali, mara yuko eco dege, mara anasajili laini, mara analisha misukule,,hizi ni simulizi za kweli.Tena kwa waliofuatilia hadithi iliyopita, safari hiyo ya Mbeya, ni kama muendelezo wa ile hadithi. Pia, inathibitisha kuwa alichotusimulia ni kweli! Gaby alikuwa muhusika mkuu, na kwenye simulizi ile, alituambia kuwa jamaa alifungwa!
wewe si ndio home au?To yeye ukimuona UMUGHAKA hapo uyole mwambie tunamsubiri huku😁
Cheki huyu bweha!Nani ananung'unika? Kuna mtu humu ana mkataba na UMUGHAKA kuwa lazima aweke stori?
Amekuwa mbweha tangu lini?Cheki huyu bweha!
Hata wewe unajaza uzi kwa hiyo comment yako ya kulaumu watu wanaotumia bando zao kwa gharama zao, ni heri ungekaa kimya tu bwashee 😁😁Mnajaza uzi jana na leo message 100+ plus, ni kelele tu na migogoro hisiyo na tija
ndo huko lakini sipo hukowewe si ndio home au?